Chromium na Google Chrome zinatumia kundi moja la sera. Tafadhali kumbuka kwamba hati hii inaweza kujumuisha sera zinazolenga matoleo ya programu ambayo hayajatolewa (yaani uingizaji wao 'Unaotumika kwenye' unamaanisha toleo ambalo halijatolewa) na kwamba sera kama hizo zinaweza kubadilika au kuondolewa bila ilani.
Sera hizi zinalenga kutumiwa mahususi kuweka mipangilio ya matukio ya Google Chrome ya ndani kwenye shirika lako. Matumizi ya sera hizi nje ya shirika lako (kwa mfano, katika programu inayosambazwa kwa umma) yanachukuliwa kuwa programu hasidi na inaweza kuainishwa kama programu hasidi na Google na wauzaji wa kingavirusi.
Si lazima uweke mipangilio ya programu hizi kwa njia ya kawaida! Violezo vya matumizi rahisi kwa Windows, Mac na Linux vinaweza kupakuliwa kutoka kwenye https://www.chromium.org/administrators/policy-templates.
Njia inayopendekezwa ya kuweka mipangilio ya sera kwenye Windows ni kupitia GPO, ingawa kuweka sera kupitia usajili bado kunatumika kwa matukio ya Windows ambayo yameunganishwa kwenye kikoa cha Saraka Inayotumika.
Jina la Sera | Maelezo |
Kidhibiti cha nenosiri | |
PasswordManagerEnabled | Washa kipengele cha kuhifadhi manenosiri kwenye kidhibiti cha nenosiri |
PasswordManagerAllowShowPasswords | Waruhusu watumiaji kuonyesha manenosiri katika Kidhibiti cha Manenosiri |
Kionyeshi chaguo-msngi cha HTML kwaGoogle Chrome Frame | |
ChromeFrameRendererSettings | Kionyeshi chaguo-msngi cha HTML kwaGoogle Chrome Frame |
RenderInChromeFrameList | Onyesha ruwaza zifuatazo za URL mara kwa mara katika Google Chrome Frame |
RenderInHostList | Onyesha ruwaza zifuatazo za URL mara kwa mara katika kivinjari cha mpangishaji |
AdditionalLaunchParameters | Vigezo vya ziada vya mstari wa amri vya Google Chrome |
SkipMetadataCheck | Ruka kuingia kwa metatagi katika Google Chrome Frame |
Kitoaji chaguo-msingi cha utafutaji | |
DefaultSearchProviderEnabled | Wezesha kitoaji chaguo-msingi cha utafutaji |
DefaultSearchProviderName | Kitoaji chaguo-msingi cha utafutaji |
DefaultSearchProviderKeyword | Nenomsingi la mtoa huduma chaguo-msingi wa utafutaji |
DefaultSearchProviderSearchURL | Mtoaji wa utafutaji chaguo-msingi wa URL ya utafutaji |
DefaultSearchProviderSuggestURL | Mtoa huduma chaguo-msingi wa utafutaji anapendekeza URL |
DefaultSearchProviderInstantURL | URL ya papo hapo ya kitoaji chaguo-msingi cha utafutaji |
DefaultSearchProviderIconURL | Ikoni ya mtoaji wa utafutaji chaguo-msingi |
DefaultSearchProviderEncodings | Usimbaji wa kitoaji chaguo-msingi cha utafutaji |
DefaultSearchProviderAlternateURLs | Orodha ya URL mbadala za mtoa huduma chaguo-msingi wa utafutaji. |
DefaultSearchProviderSearchTermsReplacementKey | Kigezo kinachodhibiti uwekaji wa hoja ya utafutaji kwa mtoa huduma ya utafutaji chaguo-msingi |
DefaultSearchProviderImageURL | Kigezo kinachotoa kipengele cha kutafuta kwa picha kwa mtoa huduma wa utafutaji chaguo-msingi |
DefaultSearchProviderNewTabURL | Mtoa huduma ya utafutaji chaguo-msingi ya URL ya ukurasa wa kichupo kipya |
DefaultSearchProviderSearchURLPostParams | Vigezo vya URL ya utafutaji inayotumia POST |
DefaultSearchProviderSuggestURLPostParams | Vigezo vya URL ya kupendekeza inayotumia POST |
DefaultSearchProviderInstantURLPostParams | Vigezo vya URL ya papo hapo inayotumia POST |
DefaultSearchProviderImageURLPostParams | Vigezo vya URL ya picha inayotumia POST |
Kurasa za kuanza | |
RestoreOnStartup | Kitendo kwa kuanza |
RestoreOnStartupURLs | URL za kufunguliwa unapooanza |
Mipangilio ya Maudhui | |
DefaultCookiesSetting | Mpangilio wa vidakuzi chaguo-msingi |
DefaultImagesSetting | Mpangilio chaguo-msingi wa picha |
DefaultJavaScriptSetting | Mpangilio chaguo-msingi wa JavaScript |
DefaultPluginsSetting | Mpangilio chaguo-msingi wa programu jalizi |
DefaultPopupsSetting | Mpangilio chaguo-msingi za ibukizi |
DefaultNotificationsSetting | Mpangilio wa arifa chaguo-msingi |
DefaultGeolocationSetting | Mpangilio chaguo-msingi wa eneo la kijiografia |
DefaultMediaStreamSetting | Mpangilio chaguo-msingi wa mkondomedia |
DefaultKeygenSetting | Mipangilio ya uundaji ufunguo chaguo-msingi |
AutoSelectCertificateForUrls | Chagua kiotomatiki vyeti vya mteja vya tovuti hizi |
CookiesAllowedForUrls | Ruhusu vidakuzi kwenye tovuti hizi |
CookiesBlockedForUrls | Zuia vidakuzi katika tovuti hizi |
CookiesSessionOnlyForUrls | Ruhusu vidakuzi vya kipindi pekee kwenye tovuti hizi |
ImagesAllowedForUrls | Ruhusu picha katika tovuti hizi |
ImagesBlockedForUrls | Zuia picha katika tovuti hizi |
JavaScriptAllowedForUrls | Ruhusu JavaScript kwenye tovuti hizi |
JavaScriptBlockedForUrls | Zuia JavaScript kwenye tovuti hizi |
KeygenAllowedForUrls | Ruhusu uundaji ufunguo kwenye tovuti hizi |
KeygenBlockedForUrls | Zuia uundaji ufunguo kwenye tovuti hizi |
PluginsAllowedForUrls | Ruhusu programu jalizi kwenye tovuti hizi |
PluginsBlockedForUrls | Zuia programu jalizi katika tovuti hizi |
PopupsAllowedForUrls | Ruhusu ibukizi kwenye tovuti hizi |
RegisteredProtocolHandlers | Sajili vishikilizi vya itifaki |
PopupsBlockedForUrls | Zuia madirisha ibukizi kwenye tovuti hizi |
NotificationsAllowedForUrls | Ruhusu arifa katika tovuti hizi |
NotificationsBlockedForUrls | Zuia arifa katika tovuti hizi |
Mipangilio ya ufikiaji | |
ShowAccessibilityOptionsInSystemTrayMenu | Onyesha chaguo za ufikiaji katika menyu ya trei ya mfumo |
LargeCursorEnabled | Washa kishale kikubwa |
SpokenFeedbackEnabled | Wezesha maoni yaliyozungumzwa |
HighContrastEnabled | Wezesha modi ya juu ya kulinganua |
VirtualKeyboardEnabled | Washa kibodi ya skrini |
KeyboardDefaultToFunctionKeys | Vitufe vya media huelekeza kwenye vitufe vya vitendo kwa chaguo-msingi |
ScreenMagnifierType | Weka aina ya kikuza skrini |
DeviceLoginScreenDefaultLargeCursorEnabled | Weka hali chaguo-msingi ya kishale kikubwa kwenye skrini ya kuingia katika akaunti |
DeviceLoginScreenDefaultSpokenFeedbackEnabled | Weka hali chaguo-msingi ya maoni yanayotamkwa kwenye skrini ya kuingia katika akaunti |
DeviceLoginScreenDefaultHighContrastEnabled | Weka hali chaguo-msingi ya hali ya juu ya utofautishaji kwenye skrini ya kuingia katika akaunti |
DeviceLoginScreenDefaultVirtualKeyboardEnabled | Weka hali chaguo-msingi ya kibodi ya skrini kwenye skrini ya kuingia katika akaunti |
DeviceLoginScreenDefaultScreenMagnifierType | Weka aina ya kikuza skrini cha msingi kama kimewashwa kwenye skrini ya kuingia katika skrini |
Mipangilio ya watumiaji inayodhibitiwa kwa ndani | |
SupervisedUsersEnabled | Washa watumiaji wanaosimamiwa |
SupervisedUserCreationEnabled | Washa uundaji wa watumiaji wanaosimamiwa |
SupervisedUserContentProviderEnabled | Washa mtoa huduma za maudhui ya mtumiaji anayesimamiwa |
Ruhusu Google Chrome Frame kushughulikia aina zifuatazo za maudhui | |
ChromeFrameContentTypes | Ruhusu Google Chrome Frame kushughulikia aina za maudhui zilizoorodheshwa |
Sanidi chaguo za Hifadhi ya Google | |
DriveDisabled | Huzima Hifadhi ya Google katika programu ya Faili ya Google Chrome OS |
DriveDisabledOverCellular | Huzima Hifadhi ya Google kupitia miunganisho ya simu za mkononi katika programu ya Faili za Google Chrome OS |
Sanidi chaguo za ufikiaji wa mbali | |
RemoteAccessClientFirewallTraversal | Wezesha kutamba kwa ngome kutoka kwa mteja wa mbali kufikiwa |
RemoteAccessHostFirewallTraversal | Inawezesha kutamba kwa ngome kutoka katika ufikivu wa mpangishaji wa mbali |
RemoteAccessHostDomain | Sanidi jina la kikoa linalohitajika kwa wapangishaji wa ufikivu wa mbali |
RemoteAccessHostRequireTwoFactor | Wezesha uthibitishaji wa vipengee viwili kwa wapangishaji wa ufikivu wa mbali |
RemoteAccessHostTalkGadgetPrefix | Sanidi kiambishi awali cha TalkGadget kwa ufikiaji wa wapangishaji wa mbali |
RemoteAccessHostRequireCurtain | Wezesha uzuiaji wa wapangishaji wa ufikiaji mbali. |
RemoteAccessHostAllowClientPairing | Washa au zima uthibitishaji usiotumia PIN kwa seva pangishi za uwezo wa kufikia kwa mbali |
RemoteAccessHostAllowGnubbyAuth | Ruhusu kipengele cha uthibitishaji wa gnubby kwa seva pangishi za uwezo wa kufikia kwa mbali |
RemoteAccessHostAllowRelayedConnection | Washa matumizi ya seva za relei kwa mpangishi wa ufikiaji wa mbali |
RemoteAccessHostUdpPortRange | Zuia masafa ya lango la UDP yaliyotumiwa na mpangishi wa ufikiaji wa mbali |
RemoteAccessHostMatchUsername | Inahitaji jina la mtumiaji wa ndani na mmiliki wa seva pangishi ya uwezo wa kufikia kwa mbali vilingane |
RemoteAccessHostTokenUrl | URL ambapo seva teja za ufikiaji wa mbali zinapaswa kupata tokeni za uthibitishaji |
RemoteAccessHostTokenValidationUrl | URL ya kuidhinisha tokeni ya kuthibitisha seva teja ya ufikiaji wa mbali |
RemoteAccessHostTokenValidationCertificateIssuer | Cheti cha seva teja cha kuunganisha kwenye RemoteAccessHostTokenValidationUrl |
RemoteAccessHostDebugOverridePolicies | Ubatilishaji wa sera kwa miundo ya Hitilafu ya seva pangishi ya ufikiaji wa mbali |
Sera za uthibitishaji wa HTTP | |
AuthSchemes | Mipango inayohimiliwa ya uthibitishaji |
DisableAuthNegotiateCnameLookup | Lemaza kidokezo cha CNAME unapohawilisha uthibitishaji wa Kerberos |
EnableAuthNegotiatePort | Jumuisha lango lisiyo wastani katika Kerberos SPN |
AuthServerWhitelist | Orodha ya kuidhinisha ya seva ya uthibitishaji |
AuthNegotiateDelegateWhitelist | Orodha iliyoidhinishwa ya ukaumu wa seva ya Kerberos |
GSSAPILibraryName | Jina la maktaba ya GSSAPI |
AuthAndroidNegotiateAccountType | Aina ya Akaunti kwa uthibitishaji wa HTTP Negotiate |
AllowCrossOriginAuthPrompt | Vishtuo vya Cross-origin HTTP Basic Auth |
Seva ya proksi | |
ProxyMode | Chagua jinsi ya kubainisha mipangilio ya seva mbadala |
ProxyServerMode | Chagua jinsi ya kubainisha mipangilio ya seva mbadala |
ProxyServer | Anwani au URL ya seva ya proksi |
ProxyPacUrl | URL hadi proksi ya faili ya .pac |
ProxyBypassList | Kanuni za ukwepaji proksi |
Ujumbe wa Asili | |
NativeMessagingBlacklist | Sanidi orodha ya wasioidhinishwa ya ujumbe asili |
NativeMessagingWhitelist | Sanidi orodha ya walioidhinishwa ya ujumbe asili |
NativeMessagingUserLevelHosts | Ruhusu wapangishi wa Ujumbe Asili wa ngazi ya mtumiaji (wanaosakinishwa bila idhini ya msimamizi). |
Ukurasa wa Kwanza | |
HomepageLocation | Sanidi URL ya ukurasa wa kwanza |
HomepageIsNewTabPage | Tumia Ukurasa Mpya wa Kichupo kama ukurasa wa kwanza |
Usimamizi wa nishati | |
ScreenDimDelayAC | Ufifili wa skrini unachelewesha wakati wa kuendesha kwa nishati ya AC |
ScreenOffDelayAC | Kuchelewa kwa kuzima skirini wakati nishati ya AC inapotumika |
ScreenLockDelayAC | Ufungaji wa skrini unachelewa wakati nishati ya AC inapotimika |
IdleWarningDelayAC | Onyo ya kuchelewa wakati wa kutokuwa na shughuli wakati wa kuendesha kwa nishati ya AC |
IdleDelayAC | Kutokuwa na shughuli kunachelewesha wakati wa kuendesha kwenye nishati ya AC |
ScreenDimDelayBattery | Ufifili wa skrini unachelewa wakati wa kuendesha kwa nishati ya betri |
ScreenOffDelayBattery | Kuzimika kwa skrini kunachelewa wakati wa kuendesha kwa nishati ya betri |
ScreenLockDelayBattery | Ufungaji wa skrini unachelewa wakati wa kuendesha kwa nishati ya betri |
IdleWarningDelayBattery | Onyo ya kuchelewa wakati wa kutokuwa na shughuli wakati wa kuendesha kwa nishati ya betri |
IdleDelayBattery | Kutokuwa na shughuli kunachelewesha wakati wa kuendesha kwa nishati ya betri |
IdleAction | Hatua ya kuchukua wakati ucheleweshaji wa kutokuwa na shughuli unapofikiwa |
IdleActionAC | Kitendo cha kuchukua ucheleweshwaji wa kutulia unapofikiwa wakati inaendeshwa kutumia nishati ya AC |
IdleActionBattery | Kitendo cha kuchukua wakati ucheleweshaji wa kutofanya kitu umefikiwa ikiendeshwa kutumia nishati ya betri |
LidCloseAction | Hatua ya kuchukua mtumiaji anapofunga mfuniko |
PowerManagementUsesAudioActivity | Bainisha iwapo shughuli za sauti zinaathiri udhibiti wa nishati |
PowerManagementUsesVideoActivity | Bainisha iwapo shughuli za video zinaathiri udhibiti wa nishati |
PresentationIdleDelayScale | Asilimia ya kupima kuchelewesha kwa mwanga wa skrini katika modi ya wasilisho (kimewacha kuendesha huduma) |
PresentationScreenDimDelayScale | Asilimia ya kupima kuchelewesha kwa mwanga wa skrini katika modi ya wasilisho |
AllowScreenWakeLocks | Ruhusu makufuli ya kuwasha skrini |
UserActivityScreenDimDelayScale | Asilimia ambayo mwangaza wa skrini utaongezwa uchelewaji iwapo mtumiaji anaanza kutumia baada ya kupunguza mwangaza |
WaitForInitialUserActivity | Subiri shughuli ya kwanza ya mtumiaji |
PowerManagementIdleSettings | Mipangilio ya kusimamia nishati mtumiaji anapokuwa hafanyi kitu |
ScreenLockDelays | Ucheleweshaji wa kufunga sjrini |
Uthibitishaji wa Mbali | |
AttestationEnabledForDevice | Washa usahihishaji wa mbali wa kifaa |
AttestationEnabledForUser | Washa usahihishaji wa mbali kwa mtumiaji |
AttestationExtensionWhitelist | Viendelezi vinaruhusiwa kutumia API ya usahihishaji wa mbali |
AttestationForContentProtectionEnabled | Washa matumizi ya usahihishaji wa mbali wa kulinda maudhui ya kifaa |
Viendelezi | |
ExtensionInstallBlacklist | Sanidi orodha inayotiliwa shaka ya usakinishaji wa kiendelezi |
ExtensionInstallWhitelist | Sanidi orodha iliyoidhinishwa ya usakinishaji kiendelezi |
ExtensionInstallForcelist | Sanidi orodha ya programu na viendelezi vilivyosakinishwa kwa nguvu |
ExtensionInstallSources | Sanidi viendelezi, programu, na vyanzo vya kusakinisha hati |
ExtensionAllowedTypes | Sanidi aina za programu/viendelezi zinazoruhusiwa |
AllowDinosaurEasterEgg | Ruhusu Mchezo Fiche wa Dinosau |
AllowFileSelectionDialogs | Ruhusu ubatilishaji wa vidadisi vya uchaguzi wa faili |
AllowOutdatedPlugins | Ruhusu kuendesha programu jalizi ambazo zimepitwa na wakati. |
AlternateErrorPagesEnabled | Wezesha kurasa badala za hitilafu |
AlwaysAuthorizePlugins | Kila wakati inaendesha programu jalizi ambazo zinahitaji uidhinishaji. |
ApplicationLocaleValue | Lugha ya programu |
AudioCaptureAllowed | Ruhusu au upinge kurekodi sauti |
AudioCaptureAllowedUrls | URL ambazo zitapewa ufikiaji wa vifaa vya kunasa sauti bila ushawishi |
AudioOutputAllowed | Ruhusu kucheza sauti |
AutoCleanUpStrategy | Huchagua mkakati unaotumiwa kufuta baadhi ya faili ili kuacha nafasi wakati wa kufuta kiotomatiki (imekosolewa) |
AutoFillEnabled | Washa uwezo wa Kujaza kitomatiki |
BackgroundModeEnabled | Endelea kuendesha programu za mandharinyuma wakati Google Chrome imefungwa |
BlockThirdPartyCookies | Zuia vidakuzi vya wengine |
BookmarkBarEnabled | Wezesha Upau wa Alamisho |
BrowserAddPersonEnabled | Washa kipengee cha kuongeza mtu katika kidhibiti cha wasifu |
BrowserGuestModeEnabled | Washa matumizi ya wageni katika kivinjari |
BuiltInDnsClientEnabled | Tumia DNS teja ya kijenzi cha ndani |
CaptivePortalAuthenticationIgnoresProxy | Uthibitishaji wa ukurasa wavuti hupuuza seva mbadala |
ChromeOsLockOnIdleSuspend | Wawezesha kufunga wakati kifaa kinapokuwa hakifanyi kitu au kimesimamishwa |
ChromeOsMultiProfileUserBehavior | Dhibiti tabia ya mtumiaji katika kipindi cha wasifu nyingi |
ChromeOsReleaseChannel | Kituo cha Kutoa |
ChromeOsReleaseChannelDelegated | Ikiwa kituo cha kutoa kinastahili kusanidiwa na mtumiaji. |
ClearSiteDataOnExit | Futa data ya tovuti kwenye uzimaji wa kivinjari (imepingwa) |
CloudPrintProxyEnabled | Wezesha proksi ya Google Cloud Print |
CloudPrintSubmitEnabled | Wezesha uwasilishaji wa nyaraka kwenye Google Cloud Print |
ContextualSearchEnabled | Washa kipengee cha Gusa ili Utafute |
DataCompressionProxyEnabled | Washa kipengee cha proksi cha upunguzaji wa data |
DefaultBrowserSettingEnabled | Weka Google Chrome kama Kivinjari Chaguo-msingi |
DefaultPrinterSelection | Sheria za kuchagua printa chaguo-msingi |
DeveloperToolsDisabled | Lemaza Zana za Wasanidi Programu |
DeviceAllowNewUsers | Ruhusu uundaji wa akaunti mpya za mtumiaji |
DeviceAllowRedeemChromeOsRegistrationOffers | Ruhusu watumiaji kukomboa matoleo kupitia Usajili wa Mfumo wa Uendeshaji wa Chrome |
DeviceAppPack | Orodha ya viendelezi vya AppPack |
DeviceAutoUpdateDisabled | Inalemaza Kusasisha Otomatiki |
DeviceAutoUpdateP2PEnabled | Usasishaji kiotomatiki wa P2P umewashwa |
DeviceBlockDevmode | Zuia hali ya wasanidi programu |
DeviceDataRoamingEnabled | Wezesha utumiaji wa data nje ya mtandao wako wa kawaida |
DeviceEphemeralUsersEnabled | Futa data ya mtumiaji unapoondoka |
DeviceGuestModeEnabled | Wezesha modi ya wageni |
DeviceIdleLogoutTimeout | Muda umekwisha mpaka uondokaji wa kuingia kusikotumika kutekelezwe |
DeviceIdleLogoutWarningDuration | Muda wa ujumbe wa tahadhari wa kuondoka tulivu |
DeviceLocalAccountAutoLoginBailoutEnabled | Washa njia ya mkato ya kibodi ya usaidizi wa kuingia otomatiki |
DeviceLocalAccountAutoLoginDelay | Saa ya kipindi cha umma cha uingiaji otomatiki |
DeviceLocalAccountAutoLoginId | Kipindi cha umma cha uingiaji otomatiki |
DeviceLocalAccountPromptForNetworkWhenOffline | Washa ombi la usanidi wa mtandao inapokuwa nje ya mtandao |
DeviceLocalAccounts | Akaunti za kifaa cha karibu nawe |
DeviceLoginScreenDomainAutoComplete | Washa kipengee cha jina la kikoa cha kukamilisha kiotomatiki wakati wa mtumiaji kuingia katika akaunti |
DeviceLoginScreenPowerManagement | Udhibiti wa nishati kwenye skrini ya kuingia |
DeviceLoginScreenSaverId | Seva ya skrini kutumiwa kwenye skrini ya kuingia katika modi rejareja |
DeviceLoginScreenSaverTimeout | Muda wa shughuli kabla ya seva ya skrini kuonyeshwa kwenye skrini ya kuingia katika modi ya rejareja |
DeviceMetricsReportingEnabled | Wezesha kuripoti kwa metriki |
DeviceOpenNetworkConfiguration | Usanidi wa mtandao wa kiwango cha kifaa |
DevicePolicyRefreshRate | Onyesha upya kiwango cha Sera ya Kifaa |
DeviceRebootOnShutdown | Uwashaji tena kiotomatiki baada ya kuzima kifaa |
DeviceShowUserNamesOnSignin | Onyesha majina ya watumiaji kwenye skrini ya kuingia |
DeviceStartUpFlags | Alama za mfumo mzima zitatumika wakati wa kuanzisha Google Chrome |
DeviceStartUpUrls | Pakia url maalum kwenye onyesho la kuingia. |
DeviceTargetVersionPrefix | Toleo Lengwa la Kusasisha Otomatiki |
DeviceTransferSAMLCookies | Hamisha vidakuzi vya SAML IdP wakati wa kuingia katika akaunti |
DeviceUpdateAllowedConnectionTypes | Aina za miunganisho zinazoruhusiwa kwa visasisho |
DeviceUpdateHttpDownloadsEnabled | Ruhusu vipakuliwa vya kusasisha kiotomatiki kupitia HTTP |
DeviceUpdateScatterFactor | Sasisha kiotomatiki kipengee cha kutawanya |
DeviceUserWhitelist | Ingia kwenye orodha ya kutoa idhini ya mtumiaji |
Disable3DAPIs | Lemaza uhimili wa API za michoro ya 3D |
DisablePluginFinder | Bainisha iwapo kitafutaji programu jalizi kinafaa kulemazwa |
DisablePrintPreview | Zima Kipengee cha Onyesho la Kuchungulia la Printa (imeacha kuendesha huduma) |
DisableSSLRecordSplitting | Zima kipengee cha TLS False Start |
DisableSafeBrowsingProceedAnyway | Lemaza kuendelea kutoka kwenye ukurasa wa ilani ya Kuvinjari Salama |
DisableScreenshots | Zima upigaji picha za skrini |
DisableSpdy | Lemaza itifaki ya SPDY |
DisabledPlugins | Bainisha orodha ya programu jalizi zilizolemazwa |
DisabledPluginsExceptions | Bainisha orodha ya programu jalizi ambayo mtumiaji anaweza kuwezesha au kulemaza |
DisabledSchemes | Lemaza mipango ya itifaki ya URL |
DiskCacheDir | Weka saraka ya akiba ya diski |
DiskCacheSize | Weka ukubwa wa akiba ya diski katika baiti |
DisplayRotationDefault | Weka mzunguko chaguo-msingi wa onyesho, unaotumika kila unapowashwa tena |
DnsPrefetchingEnabled | Wezesha ubashiri wa mtandao |
DownloadDirectory | Weka saraka ya kupakua |
EasyUnlockAllowed | Huruhusu Smart Lock kutumiwa |
EditBookmarksEnabled | Inawezesha au kulemaza uhariri wa alamisho |
EnableDeprecatedWebBasedSignin | Huwasha kuingia katika akaunti kulingana na wavuti |
EnableDeprecatedWebPlatformFeatures | Washa vipengele vilivyoacha kuendesha huduma vya mbinu ya wavuti kwa muda mfupi |
EnableOnlineRevocationChecks | Ikiwa ukaguzi wa mtandaoni wa OCSP/CRL umeatekelezwa |
EnabledPlugins | Bainisha orodha ya programu jalizi zilizowezeshwa |
EnterpriseWebStoreName | Jina la biashara la duka la wavuti (limeacha kuendesha huduma) |
EnterpriseWebStoreURL | URL ya duka la wavuti la biashara (imeacha kuendesha huduma) |
ExtensionCacheSize | Weka ukubwa wa akiba inayoruhusiwa ya Programu na Viendelezi (katika baiti) |
ExternalStorageDisabled | Lemaza uangikaji wa hifadhi ya nje |
ForceEphemeralProfiles | Mfumo wa Muda Mfupi |
ForceGoogleSafeSearch | Lazimisha Google SafeSearch |
ForceMaximizeOnFirstRun | Tanua dirisha la kwanza la kivinjari unapofungua mara ya kwanza |
ForceSafeSearch | Lazimisha SafeSearch |
ForceYouTubeSafetyMode | Lazimisha Hali Salama ya YouTube |
FullscreenAllowed | Ruhusu hali ya skrini nzima |
GCFUserDataDir | Weka saraka ya data ya mtumiaji wa Google Chrome Frame |
HardwareAccelerationModeEnabled | Tumia uongezaji kasi wa maunzi wakati unapatikana |
HeartbeatEnabled | Tuma mawimbi ya ufuatiliaji wa utendaji kwenye seva ya udhibiti |
HeartbeatFrequency | Idadi ya kufuatilia mapigo ya moyo |
HideWebStoreIcon | Ficha duka la wavuti kwenye ukurasa mpya wa kichupo na kifungua programu cha Chrome |
HideWebStorePromo | Zuia utambulishaji dhidi ya kuonekana kwenye ukurasa mpya wa kichupo |
ImportAutofillFormData | Leta data ya fomu ya kujaza otomatiki kutoka kwenye kivinjari chaguo-msingi wakati wa uendeshaji wa kwanza |
ImportBookmarks | Ingiza alamisho kutoka kivinjari chaguo-msingi wakati wa uendeshaji wa kwanza |
ImportHistory | Leta historia ya kivinjari kutoka kwenye kivinjari chaguo-msingi wakati wa uendeshaji wa kwanza |
ImportHomepage | Leta ukurasa wa mwanzo kutoka kwenye kivinjari chaguo-msingi kwenye uendeshaji wa kwanza |
ImportSavedPasswords | Leta manenosiri yaliyohifadhiwa kutoka kwenye kivinjari chaguo-msingi kwenye uendeshaji wa kwanza |
ImportSearchEngine | Leta injini za utafutaji kutoka kwenye kivinjari chaguo-msingi wakati wa uendeshaji wa kwanza |
IncognitoEnabled | Washa hali Fiche |
IncognitoModeAvailability | Upatikanaji wa hali fiche |
InstantEnabled | Wezesha Papo hapo |
JavascriptEnabled | Wezesha JavaScript |
KeyPermissions | Ruhusa za Funguo |
LogUploadEnabled | Tuma kumbukumbu za mfumo kwenye seva ya udhibiti |
ManagedBookmarks | Alamisho Zinazosimamiwa |
MaxConnectionsPerProxy | Kiwango cha juu kabisa cha miunganisho ya wakati mmoja kwenye seva ya proksi |
MaxInvalidationFetchDelay | Upeo wa juu wa ucheleweshaji wa kuleta baada ya kutothibitisha sera |
MediaCacheSize | Weka ukubwa wa akiba ya diski ya media katika vipimo vya baiti |
MetricsReportingEnabled | Wezesha kuripoti kwa matumizi na data zinazohusu mvurugiko |
NetworkPredictionOptions | Wezesha ubashiri wa mtandao |
OpenNetworkConfiguration | Usanidi mtandao wa kiwango cha mtumiaji |
PinnedLauncherApps | Orodha ya programu zilizobanwa ili kuonekana kwenye kizunduzi |
PolicyRefreshRate | Kiwango cha kuonyesha upya kwa sera ya mtumiaji |
PrintingEnabled | Wezesha uchapishaji |
QuicAllowed | Huruhusu itifaki ya QUIC |
RC4Enabled | Ikiwa mipangilio ya kriptografia ya RC4 katika TLS imewashwa |
RebootAfterUpdate | Zima na uwashe tena otomatiki baada ya kusasisha |
ReportDeviceActivityTimes | Ripoti muda wa shughuli za kifaa |
ReportDeviceBootMode | Ripoti modi ya kuwasha kifaa |
ReportDeviceHardwareStatus | Ripoti hali ya maunzi |
ReportDeviceNetworkInterfaces | Ripoti violesura vya mtandao wa kifaa |
ReportDeviceSessionStatus | Ripoti taarifa kuhusu vipindi vya skrini nzima vinavyoendelea |
ReportDeviceUsers | Ripoti watumiaji wa kifaa |
ReportDeviceVersionInfo | Ripoti OS na toleo la programu dhibiti |
ReportUploadFrequency | Idadi ya upakiaji wa ripoti ya hali ya kifaa |
RequireOnlineRevocationChecksForLocalAnchors | Iwapo ukaguzi wa OCSP/CRL mtandaoni unahitajika kwa nanga za uaminifu za karibu |
RestrictSigninToPattern | Zuia ni watumiaji wapi ambao wanaruhusiwa kuingia kwenye Google Chrome |
SAMLOfflineSigninTimeLimit | Weka kikomo cha muda ambao mtumiaji aliyethibitishwa kupitia SAML anaweza kuingia katika akunti nje ya mtandaoni |
SSLErrorOverrideAllowed | Ruhusu kuendelea kutoka kwenye ukurasa wa onyo wa SSL |
SSLVersionFallbackMin | Kiwango cha chini cha toleo la TLS cha kutumia kama kibadala |
SSLVersionMin | Toleo la chini la SSL limewashwa |
SafeBrowsingEnabled | Wezesha Kuvinjari Salama |
SafeBrowsingExtendedReportingOptInAllowed | Ruhusu watumiaji kuchagua kuingia katika kuripoti Kuvinjari Salama kulikopanuliwa |
SavingBrowserHistoryDisabled | Lemaza kuhifadhi historia ya kivinjari |
SearchSuggestEnabled | Wezesha mapendekezo ya utafutaji |
SessionLengthLimit | Punguza urefu wa kipindi |
SessionLocales | Weka lugha zinazopendekezwa kwa vipindi vya umma |
ShelfAutoHideBehavior | Dhibiti kujificha kitomatiki kwa rafu |
ShowAppsShortcutInBookmarkBar | Onyesha njia ya mkato katika sehemu ya alamisho |
ShowHomeButton | Onyesha kitufe cha Mwazo kwenye upauzana |
ShowLogoutButtonInTray | Ongeza kitufe cha kuondoka kwenye chano la mfumo |
SigninAllowed | Huruhusu kuingia katika Google Chrome |
SpellCheckServiceEnabled | Wezesha au lemaza huduma ya wavuti ya ukaguzi tahajia |
SuppressChromeFrameTurndownPrompt | Didimiza kukataa kuuliza kwa Google Chrome Frame |
SuppressUnsupportedOSWarning | Suppress the unsupported OS warning |
SyncDisabled | Lemaza usawazishaji wa data iliyna Google |
SystemTimezone | Saa za eneo: |
SystemUse24HourClock | Tumia saa ya saa 24 kwa chaguo-msingi |
TermsOfServiceURL | Weka Sheria na Masharti kwa akaunti ya kifaa cha karibu nawe |
TouchVirtualKeyboardEnabled | Wezesha kibodi isiyobayana |
TranslateEnabled | Wezesha Tafsiri |
URLBlacklist | Zuia ufikivu kwenye orodha za URL |
URLWhitelist | Inaruhusu kufikia orodha ya URL |
UnifiedDesktopEnabledByDefault | Fanya Eneo-kazi Lililounganishwa lipatikane na uwashe kwa chaguo-msingi. |
UptimeLimit | Wekea kifaa vizuizi vya muda wa kuwaka kwa kuzima na kuwasha kiotomatiki |
UserAvatarImage | Picha ya ishara ya mtumiaji |
UserDataDir | Weka saraka ya data ya mtumiaji |
UserDisplayName | Weka jina la onyesho kwa ajili ya akaunti za kifaa cha karibu |
VideoCaptureAllowed | Ruhusu au ukatae kurekodi video |
VideoCaptureAllowedUrls | URL ambazo zitapewa ufikiaji wa vifaa vya kunasa video bila ushawishi |
WPADQuickCheckEnabled | Washa uboreshaji wa WPAD |
WallpaperImage | Picha ya mandhari |
WelcomePageOnOSUpgradeEnabled | Washa kipengee cha kuonyesha ukurasa wa kukaribisha unapofungua kivinjari kwa mara ya kwanza baada ya kupata toleo jipya la Mfumo wa Uendeshaji. |
Mipangilio hii ikiwashwa, watumiaji wanaweza kuifanya Google Chrome ikumbuke na kuyatoa manenosiri kiotomatiki wakati mwingine wanapoingia katika wavuti.
Mipangilio hii ikizimwa, watumiaji hawawezi kuhifadhi manenosiri mapya lakini bado wanaweza kutumia yale ambayo tayari yamehifadhiwa.
Sera hii ikiwashwa au kuzimwa, watumiaji hawawezi kubadilisha au kuifuta katika Google Chrome. Sera hii ikiondolewa, inaruhusu kuhifadhi nenosiri (lakini inaweza kuzimwa na mtumiaji).
Inadhibiti ikiwa mtumiaji anaweza kuonyesha nenosiri katika maandishi yaliyo wazi ndani ya kidhibiti cha nenosiri.
Ukilemaza mpangilio huu, kidhibiti cha nenosiri hakiruhusu kuonyesha manenosiri yaliyohifadhiwa katika maandishi yaliyo wazi ndani ya dirisha la kidhibiti cha nenosiri.
Ukiwezesha au usipoweka sera hii, watumiaji wanaweza kuona manenosiri yao katika maandishi yaliyo wazi ndani ya kidhibiti cha nenosiri.
Inakuruhusu kusanidi kitoaji cha HTML chaguo-msingi wakati Google Chrome Frame imesakinishwa. Mpangilio chaguo-msingi unaotumiwa wakati sera hii inasalia kama haijawekwa ni kuruhusu kivinjari kipangishaji kutekeleza uonyeshaji, lakini unaweza kufuta kwa hiari hii na uwe na kurasa za kionyeshi Google Chrome Frame cha HTML kwa chaguo-msingi.
Geuza orodha ya ruwaza za URL ambazo zinastahili kuonyeshwa mara kwa mara na Google Chrome Frame ili zikufae.
Ikiwa sera hii haitawekwa kionyeshi chaguo-msingi kitatumiwa kwa tovuti zote kama ilivyobainishwa na sera ya 'ChromeFrameRendererSettings'.
Kwa mifano ya ruwaza angalia https://www.chromium.org/developers/how-tos/chrome-frame-getting-started.
Geuza orodha ya ruwaza za URL ambazo zinastahili kuonyeshwa mara kwa mara na kivinjari kipangishi ili zikufae.
Ikiwa sera hii haitawekwa kionyeshi chaguo-msingi kitatumiwa kwa tovuti zote kama ilivyobainishwa na sera ya 'ChromeFrameRendererSettings'.
Kwa mifano ya ruwaza angalia https://www.chromium.org/developers/how-tos/chrome-frame-getting-started.
Inakuruhusu kubainisha kigezo za ziada ambazo ziinatumika wakati Google Chrome Frame inazindua Google Chrome.
Ikiwa sera hii haijawekwa mpangilio wa amri chaguo-msingi utatumika.
Kwa kawaida kurasa Zinazooana na X-UA zilizowekwa kwa chrome=1 zitaonyeshwa katika Google Chrome Frame bila kujali sera ya 'ChromeFrameRendererSettings'.
Ukiwasha mpangilio huu, kurasa hazitachanganuliwa kwa metatagi.
Ukizima mpangilio huu, kurasa zitachanganuliwa kwa metatagi.
Kama sera hii haitawekwa, kurasa zitachanganuliwa kwa metatagi.
Huwasha matumizi ya mtoa huduma wa utafutaji chaguo-msingi.
Ukiwasha mipangilio hii, utafutaji chaguo-msingi utatekelezwa mtumiaji anapoandika maandishi katika sanduku kuu ambalo si URL.
Unaweza kubainisha mtoa huduma wa utafutaji chaguo-msingi atakayetumiwa kuweka sera nyingine zote za utafutaji chaguo-msingi. Hizi zikiachwa bila chochote, mtumiaji anaweza kuchagua mtoa huduma chaguo-msingi.
Ukizima mipangilio hii, hakuna utafutaji utakaotekelezwa mtumiaji anapoweka maandishi ambayo si URL katika sanduku kuu.
Ukiwasha au kuzima mipangilio hii, watumiaji hawawezi kubadilisha au kubatilisha mipangilio hii katika Google Chrome.
Sera hii ikiachwa bila kuwekwa, mtoa huduma wa utafutaji chaguo-msingi atawashwa, na mtumiaji ataweza kuweka orodha ya utafutaji ya mtoa huduma.
Sera hii haipatikani kwenye matukio ya Windows ambayo hayajaunganishwa kwenye kikoa cha Saraka Inayotumika.
Inabainisha jina la mtoaji wa utafutaji chaguo -msingi. Likiachwa tupu au bila kuwekwa, jina la mpangishaji lililobainishwa na URL ya utafutaji litatumiwa.
Sera hii inazingatiwa tu ikiwa sera ya 'DefaultSearchProviderEnabled' itawezeshwa.
Hubainisha neno muhimu, ambalo ni njia mkato inayotumiwa katika SanduKuu kusisimua utafutaji kwa mtoa huduma huyu.
Sera hii ni ya hiari. Ikiwa haijawekwa, hakuna neno muhimu litakaloamilisha mtoa huduma ya utafutaji.
Sera hii inazingatiwa tu ikiwa sera ya 'DefaultSearchProviderEnabled' imewezeshwa.
Hubainisha URL ya mtambo wa kutafuta inayotumika unapofanya utafutaji chaguo-msingi. URL inafaa kujumlisha maneno '{searchTerms}', ambayo nafasi yake inachukuliwa wakati wa kuandika hoja ya maneno ambayo mtumiaji atakuwa akitafuta.
Chaguo hili sharti liwekwe wakati sera ya 'DefaultSearchProviderEnabled' imewashwa na itazingatiwa tu ikiwa hii ndiyo hali.
Hubainisha URL ya mtambo wa kutafuta inayotumika ili kutoa mapendekezo ya utafutaji. URL inafaa kujumlisha maneno '{searchTerms}', ambayo nafasi yake itachukuliwa wakati wa kuandika hoja na maandishi ambayo mtumiaji atakuwa ameingiza kufikia wakati huo.
Sera hii ni ya hiari. Ikiwa haijawekwa, hakuna URL ya mapendekezo itakayotumika.
Hii inazingatiwa tu ikiwa sera ya 'DefaultSearchProviderEnabled' imewashwa.
Hubainisha URL ya mtambo wa kutafuta inayotumiwa kutoa matokeo ya papo hapo. URL itakuwa na maneno '{searchTerms}', ambayo nafasi yake itachukuliwa wakati wa kuandika hoja na maandishi ambayo mtumiaji atakuwa ameingiza kufikia wakati huo.
Sera hii ni ya hiari. Isipowekwa, hakuna matokeo ya utafutaji ya papo hapo yatatolewa.
Sera hii itazingatiwa tu ikiwa sera ya 'DefaultSearchProviderEnabled' itawashwa.
Inabainisha ikoni ya URL pendwa ya mtoaji chaguo-msingi wa utafutaji.
Sera hii ni ya hiari. Ikiwa haitawekwa, hakuna ikoni itakayokuwepo kwa mtojai wa utafutaji.
Sera hii inafuatiliwa tu ikiwa sera ya 'DefaultSearchProviderEnabled' imewezeshwa.
Inabainisha usimbaji wa vibambo unaohimiliwa na kitoaji cha utafutaji. Usimbaji ni majini ya ukurasa msimbo kama UTF-8, GB2312, na ISO-8859-1. Yanajaribiwa katika mpangilio uliotolewa.
Sera hii ni ya hiari. Ikiwa haijawekwa, chaguo-msingi itatumika ambayo nis UTF-8.
Sera hii inaheshimiwa tu ikiwa sera ya 'DefaultSearchProviderEnabled' imewezeshwa.
Hubainisha orodha ya URL mbadala zinazoweza kutumiwa ili kupata taminolijia za utafutaji kutoka kwenye mtambo wa kutafuta. URL zinafaa kuwa na maneno '{searchTerms}', ambayo yatatumika kupata taminolojia za utafutaji.
Sera hii ni ya hiari, Iwapo haijawekwa, hakuna url mbadala zitazotumika kupata hoja za utafutaji.
Sera hii inazingatiwa tu iwapo sera ya 'DefaultSearchProviderEnabled' imewashwa.
Sera hii ikiwekwa na URL ya utafutaji inayopendekezwa kutoka kwenye sandukuu iwe na kigezo hiki katika mtiririko wa hoja au katika kitambulishi cha kipande, basi pendekezo litaonyesha maneno ya utafutaji na mtoa huduma ya utafutaji badala ya URL ya utafutaji ghafi.
Sera hii ni ya hiari. Isipowekwa, mabadiliko ya hoja ya utafutaji hayatatekelezwa.
Sera hii inaheshimiwa tu iwapo sera ya 'DefaultSearchProviderEnabled' imewezeshwa.
Hubainisha URL ya injini tafuti inayotumika kutoa utafutaji kwa picha. Maombi ya utafutaji yatatumwa kwa kutumia mbinu ya GET. Kama sera ya DefaultSearchProviderImageURLPostParams imewekwa basi maombi ya utafutaji kwa picha yatatumia mbinu ya POST badala yake.
Sera hii ni ya hiari. Isipowekwa, hakuna utafutaji kwa picha utakaotumika.
Sera hii itatumika tu endapo sera ya 'DefaultSearchProviderEnabled' imewashwa.
Hubainisha URL ambayo injini ya utafutaji inatumia kutoa ukurasa mpya wa kichupo.
Sera hii ni ya hiari. Kama haitawekwa, hakuna ukurasa mpya wa kichupo utatolewa.
Sera hii inatumika tu kama sera ya 'DefaultSearchProviderEnabled' imewashwa.
Hubainisha vigezo vinavyotumika wakati wa kutafuta URL kwa kutumia POST. Ina vikundi vya jina/thamani vinavyotenganishwa na koma. Kama thamani ni kigezo cha kiolezo, kama {Hoja za utafutaji} katika mfano hapo juu, itabadilishwa na data ya hoja za utafutaji halisi.
Sera hii ni ya hiari. Isipowekwa, ombi la utafutaji litatumwa kutumia mbinu ya GET.
Sera hii inatumika endapo sera ya 'DefaultSearchProviderEnabled' imewashwa.
Hubainisha vigezo vinavyotumika wakati wa kufanya utafutaji kwa mapendekezo kutumia POST. Ina vikundi vya jina/thamani vinavyotenganishwa na koma. Kama thamani ni kigezo cha kiolezo, kama, {Hoja za utafutaji} katika mfano hapo juu, itabadilishwa na data ya hoja za utafutaji halisi.
Sera hii ni ya hiari. Isipowekwa, ombi la utafutaji kwa mapendekezo litatumwa kwa kutumia mbinu ya GET.
Sera hii inatumika tu endapo sera ya 'DefaultSearchProviderEnabled' imewashwa.
Hubainisha vigezo vinavyotumika wakati wa kufanya utafutaji wa papo hapo kwa kutumia POST. Ina vikundi vya jina/thamani vinavyotenganishwa na koma. Kama thamani ni kigezo cha kiolezo, kama {Hoja za utafutaji} katika mfano hapo juu, itabadilishwa na data ya hoja za utafutaji za kweli.
Sera hii ni ya hiari. Isipowekwa, ombi la utafutaji wa papo hapo litatumwa kwa kutumia mbinu ya GET.
Sera hii inatumika tu endapo sera ya 'DefaultSearchProviderEnabled' imewashwa.
Hubainisha vigezo vinavyotumika wakati wa kufanya utafutaji kwa picha kutumia POST. Ina vikundi vya jina/thamani vinavyotenganishwa na koma. Kama thamani ni kigezo cha kiolezo, kama {Kijipicha} katika mfano hapo juu, itabadilishwa na data ya kijipicha cha picha halisi.
Sera hii ni ya hiari. Isipowekwa, ombi la utafutaji kwa picha litatumwa kwa kutumia mbinu ya GET.
Sera hii inatumika tu endapo sera ya 'DefaultSearchProviderEnabled' imewashwa.
Hukuruhusu kubainisha tabia wakati wa kuanzisha.
Ukichagua 'Fungua Ukurasa wa Kichupo Kipya' Ukurasa wa Kichupo Kipya utafunguliwa kila unapoanzisha Google Chrome.
Ukichagua 'Rejesha kipindi cha mwisho', URL ambazo zilikuwa zimefunguliwa mara ya mwisho Google Chrome ilipofungwa zitafunguliwa tena na kipindi cha kuvinjari kitarejeshwa kama kilivyoachwa. Kuchagua chaguo hili kunazima baadhi ya mipangilio ambayo inategemea vipindi au ambayo inatekeleza vitendo unapoondoka (kama vile Futa data ya kuvinjari unapoondoka au vidakuzi vya kipindi pekee).
Ukichagua 'Fungua orodha ya URL', orodha ya 'URL za kufungua unapoanzisha' zitafunguliwa mtumiaji anapoanzisha Google Chrome.
Ukiwasha mipangilio hii, watumiaji hawawezi kuibadilisha au kuibatilisha katika Google Chrome.
Kuzima mipangilio hii ni sawa na kuiacha bila kuisanidi. Bado mtumiaji ataweza kuibadilisha katika Google Chrome.
Sera hii haipatikani kwenye matukio ya Windows ambayo hayajaunganishwa kwenye kikoa cha Saraka Inayotumika.
Ikiwa 'Fungua orodha ya URL' itachaguliwa kama kitendo cha kuanzisha, hii inakuruhusu kubainisha orodha ya URL zilizofunguliwa. Ikiachwa bila kuwekwa hakuna URL itakayofunguliwa wakati wa kuanzisha.
Sera hii inafanya kazi tu ikiwa sera ya 'RestoreOnStartup' imewekwa kuwa 'RestoreOnStartupIsURLs'.
Sera hii haipatikani kwenye matukio ya Windows ambayo hayajaunganishwa kwenye kikoa cha Saraka Inayotumika.
Hukuruhusu kuweka iwapo tovuti zinaruhusiwa kuweka data ya ndani. Kuweka data ya ndani kunaweza kuruhusiwa kwa tovuti zote au kukataliwa kwa tovuti zote.
Sera hii ikiwekwa 'Weka vidakuzi kwa muda wa kipindi' basi vidakuzi vitafutwa kipindi kikifungwa. Kumbuka kwamba ikiwa Google Chrome inatekeleza katika 'hali ya chini chini', huenda kipindi kisifungwe wakati dirisha la mwisho litakapofungwa. Tafadhali angalia sera ya 'BackgroundModeEnabled' kwa maelezo zaidi kuhusu kusanidi tabia hii.
Sera hii ikiachwa bila kuwekwa, kipengee cha 'AllowCookies' kitatumiwa na mtumiaji ataweza kukibadilisha.
Inakuruhusu kuweka iwapo tovuti zinaruhusiwa kuonyesha picha. Kuonyesha picha kunaweza kuwa kwa tovuti zote au kukataliwa kwa tovuti zote.
Ikiwa sera hii itasalia kama haijawekwa, 'AllowImages' zitatumiwa na mtumiaji ataweza kuibadilisha.
Inakuruhusu kuweka iwapo tovuti zinaruhusiwa kuendesha JavaScript. Kuendesha JavaScript kunaweza kuruhusiwa kwa tovuti zote au kukataliwa kwa tovuti zote.
Ikiwa sera hii itasalia kama haijawekwa, 'AllowJavaScript' itatumiwa na mtumiaji ataweza kuibadilisha.
Inakuruhusu kuweka ikiwa tovuti zinaruhusiwa kuendesha programu jalizi kiotomatiki. Kuendesha programu jalizi kiotomatiki kunaweza kuruhusiwa kwa tovuti zote au kukataliwa kwa tovuti zote.
Bofya ili kuruhusu programu jalizi kuendesha lakini lazima mtumiaji azibofye ili kuanzisha kutumika kwazo.
Ikiwa sera hii itaachwa bila kuwekwa, 'AllowPlugins' itatumiwa na mtumiaji ataweza kuibadilisha.
Inakuruhusu kuweka ikiwa tovuti zinaruhusiwa kuonyesha ibukizi. Kuonyesha ibukizi kunaweza kuruhusiwa kwa tovuti zote au kukataliwa kwa tovuti zote.
Ikiwa sera hii itaachwa bila kuwekwa, 'BlockPopups' itatumiwa na mtumiaji ataweza kuibadilisha.
Inakuruhusu kuweka iwapo tovuti zinaruhusiwa kuonyesha arifa. Kuonyesha arifa za eneo-kazi kunaweza kuruhusiwa kwa chaguo-msingi, kukataliwa kwa chaguo-msingi au mtumiaji anawewa kuulizwa kila wakati tovuti inayotaka kuonyesha arifa za eneo-kazi.
Ikiwa sera hii itasalia kama haijawekwa, 'AskNotifications' itatumika na mtumiaji ataweza kuibadilisha.
Inaruhusu iwapo tovuti zinaruhusiwa kufuatilia eneo halisi la mtumiaji. Kufuatilia eneo halisi la mtumiaji kunaweza kuruhusiwa kwa chaguo-msingi, kukataliwa kwa chaguo-msingi au mtumiaji anaweza kuulizwa kila wakati tovuti ambayo inaomba eneo halisi.
Ikiwa sera hii itasalia kama haijawekwa, 'AskGeolocation' itatumika na mtumiaji ataweza kuibadilisha.
Inakuruhusu kuweka ikiwa tovuti zinaruhusiwa kufikia vifaa vya media vya kunasa. Ufikivu wa vifaa vya media vya kunasa unaweza kuruhusiwa kwa chaguo-msingi, au mtumiaji anaweza kuulizwa kila wakati tovuti inapotaka kufikia vifaa vya media vya kunasa.
Ikiwa sera hii itaachwa bila kuwekwa, 'PromptOnAccess' itatumiwa na mtumiaji ataweza kuibadilisha.
Hukuruhusu kuweka iwapo tovuti zinaruhusiwa kutumia uundaji wa ufunguo. Kutumia uundaji ufunguo kunaweza kuruhusiwa kwa tovuti zote au ukataliwe kwa tovuti zote.
Sera hii ikiachwa bila kuwekwa, 'BlockKeygen' itatumiwa na mtumiaji anaweza kuibadilisha.
Hukuruhusu kubainisha orodha ya ruwaza za url zinazobainisha tovuti ambazo Google Chrome inapaswa kuchagua cheti cha seva teja kiotomatiki, tovuti ikiomba cheti.
Lazima thamani iwe orodha ya kamusi za JSON zenye mfuatano. Lazima kila kamusi iwe na muundo wa { "pattern": "$URL_PATTERN", "filter" : $FILTER }, ambapo $URL_PATTERN ni ruwaza ya mipangilio ya maudhui. $FILTER huweka vikwazo vya ni vyeti vipi vya seva teja ambavyo kivinjari kitateua kiotomatiki kutoka kwavyo. Kwa kutotegemea kichujio, vyeti pekee ndivyo vitakavyochaguliwa vinavyolingana na ombi la cheti cha seva. Ikiwa $FILTER ina muundo wa { "ISSUER": { "CN": "$ISSUER_CN" } }, zaidi ya hayo vyeti vya seva teja tu ndivyo vinavyochaguliwa vinavyotolewa na cheti chenye CommonName $ISSUER_CN. Ikiwa $FILTER ni kamusi tupu {}, uchaguzi wa vyeti vya seva teja hauwekewi vikwazo.
Sera hii ikiachwa bila kuwekwa, hakuna uchaguzi wa kiotomatiki utakaofanywa kwa tovuti yoyote.
Inakuruhusu kuweka ruwaza za url ambazo zinabainisha tovuti ambazo zinaruhusiwa kuweka vidakuzi.
Ikiwa sera hii itasalia kama haijawekwa thamani chaguo-msingi ya ulimwenguni itatumiwa kwa tovuti zote aidha kutoka kwenye sera ya 'DefaultCookiesSetting' ikiwa imewekwa, au vinginevyo usanidi binafsi wa mtumiaji.
Inakuruhusu kuweka orodha ya ruwaza za url zinazobainisha tovuti zisizoruhusiwa kuweka vidakuzi.
Ikiwa sera hii itaachwa bila thamani chaguo-msingi yote itatumiwa kwa tovuti zote kutoka kwenye sera ya 'DefaultCookiesSetting' ikiwa imewekwa, au vinginevyo usanidi binafsi wa mtumiaji.
Hukuruhusu kuweka orodha ya ruwaza za url ambazo zinabainisha tovuti zinazoruhusiwa kuweka vidakuzi vya kipindi pekee.
Sera hii ikiachwa bila kuwekwa, thamani chaguo-msingi ya dunia itatumiwa kwa tovuti zote iwe ni kutoka sera ya 'DefaultCookiesSetting' ikiwa imewekwa, au sivyo usanidi wa kibinafsi wa mtumiaji utatumika.
Kumbuka kwamba ikiwa Google Chrome inatekeleza katika 'hali ya chini chini, kipindi hakitafungwa dirisha la mwisho la kivinjari linapofungwa, badala yake litaendelea kutumika hadi kivinjari kifunge. Tafadhali angalia sera ya 'BackgroundModeEnabled' kwa maelezo zaidi kuhusu jinsi ya kusanidi tabia hii.
Ikiwa sera ya "RestoreOnStartup" itawekwa kurejesha URL za vipindi vya awali, sera hii haitazingatiwa na vidakuzi vitahifadhiwa kabisa kwa tovuti hizo.
Inakuruhusu kuweka orodha ya ruwaza za url zinazobainisha tovuti zinazoruhusiwa kuonyesha picha.
Ikiwa sera hii itaachwa bila thamani chaguo-msingi yote itatumiwa kwa tovuti zote kutoka kwenye sera ya 'DefaultImageSetting' ikiwa imewekwa, au vinginevyo usanidi binafsi wa mtumiaji.
Inakuruhusu kuweka orodha ya ruwaza za url ambazo zinabainisha tovuti ambazo haziruhusiwi kuonyesha picha.
Ikiwa sera hii itasalia kama haijawekwa thamani chaguo-msingi ya ulimwenguni itatumiwa aidha kutoka kwenye sera ya 'DefaultImagesSetting' ikiwa imewekwa, au vinginevyo usanidi binafsi wa mtumiaji.
Inakuruhusu kuweka orodha ya ruwaza za url ambazo zinabainisha tovuti ambazo zinaruhusiwa kuendesha JavaScript.
Ikiwa sera hii itasalia kama haijawekwa thamani yote chaguo-msingi itatumiwa kwa tovuti zote kutoka kwenye sera ya 'DefaultJavaScriptSetting' ikiwa imewekwa, au vinginevyo usanidi binafsi wa mtumiaji.
Inakuruhusu kuweka orodha ya ruwaza za url ambazo zinabainisha tovuti ambazo haziruhusiwi kuendesha JavaScript.
Ikiwa sera hii itasalia kama haijawekwa thamani chaguo-msingi ya ulimwenguni itatumiwa aidha kutoka kwenye sera ya 'DefaultJavaScriptSetting' ikiwa imewekwa, au vinginevyo usanidi binafsi wa mtumiaji.
Hukuruhusu kuweka orodha ya ruwaza za url zinazobainisha tovuti zinazoruhusiwa kuunda ufunguo. Ikiwa ruwaza ya url iko katika 'KeygenBlockedForUrls', hiyo hubatilisha vighairi hivi.
Sera hii ikiachwa bila kuwekwa, thamani chaguo-msingi ya kote duniani itatumiwa kwenye tovuti zote iwe ni kutoka sera ya 'DefaultKeygenSetting', ikiwa imewekwa, la sivyo mipangilio ya kibinafsi ya mtumiaji itatumika.
Hukuruhusu kuweka orodha ya ruwaza za url zinazobainisha tovuti zinazoruhusiwa kuunda ufunguo. Ikiwa ruwaza ya url iko katika 'KeygenAllowedForUrls', hiyo hubatilisha vighairi hivi.
Sera hii ikiachwa bila kuwekwa, thamani chaguo-msingi ya kote duniani itatumiwa kwa tovuti zote iwe ni kutoka sera ya 'DefaultKeygenSetting' ikiwa imewekwa, la sivyo mipangilio ya kibinafsi ya mtumiaji itatumika.
Inakuruhusu kuweka orodha ya ruwaza za url ambazo zinaruhusiwa kuendesha programu jalizi.
Ikiwa sera hii itasalia kama haijawekwa thamani yote chaguo-msingi itatumiwa kwa tovuti zote kutoka kwenye sera ya 'DefaultPluginsSetting' ikiwa imewekwa, au vinginevyo usanidi binafsi wa mtumiaji.
Inakuruhusu kuweka orodha ya ruwaza za url ambazo zinaruhusiwa kuendesha programu jalizi.
Ikiwa sera hii itasalia kama haijawekwa thamani yote chaguo-msingi itatumiwa kwa tovuti zote kutoka kwenye sera ya 'DefaultPluginsSetting' ikiwa imewekwa, au vinginevyo usanidi binafsi wa mtumiaji.
Inakuruhusu kuweka orodha ya ruwaza za url ambazo zinabainisha tovuti ambazo zinaruhusiwa kufungua ibukizi.
Ikiwa sera hii itasalia kama haijawekwa thamani yote chaguo-msingi itatumiwa kwa tovuti zote kutoka kwenye sera ya 'DefaultPopupsSetting' ikiwa imewekwa, au vinginevyo usanidi binafsi wa mtumiaji.
Hukuruhusu kusajili orodha ya vishikilizi vya itifaki. Hii inaweza kuwa sera iliyopendekezwa pekee. Sifa |protocol| inastahili kuwekwa kuwa mpango kama vile 'mailto' na sifa |url| inastahili kuwekwa kuwa mpangilio wa URL ya programu inayoshikilia mpango. Mpangilio unajumuisha '%s', ambayo ikiwepo itabadilishwa na URL iliyoshikiliwa.
Vishikilizi vya itifaki vilivyosajiliwa na sera vinaunganishwa na vilivyosajiliwa na mtumiaji na vyote viwili vinapatikana kwa matumizi. Mtumiaji anaweza kubatilisha vishikilizi vya itifaki vilivyosakinishwa na sera kwa kusakinisha kishikilizi kipya cha chaguo-msingi, lakini hawezi kuondoa kishikilizi cha itifaki kilichosajiliwa na sera.
Inakuruhusu kuweka orodha ya ruwaza za url zinazobainisha tovuti zisizoruhusiwa kufungua ibukizi.
Ikiwa sera hii itaachwa bila thamani chaguo-msingi yote itatumiwa kwa tovuti zote kutoka kwenye sera ya 'DefaultPopupeSetting' ikiwa imewekwa, au vinginevyo usanidi binafsi wa mtumiaji.
Inakuruhusu kuweka orodha ya ruwaza za url ambazo zinabainisha tovuti ambazo zinaruhusiwa kuonyesha arifa.
Ikiwa sera hii itasalia kama haijawekwa thamani yote chaguo-msingi itatumiwa kwa tovuti zote kutoka kwenye sera ya 'DefaultNotificationsSetting' ikiwa imewekwa, au vinginevyo usanidi binafsi wa mtumiaji.
Inakuruhusu kuweka orodha ya ruwaza za url ambazo zinabainisha tovuti ambazo haziruhusiwi kuonyesha arifa.
Ikiwa sera hii itasalia kama haijawekwa thamani yote chaguo-msingi itatumika kwa tovuti zote kutoka katika sera ya 'DefaultNotificationsSetting' ikiwa imewekwa, au vinginevyo usanidi binafsi wa mtumiaji.
Onyesha chaguo za ufikiaji za Google Chrome OS katika menyu ya mfumo.
Sera hii ikiwekwa kuwa ndivyo, chaguo za Ufikiaji zitaonekana katika menyu ya treya ya mfumo wakati wote.
Sera hii ikiwekwa kuwa sivyo, chaguo za Ufikiaji hazitaonekana kamwe katika menyu ya treya ya mfumo.
Ukiweka sera hii, watumiaji hawawezi kuibadilisha au kuibatilisha.
Sera hii isipowekwa, chaguo za Ufikiaji hazitaonekana katika menyu ya treya ya mfumo, lakini mtumiaji anaweza kusababisha chaguo za Ufikiaji zionekane kupitia ukurasa wa Mipangilio.
Washa kipengee cha upatikanaji cha kishale kikubwa. Iwapo sera hii imewekwa kuwa kweli, kishale kikubwa kitawashwa kila wakati. Iwapo sera hii imewekwa kuwa haitumiki, kishale kikubwa kitawashwa kila wakati. Iwapo utaweka sera hii, watumiaji hawezi kuibadilisha au kuipuuza. Iwapo sera hii haijawekwa, kishale kikubwa kitazimwa mwanzoni lakini kitawashwa na mtumiaji wakati wowote.
Washa kipengele cha upatikanaji wa maoni yanayotamkwa.
Iwapo sera hii imewekwa kuwa kweli, maoni yanayotamkwa yatakuwa yamewashwa kila wakati.
Iwapo sera itawekwa kuwa haitumiki, maoni yanayotamkwa yatazimwa kila wakati.
Iwapo utaweka sera hii, watumiaji hawezi kuibadilisha au kuipuuza.
Iwapo sera hii haijawekwa, maoni yanayotamkwaa yatazimwa mwanzoni lakini yanaweza kuwashwa na mtumiaji wakati wowote.
Washa kipengee cha upatikanaji cha hali ya juu ya utofutishaji. Kama sera hii imewekwa kuwa kweli, hali ya juu ya utofautishaji itawashwa kila wakati. Kama sera hii imewekwa kuwa haitumiki, hali ya juu ya utofautishaji itazimwa kila wakati. Kama sera hii imewekwa, watumiaji hawawezi kuibadilisha au kuipuuza. Kama sera hii haitawekwa, hali ya juu ya utofautishaji itazimwa mwanzoni lakini inaweza kuwashwa na mtumiaji wakati wowote.
Washa kipengele cha ufikiaji wa kibodi ya skrini.
Sera hii ikiwekwa kuwa ndivyo, kibodi ya skrini itawashwa wakati wote.
Sera hii ikiwekwa kuwa sivyo, kibodi ya skrini itazimwa wakati wote.
Ukiweka sera hii, watumiaji hawawezi kuibadilisha au kuibatilisha.
Sera hii isipowekwa, skrini ya kibodi itakuwa imezimwa mwanzoni lakini inaweza kuwashwa na mtumiaji wakati wowote.
Hubadilisha tabia chaguo-msingi ya vitufe vya safumlalo ya juu kwenda vitufe vya kukokotoa.
Sera hii ikiwekwa kuwa ndivyo, vitufe vya safumlalo ya juu ya kibodi vitatoa amri za vitufe vya kukokotoa kwa chaguo-msingi. Kitufe cha kutafuta lazima kibonyezwe ili kurejesha tabia yake kuwa vitufe vya media.
Sera hii ikiwekwa kuwa sivyo au isiwekwe, kibodi itatoa amri za vitufe vya media kwa chaguo-msingi na amri za vitufe vya kukokotoa wakati kitufe cha kutafuta kimeshikiliwa.
Weka aina ya kikuza skrini ambacho kimewashwa. Iwapo sera hii imeweka, inadhibiti aina ya kikuza skrini amabacho kimewashwa. Kuweka sera kuwa "Hakuna" huzima kikuza skrini.
Iwapo utaweka sera hii, watumiaji hawawezi kuibadilisha au kuipuuza. Kama sera hii haitawekwa, kikuza skrini huzimwa mwanzoni lakini kinaweza kuwashwa na mtumiaji wakati wowote.
Weka hali chaguo-msingi ya kipengele cha upatikanaji wa kishale kikubwa kwenye skrini ya kuingia katika akaunti.
Kama sera hii itawekwa kuwa kweli, kishale kikubwa kitawashwa wakati skrini ya kuingia katika akaunti itakapoonyeshwa.
Kama sera hii ni itawekwa kuwa uongo, kishale kikubwa kitazimwa wakati skrini ya kuingia katika akaunti itakapoonyeshwa.
Kama utaweka sera hii, watumiaji wanaweza kuipuuza kwa muda kwa kuwasha au kuzima kishale kikubwa. Hata hivyo, chaguo la mtumiaji halitaendelea na chaguo-msingi litarejeshwa tena wakati wowote skrini ya kuingia katika skrini itakapoonyeshwa upya au mtumiaji atakaposalia bila kufanya kitu kwenye skrini ya kuingia katika akaunti kwa dakika moja.
Kama sera hii haijawekwa, kishale kikubwa huzimwa wakati skrini ya kuingia katika akaunti itakapoonyeshwa kwanza. Watumiaji wanaweza kuwasha au kuzima kishale kikubwa wakati wowote na hali yake kwenye skrini ya kuingia katika akaunti inaendelea kati ya watumiaji.
Weka hali ya chaguo msingi ya kipengee cha ufikiaji cha maoni yaliyotamkwa kwenye skrini ya kuingi. Iwapo sera hii imewekwa kuwa kweli, maoni yaliyosemwa yatawashwa skrini ya kuingina katika akaunti itakapoonyeshwa. Iwapo sera hii imewekwa kwa haitumiki, maoni yaliyosemwa yatazimwa skrini ya kuingina katika akaunti itakapoonyeshwa. Ukiweka sera hii, watumiaji wanaweza kuipuuza kwa muda kwa kuwasha au kuzima maoni yaliyotamkwa. Hata hivyo, uchaguzi wa mtumiaji sio wa kuendelea na chaguo-msingi hurejeshwa tena wakati wowote skrini ya kuingia katika akaunti inapoonekana upya au mtumiaji anaposalia kama hafanyi kitu kwenye skrini ya kuingia katika akaunti kwa dakika moja. Iwapo sera hii itawachwa bila kuwekwa, maoni yaliyotamkwa yatazimwa skrini ya kuingia katika akaunti itakapoonyeshwa kwanza. Watumiaji wanaweza kuwasha au kuzima maoni yaliyosemwa wakati wowote na hali yake kwenye skrini ya kuingia katika akaunti itakatalia kati ya watumiaji.
Weka hali chaguo msingi ya kipengee cha ufikiaji cha utofautishaji wa juu kwenye skrini ya kuingia katika akaunti. Iwapo sera hii imewekwa kuwa kweli, hali ya juu ya utofautishaji itawashwa wakati skrini ya kuingia katika akaunti itakapoonyeshwa. Iwapo sera hii imewekwa kwa haitumiki, hali ya juu ya utofautishaji itazimwa wakati skrini ya kuingia katika akaunti itakapoonyeshwa. Iwapo utaweka sera hii, watumiaji wanaweza kwa muda kuipuuza kwa kuwasha au kuzima hali ya juu ya utofautishaji. Hata hivyo, chaguo la mtumiaji halitaendelea na chaguo-msingi hurejeshwa tena wakati wowote skrini ya kuingia katika akaunto inapoonyeshwa upya au mtumiaji anaposalia bila kufanya kitu kwenye skrini ya kuingia katika akaunti kwa dakika moja. Iwapo sera hii haijawekwa, hali ya juu ya utoafautishaji huzimwa wakati skrini ya kuingia katika akaunti inapoonyeshwa kwanza. Watumiaji wanaweza kuwasha au kuzima hali ya juu ya utofautishaji wakati wowote na hali yake kwenye skrini ya kuingia katika akaunti inaendelea kati ya watumiaji.
Weka hali chaguo-msingi ya kipengele cha ufikiaji cha kibodi ya skrini kwenye skrini ya kuingia katika akaunti.
Sera hii ikiwekwa kuwa ndivyo, kibodi ya skrini itawashwa wakati skrini ya kuingia katika akaunti inaonyeshwa.
Sera hii ikiwekwa kuwa sivyo, kibodi ya skrini itazimwa wakati skrini ya kuingia katika akaunti inaonyeshwa.
Ukiweka sera hii, watumiaji wanaweza kuibatilisha kwa muda kwa kuwasha au kuzima kibodi ya skrini. Hata hivyo, chaguo la watumiaji halidumu na chaguo-msingi hurejeshwa kila wakati skrini ya kuingia katika akaunti inapoonyeshwa upya au mtumiaji anapokuwa hafanyi kitu kwenye skrini ya kuingia katika akaunti kwa dakika moja.
Sera hii isipowekwa, kibodi ya skrini inawashwa skrini ya kuingia katika akaunti inapoonyeshwa mara ya kwanza. Watumiaji wanaweza wakazima au kuwasha kibodi ya skrini wakati wowote na hali yake kwenye skrini ya kuingia katika akaunti inadumu kati ya watumiaji.
Weka aina chaguo-msingi ya kikuza skrini ambacho kimewashwa kwenye skrini ya kuingia katika akaunti. Kama sera hii itawekwa, itadhibiti aina ya kikuza skrini ambacho kimewashwa wakati skrini ya kuingia katika akaunti itakapoonyeshwa. Kuweka sera kuwa "Hakuna" huzima kikuza skrini.
Kama umeweka sera hii, watumiaji wanaweza kuipuuza kwa muda kwa kuwasha au kuzima kikuza skrini. Hata hivyo, chaguo la mtumiaji haliendelei na chaguo msingi hurejeshwa tena wakati skrini ya kuingia katika akaunti inapoonyeshwa upya au mtumiaji anapobakia bila kufanya kitu kwenye skrini ya kuingia katika akaunti kwa dakika moja.
Kama sera haitawekwa, kikuza skrini kitazimwa wakati skrini ya kuingia katika akaunti itakapoonyeshwa kwanza. Watumiaji wanaweza kuwasha au kuzima kikuza skrini wakati wowote na hali yake kwenye skrini ya kuingia katika akaunti inaendelea kati ya watumiaji.
Ikiwekwa kuwa kweli, akaunti za watumiaji wanaosimamiwa zitaweza kufunguliwa na kutumiwa.
Ikiwekwa kuwa si kweli au haijasanidiwa, uwezo wa kufungua na kuingia kwenye akaunti za watumiaji wanaosimamiwa utazimwa. Watumiaji wote wanaosimamiwa watafichwa.
KUMBUKA: Tabia chaguo-msingi ya vifaa vya wateja na biashara inatofautiana: kwenye vifaa vya wateja, watumiaji wanaosimamiwa huwashwa kama chaguo-msingi, lakini kwenye vifaa vya biashara wao huzimwa kama chaguo-msingi.
Ikiwekwa kuwa si kweli, uwezo wa mtumiaji huu wa kufungua akaunti ya mtumiaji anayesimamiwa utazimwa. Bado mtumiaji yeyote ambaye hivi sasa anasimamiwa atapatikana.
Ikiwekwa kuwa kweli au haijasanidiwa, akaunti za watumiaji wanaosimamiwa zinaweza kufunguliwa na kusimamiwa na mtumiaji huyu.
Ikiwa ndivyo na mtumiaji ni anayesimamiwa, basi programu nyingine za Android zinaweza kudadisi vikwazo vya wavuti vya mtumiaji kupitia kwa mtoa huduma za maudhui.
Ikiwa sivyo au haijawekwa mtoa huduma za maudhui hatarudisha maelezo yoyote.
Ruhusu Google Chrome Frame kushughulikia aina zilizoorodheshwa za maudhui.
Ikiwa sera hii haitawekwa kionyeshi chaguo-msingi kitatumiwa kwa tovuti zote kama ilivyobainishwa na sera ya 'ChromeFrameRendererSettings'.
Huzima usawazishaji wa Hifadhi ya Google katika programu ya Faili ya Google Chrome OS unapowekwa kuwa Ndivyo. Kwa hivyo, hakuna data inayopakiwa kwenye Hifadhi ya Google.
Isipowekwa au ikiwekwa kuwa Sivyo, basi watumiaji wataweza kuhamisha faili kwenye Hifadhi ya Google.
Huzima usawazishaji wa Hifadhi ya Google katika programu ya Faili ya Google Chrome OS inapotumia muunganisho wa simu ya mkononi inapowekwa kuwa Ndivyo. Kwa hivyo, data inasawazishwa tu kwenye Hifadhi ya Google inapounganishwa kupitia WiFi au Ethaneti.
Isipowekwa au ikiwekwa kuwa Sivyo, basi watumiaji wataweza kuhamisha faili hadi Hifadhi ya Google kupitia miunganisho ya simu za mkononi.
Sera hii haihimiliwi tena. Inawezesha matumizi ya STUN na kubadilisha seva inapounganisha kwenye mteja wa mbali.
Ikiwa mpangilio huu umewezeshwa, hivyo basi mashine yanaweza kutambua na kuunganisha kwenye mpangishaji wa mbali hata ikiwa yametengamnishwa kwa ngome.
Ikiwa mpangilio huu umelemazwa na miunganisho ya UDP inayoondoka imechujwa kwa ngome, hivyo basi mashine haya yanaweza tu kuunganisha kwenye mashine ya mpangishaji katika mtandao wa karibu.
Huwasha matumizi ya seva za STUN seva teja za mbali zinapojaribu kutambua muunganisho wa mashini hii.
Ikiwa mpangilio huu utawashwa, basi seva teja za mbali zinaweza kugundua na kuunganisha kwenye mashini hii hata kama zimetenganishwa na ngome.
Ikiwa mpangilio huu utazimwa na miunganisho ya kutoa ya UDP imechujwa na ngome, basi mashini hii itaweza tu kuruhusu miunganisho kutoka kwenye mashini ya seva teja katika mtandao wa karibu.
Ikiwa sera hii itaachwa bila kuwekwa mpangilio utawashwa.
Inasanidi jina la kikoa linalohitajika litakalolazimishwa kwa wapangishaji wa ufikvu wa mbali na huzuia watumiaji kulibadilisha.
Ikiwa mpangilio huu utawezeshwa, basi wapangishaji wanaweza kushirikiwa tu kwa kutumia akaunti zilizosajiliwa kwenye jina la kikoa lililobainishwa.
Ikiwa mpangilio huu utalemazwa au haujawekwa, basi wapangishaji wanaweza kushirikiwa kwa kutumia akaunti yoyote.
Inawezesha uthibitishaji wa vipengee viwili kwa wapangishaji wa ufikivu wa mbali badala ya PIN iliyobainishwa na mtumiaji.
Ikiwa mpangilio huu utawezeshwa, basi lazima mtumiaji atoe sababu mbili za msimbo halai anapofikia mpangishaji.
Ikiwa mpangilio huu utalemazwa au hautawekwa, basi sababu mbili hazitawezeshwa na tabia ya chaguo-msingo kuwa na PIN iliyofafanuliwa na mtumiaji itatumiwa.
Inasanidi kiambishi awali cha TalkGadget ambacho kitatumiwa na mpangishaji wa ufikivu wa mbali na huzuia watumiaji kukibadilisha.
Kikibainishwa, kiambishi hiki awali kinasitishwa kwenye jina la msingi la TalkGadget ili kuunda jina kamili la kikoa la TalkGadget. Jina msingi la kikoa la TalkGadget ni '.talkgadget.google.com'.
Ikiwa mpangilio huu utawezeshwa, basi wapangishaji watatumia jina maalum la kikoa wakati wa kufikia TalkGadget badala ya jina chaguo-msingi la kikoa.
Ikiwa mpangilio huu utalemazwa au hautawekwa, basi jina chaguo-msingi la kikoa la TalkGadget ('chromoting-host.talkgadget.google.com') litatumiwa kwa wapangishaji wote.
Wateja wa ufikivu wa mbali hawaathiriki kwa mpangilio huu wa sera. Mara kwa mara watatumiwa 'chromoting-client.talkgadget.google.com' ili kufikia TalkGadget.
Inawezesha uzuiaji wa wapangishaji wa ufikivu wa mbali wakati muunganisho unapoendelea.
Ikiwa mpangilio huu utawezeshwa, basi vifaa halisi vya ingizo na towe vitalemazwa wakati muunganisho wa mbali unapoendelea.
Ikiwa mpangilio huu utalemzwa au hautawekwa, basi watumiaji wa karibu na wa mbali wanaweza kuingiliana na seva pangishi inaposhirikiwa.
Mpangilio huu ukiwashwa au usiposanidiwa, basi watumiaji wanaweza kuchagua kuoanisha viteja na mpangishi wakati wa kuunganisha, hivyo kuondoa haja ya kuingiza PIN kila wakati.
Mpangilio huu ukizimwa, basi kipengele hiki hakitapatikana.
Mpangilio huu ukiwashwa, basi maombi ya uthibitisho ya gnubby yatawekwa kama proksi kupitia muunganisho wa mpangishi wa mbali.
Mpangilio huu ukizimwa au usisanidiwe, maombi ya uthibitisho ya gnubby hayatawekwa kama proksi.
Inawasha matumizi ya seva za relei seva teja za mbali zinapojaribu kutambua muunganisho wa mashini hii.
Ikiwa mpangilio huu utawashwa, basi seva teja za mbali zinaweza kutumia seva za relei kuunganisha kwenye mashini hii muunganisho wa moja kwa moja unapokosekana (k.m. kwa sababu ya vizuizi vya ngome).
Fahamu kuwa ikiwa sera RemoteAccessHostFirewallTraversal itawashwa, sera hii itapuuzwa.
Ikiwa sera hii itaachwa bila kuwekwa mpangilio utawashwa.
Huzuia masafa ya lango la UDP yanayotumiwa na mpangishi wa ufikiaji wa mbali katika mashini hii.
Ikiwa sera hii itaachwa bila kuwekwa, au ikiwa itawekwa kwenye mfuatano mtupu, mpangishi wa ufikiaji wa mbali ataruhusiwa kutumia lango lolote linalopatikana, isipokuwa sera RemoteAccessHostFirewallTraversal izimwe, ambapo mpangishi wa ufikiaji wa mbali atatumia malango ya UDP katika masafa ya 12400-12409.
Huhitaji jina la mtumiaji wa ndani na mmiliki wa seva pangishi ya uwezo wa kufikia kwa mbali vilingane.
Mipangilio hii ikiwashwa, basi seva pangishi ya uwezo wa kufikia kwa mbali hulinganisha jina la mtumiaji wa ndani (ambalo linahusishwa na seva pangishi) na jina la akaunti ya Google lililosajiliwa kama mmiliki wa seva pangishi (yaani "johndoe" ikiwa seva pangishi inamilikiwa na akaunti ya Google ya "johndoe@example.com"). Seva pangishi ya uwezo wa kufikia kwa mbali haitaanza ikiwa jina la mmiliki wa seva pangishi ni tofauti na jina la mtumiaji wa ndani linalohusishwa na seva pangishi. Sera ya RemoteAccessHostMatchUsername inapaswa kutumiwa pamoja na RemoteAccessHostDomain ili kutekeleza pia akaunti ya Google ya mmiliki wa seva pangishi inayohusishwa na kikoa mahususi (yaani "example.com").
Sera hii ikizimwa au isipowekwa, basi seva pangishi ya uwezo wa kufikia kwa mbali inaweza kuhusishwa na mtumiaji yeyote wa ndani.
URL ambapo seva teja za uwezo wa kufikia kwa mbali zanapaswa kupata tokeni yao ya uthibitishaji.
Sera hii ikiwekwa, seva pangishi ya uwezo wa kufikia kwa mbali itahitaji seva teja zinazothibitisha kupata tokeni ya uthibitishaji kutoka kwenye URL hii ili kuunganisha. Lazima itumiwe pamoja na RemoteAccessHostTokenValidationUrl.
Kwa sasa kipengele hiki kimezimwa upande wa seva.
URL ya kuidhinisha tokeni ya uthibitishaji wa seva teja ya uwezo wa kufikia kwa mbali.
Sera hii ikiwekwa, seva pangishi ya uwezo wa kufikia kwa mbali itatumia URL hii ili kuidhinisha tokeni kutoka kwenye seva teja za uwezo wa kufikia kwa mbali, ili kukubali miunganisho. Lazima itumiwe pamoja na RemoteAccessHostTokenUrl.
Kwa sasa kipengele hiki kimezimwa upande wa seva.
Cheti cha seva teja cha kuunganisha kwenye RemoteAccessHostTokenValidatioUrl.
Sera hii ikiwekwa, seva pangishi itatumia cheti cha seva teja kilichotolewa na CN kuthibitisha RemoteAccessHostTokenValidationUrl. Kiweke kiwe "*"kutumia cheti chochote cha seva teja kinachopatikana.
Kwa sasa kipengele hiki kimezimwa upande wa seva.
Hubatilisha sera kwenye miundo ya Kutatua ya seva pangishi ya uwezo wa kufikia kwa mbali.
Thamani imechanganuliwa kama kamusi ya JSON ya jina la sera hadi kuweka thamani za sera.
Hubainisha mipango ya uthibitishaji wa HTTP inayotumia na Google Chrome.
Thamani zinazowezekana ni 'basic', 'digest', 'ntlm' na 'negotiate'. Tenganisha thamani anuwai kwa koma.
Ikiwa sera hii itaachwa bila kuwekwa, mipango yote minne itatumika.
Inabainisha ikiwa Kerberos SPN ilitengenezwa kulingana na jina la kanuni ya DNS au jina halisi lililoingizwa.
Ukiwezesha mpangilio huu, kidokezo cha CNAME kitaachwa na jina la seva litatumiwa kama lilivyoingizwa.
Ukilemaza mpangilio huu au uuache bila kuuweka, jina la kanuni la seva litathibitishwa kupitia kidokezo cha CNAME.
Inabainisha ikiwa Kerberos SPN zilizotengenezwa zinafaa kujumuisha lango lisilo wastani.
Ukiwezesha mpangilio huu, na lango lisilo wastani (yaani, lango jingine lisilo la 80 au 443) liingizwe, itajumuishwa katika Kerberos SPN iliyotengenezwa.
Ukilemaza mpangilio huu au uuache bila kuwekwa, Kerberos SPN zilizotengenezwa hazitajumuisha lango kwa namna yoyote.
Hubainisha ni seva zipi zinazowekwa katika orodha ya zilizoidhinishwa kwa uthibitishaji uliojumuishwa. Uthibitishaji uliojumuishwa unawashwa tu wakati ambapo Google Chrome inapokea shindano kutoka kwenye proksi au seva iliyo katika orodha hii iliyoruhusiwa.
Seva nyingi tofauti zenye koma. Kadi egemezi (*) zinaruhusiwa.
Ukiacha sera hii bila kuiweka Google Chrome itajaribu kugundua ikiwa seva iko kwenye Intraneti na hapo ndipo itajibu maombi ya IWA pekee. Iwapo seva itagunduliwa kama Intraneti basi maombi ya IWA yatapuuzwa na Google Chrome.
Seva ambazo Google Chrome inaweza kuwekea majukumu.
Tenganisha majina mengi ya seva kwa koma. Herufi wakilishi (*) zinaruhusiwa.
Ukiacha sera hii bila kuiweka Google Chrome haitaweza kuweka majukumu ya vitambulisho vya mtumiaji hata ikiwa seva itagunduliwa kama Intraneti.
Hubainisha maktaba yapi ya GSSAPI ya kutumia kwa uthibitishaji wa HTTP. Unaweza kuweka tu jina la maktaba, au njia kamili.
Ikiwa hakuna mipangilio iliyotolewa, Google Chrome itaendelea kutumia jina chaguo-msingi la maktaba.
Hubainisha aina ya akaunti ya akaunti zinazotolewa na programu ya uthibitishaji wa Android inayotumia uthibitishaji wa HTTP Negotiate (k.m. uthibitishaji wa Kerberos). Maelezo haya yanapaswa kupatikana kutoka kwa muuzaji wa programu ya uthibitishaji. Kwa maelezo zaidi angalia https://goo.gl/hajyfN.
Ikiwa mipangilio haijatolewa, uthibitishaji wa HTTP Negotiate utazimwa kwenye Android.
Hudhibiti iwapo maudhui madogo ya wengine kwenye ukurasa yanaruhusiwa kuibukiza kisanduku kidadisi cha HTTP Basic Auth.
Kwa kawaida hii inalemazwa kama ulinzi wa uhadaaji. Ikiwa sera hii haijawekwa, hii italemazwa na maudhui madogo ya wengine hayataruhusiwa kuibukiza kisanduku kidadisi cha HTTP Basic Auth.
Inakuruhusu kubainisha seva ya proksi iliyotumiwa na Google Chrome na huzuia watumiaji kubadilisha mipangilio ya proksi.
Ukichagua kutotumia seva ya proksi kamwe na uunganishe moja kwa moja wakati wote, chaguo nyingine zote zinapuuzwa.
Ukichagua kutumia mipangilio ya proksi au ugundue seva ya proksi kiotomatiki, chaguo nyingine zote zinapuuzwa.
Ukichagua modi iliyopangwa ya proksi ya seva, unaweza kubainisha chaguo nyingine katika 'Anwani au URL ya seva ya proksi' na 'Orodha iliyotengenishwa kwa koma ya kanuni za ukwepaji proksi'.
Ukichagua kutumia hati ya proksi ya .pac, lazima ubainishie URL hati katika 'URL kwenye faili ya proksi ya .pac'.
Kwa mifano ya kina, tembelea: https://www.chromium.org/developers/design-documents/network-settings#TOC-Command-line-options-for-proxy-sett
Ukiwezesha mpangilio huu, Google Chrome hupuuza chaguo zote zinazohuaiana na proksi zilizobainishwa kutoka kwenye mstari wa amri.
Kuachwa kwa sera hii bila kuwekwa kutawaruhusu watumiaji kujichagulia mipangilio ya proksi.
Sera hii imepingwa, tumia ProxyMode badala yake.
Inakuruhusu kubainisha seva ya proksi inayotumiwa na Google Chrome na inawazuia watumiaji kubadilisha mipangilio ya proksi.
Ukichagua kutotumia tena seva ya proksi na kuunganisha kila mara moja kwa moja, chaguo nyingine zote zinapuuzwa.
Ukichagua kutumia mipangilio ya proksi ya mfumo au kugundua otomatiki seva ya proksi, chaguo nyingine zote zinapuuzwa.
Ukichagua mipangilio ya kujiwekea proksi mwenyewe, unaweza kubainisha chaguo zaidi katika 'Anwani au URL ya seva ya proksi', 'URL hadi proksi ya faili ya .pac' na 'Orodha iliyotenganishwa kwa vipumuo ya kanuni za kupitana za proksi'..
Kwa mifano ya kina, tembelea: https://www.chromium.org/developers/design-documents/network-settings#TOC-Command-line-options-for-proxy-sett
Ukiwezesha mpangilio huu, Google Chrome inapuuza chaguo zote husiani za proksi zilizobainishwa kutoka kwenye mstari wa amri.
Kuacha sera hii kama haijawekwa kutaruhusu watumiaji kuchagua mipangilio ya proksi kibinafsi.
Unaweza kubainisha URL ya seva ya proksi hapa.
Sera hii inatumika tu ikiwa umechagua mipangilio ya seva mwenyewe katika "Chagua jinsi ya kubainisha mipangilio ya seva ya proksi'.
Unafaa kuacha sera hii kama haijawekwa ikiwa umechagua modi nyingine yoyote ya kuweka sera za proksi.
Kwa chaguo zaidi na mifano ya kina, tembelea: https://www.chromium.org/developers/design-documents/network-settings#TOC-Command-line-options-for-proxy-sett
Unaweza kubainisha URL ya faili ya proksi ya .pac hapa.
Ser hii inaanza kufanya tu kazi ikiwa umechagua mipangilio ya mwongozo wa proksi kwenye 'Chagua namna ya kubainisha mipangilio ya proksi ya seva'.
Iache sera hii bila kuwekwa ikiwa umechagua modi nyingine yoyote ya kuweka sera za proksi.
Kwa mifano ya kina, tembelea: https://www.chromium.org/developers/design-documents/network-settings#TOC-Command-line-options-for-proxy-sett
Google Chrome itakwepa proksi yoyote ya orodha ya wapangishaji iliyotolewa hapa.
Sera hii itatekelezwa tu ikiwa umechagua mipangilio ya proksi mwenyewe katika "Chagua jinsi ya kubainisha mipangilio ya seva'.
Unafaa kuacha sera hii kama haijawekwa ikiwa umechagua modi nyingine yoyote kwa kuweka sera za proksi.
Kwa mifano zaidi ya kina, tembelea: https://www.chromium.org/developers/design-documents/network-settings#TOC-Command-line-options-for-proxy-sett
Hukuruhusu kubainisha ni wapangishaji wapi wa ujumbe asili ambao hawapaswi kupakiwa.
Thamani ya orodha ya wasioidhinishwa ya '*' inamaanisha kwamba wapangishi wote wa ujumbe asili hawajaidhinishwa isipokuwa kama wamewekwa waziwazi katika orodha ya walioidhinishwa.
Kama sera hii haitawekwa Google Chrome itapakia wapangishi wote waliosakinishwa wa ujumbe asili.
Hukuruhusu kubainisha ni wapangishi wapi wa ujumbe asili wasiowekwa kwenye orodha ya wasioidhinishwa.
Thamani ya orodha ya wasioidhinishwa ya * inamaanisha wapangishi wote wa ujumbe asili hawajapewa idhini na ni wapangishi wa ujumbe asili waliowekwa kwenye orodha iliyoidhinishwa ndio watakaopakiwa pekee.
Kwa chaguo-msingi, wapangishi wote wa ujumbe asili wameidhinishwa, lakini iwapo wapangishi wote wa ujumbe asili hawajaidhinishwa na sera, orodha ya walioidhinishwa inaweza kutumiwa kubatilisha sera hiyo.
Huwesezesha usakinishi wa ngazi ya mtumiaji wa wapangishi wa Ujumbe Asili.
Iwapo mpangilio huu utawashwa basi Google Chrome huruhusu matumizi ya wapangishi wa Ujumbe wa Asili uliyosakinishwa kwenye ngazi ya mtumiaji.
Iwapo programu hii itazimwa basi Google Chrome itatumia wapangishi wa Ujumbe Asili iliyosakinishwa kwenye ngazi ya mfumo.
Iwapo mpangilio huu utaachwa bila kuwekwa Google Chrome itaruhusu matumizi ya wapangishi wa Ujumbe Asili wa ngazi ya mtumiaji.
Huweka mipangilio ya URL ya ukurasa wa kwanza ya chaguo-msingi katika Google Chrome na huzuia watumiaji kuibadilisha.
Ukurasa wa kwanza ni ukurasa unaofunguliwa na kitufe cha Mwanzo. Kurasa zinazofunguka mwanzoni zinadhibitiwa na sera za RestoreOnStartup.
Aina ya ukurasa wa kwanza inaweza kuwekwa kwenye URL unayobainisha hapa au kuwekwa kwenye Ukurasa Mpya wa Kichupo. Ukichagua Ukurasa Mpya wa Kichupo, basi sera hii haifanyi kazi.
Ukiwasha mipangilio hii, watumiaji hawawezi kubadilisha URL ya ukurasa wao wa kwanza katika Google Chrome, lakini bado wanaweza kuchagua Ukurasa Mpya wa Kichupo kama ukurasa wao wa kwanza.
Kuiacha sera hii bila kuwekwa kutamruhusu mtumiaji kuchagua ukurasa huu wa kwanza mwenyewe iwapo HomepageIsNewTabPage haijawekwa pia.
Sera hii haipatikani kwenye matukio ya Windows ambayo hayajaunganishwa kwenye kikoa cha Saraka Inayotumika.
Husanidi aina ya ukurasa wa kwanza chaguo-msingi katika Google Chrome na kuzuia watumiaji kubadilisha mapendeleo ya ukurasa wa kwanza. Ukurasa wa kwanza unaweza kuwekwa kuwa URL utakayobainisha au Ukurasa wa Kichupo Kipya.
Ukiwasha mipangilio hii, Ukurasa wa Kichupo Kipya hutumiwa kwa ukurasa wa kwanza, na eneo la URL hupuuzwa.
Ukizima mipangilio hii, ukurasa wa kwanza wa mtumiaji hautawahi kuwa Ukurasa wa Kichupo Kipya, isipokuwa kama URL yake imewekwa kuwa 'chrome://newtab'.
Ukiwasha au kuzima mipangilio hii, watumiaji hawawezi kubadilisha aina ya ukurasa wao wa kwanza katika Google Chrome.
Kuacha sera hii bila kuiweka kutamruhusu mtumiaji kuchagua mwenyewe kama ukurasa wa kichupo kipya ndio ukurasa wake kwanza.
Sera hii haipatikani kwenye matukio ya Windows ambayo hayajaunganishwa kwenye kikoa cha Saraka Inayotumika.
Hubainisha urefu wa muda bila mchango wa mtumiaji ambapo baadaye skrini hufifilizwa inapoendeshwa kwenye nishati ya betri.
Sera hii inapowekwa kwenye thamani kubwa zaidi ya sufuri, hubainisha urefu wa muda ambao lazima mtumiaji asalie bila shughuli kabla ya Google Chrome OS kufifiliza skrini.
Sera hii inapowekwa kwenye sufuri, Google Chrome OS haififilizi skrini mtumiaji anaposalia bila shughuli.
Sera hii inapokuwa haijawekwa, urefu wa muda wa chaguo-msingi unatumiwa.
Sera ya thamani inastahili kubainishwa kwa nukta. Thamani zinabanwa ili kuwa chini ya ucheleweshaji wa kutokuwa na shughuli.
Hubainisha urefu wa muda bila mchango wa mtumiaji ambapo baadaye skrini huzimwa inapoendeshwa kwa nishati ya AC.
Sera hii inapowekwa kwenye thamani kubwa zaidi ya sufuri, hubainisha urefu wa muda ambao lazima mtumiaji asalie bila shughuli kabla ya Google Chrome OS kuzima skrini.
Sera hii inapowekwa kwenye sufuri, Google Chrome OS haizimi skrini mtumiaji anaposalia bila shughuli.
sera hii inapokuwa haijawekwa, urefu wa chaguo-msingi hutumiwa.
Sera ya thamani inastahili kubainishwa kwa nukta. Thamani zinabanwa ili kuwa chini ya ucheleweshaji wa kutokuwa na shughuli.
Hubainisha urefu wa muda bila mchango wa mtumiaji ambapo baadaye skrini hufungwa inapoendeshwa kwa nishati ya AC.
Sera hii inapowekwa kwenye thamani kubwa zaidi ya sufuri, hubainisha urefu wa muda ambao lazima mtumiaji asalie bila shughuli kabla ya Google Chrome OS kufunga skrini.
Sera hii inapowekwa kwenye sufuri, Google Chrome OS haifungi skrini mtumiaji anaposalia bila shughuli.
Sera hii inapokuwa haijawekwa, urefu wa chaguo-msingi unatumiwa.
Njia iliyopendekezwa ya kufunga skrini isiyo na shughuli ni kuwezesha ufungaji skrini iliyositishwa na kusitisha Google Chrome OS baada ya onyesho liliso na shughuli. Sera hii inastahili kutumiwa tu wakati ambapo ufungaji wa skrini utatokea kwa muda mrefu kuliko kusitisha au usitishaji usio na shughuli hauhitajiki hata kidogo.
Sera ya thamani inastahili kubainishwa kwa nukta. Thamani zinabanwa ili kuwa chini ya ucheleweshaji wa kutokuwa na shughuli.
Hubainisha urefu wa muda bila matumizi ya mtumiaji baada ya upi mazungumzo ya onyo huonyeshwa wakati inaendeshwa kwenye nishati ya AC.
Sera hii inapowekwa, inabainisha urefu wa muda ambao mtumiaji anaweza kukaa bila kufanya kitu kabla Google Chrome OS haijaonyesha mazungumzo ya onyo ya kumwambia mtumiaji kuwa kitendo cha kutokufanya kitu kiko karibu kutekelezwa.
Sera hii inapoondolewa, hakuna mazungumzo ya onyo yatatoonyeshwa.
Thamani ya sera inapaswa kubainishwa kwa milisekunde. Thamani zinafungashwa kuwa chini ya au sawa na muda wa kutofanya kitu.
Hubainisha urefu wa muda bila mchango wa mtumiaji ambao baadaye hatua isiyo na shughuli huchukuliwa inapoendeshwa kwenye nishati ya AC.
Sera hii inapowekwa, hubainisha urefu wa muda ambao lazima mtumiaji asalie bila shughuli kabla ya Google Chrome OS kuchukua hatua ya kutokuwa na shughuli, kinachoweza kusanidiwa tofauti.
Sera hii inapokuwa haijawekwa, urefu wa muda wa chaguo-msingi hutumiwa.
Sera ya thamani inastahili kubainishwa kwa nukta.
Hubainisha urefu wa muda bila mchango wa mtumiaji ambapo baadaye skrini hufifilizwa inapoendeshwa kwenye nishati ya betri.
Sera hii inapowekwa kwenye thamani kubwa zaidi ya sufuri, hubainisha urefu wa muda ambao lazima mtumiaji asalie bila shughuli kabla ya Google Chrome OS kufifiliza skrini.
Sera hii inapowekwa kwenye sufuri, Google Chrome OS haififilizi skrini mtumiaji anaposalia bila shughuli.
Sera hii inapokuwa haijawekwa, urefu wa muda wa chaguo-msingi unatumiwa.
Sera ya thamani inastahili kubainishwa kwa nukta. Thamani zinabanwa ili kuwa chini ya ucheleweshaji wa kutokuwa na shughuli.
Hubainisha urefu wa muda bila mchango wa mtumiaji ambapo baadaye skrini inazimwa inapoendeshwa kwenye nishati ya betri.
Sera hii inapowekwa kwenye thamani kubwa zaidi ya sufuri, hubainisha urefu wa muda ambao lazima mtumiaji asalie bila shughuli kabla ya Google Chrome OS kuzima skrini.
Sera hii inapowekwa kwenye sufuri, Google Chrome OS haizimi skrini mtumiaji anaposalia bila shughuli.
Sera hii inapokuwa haijawekwa, urefu wa muda wa chaguo-msingi unatumiwa.
Sera ya thamani inastahili kubainishwa kwa nukta. Thamani zinabanwa ili kuwa chini ya ucheleweshaji wa kutokuwa na shughuli.
Hubainisha urefu wa muda bila mchango wa mtumiaji ambapo baadaye skrini hufungwa inapoendeshwa kwa nguvu ya betri.
Sera hii inapowekwa katika thamani kubwa zidi ya sufuri, hubainisha urefu wa muda ambao lazima mtumiaji asalie bila shughuli kabla ya Google Chrome OS kufunga skrini.
Sera hii inapowekwa kwenye sufuri, Google Chrome OS haifungi skrini mtumiaji anaposalia bila shughuli.
sera hii inapokuwa haijawekwa, urefu wa chaguo-msingi unatumiwa.
Njia inayopendekezwa ya kufunga skrini isiyo na shughuli ni kuwezesha ufungaji skrini iliyositishwa na kusitisha Google Chrome OS baada ya onyesho liliso na shughuli. Sera hii inastahili kutumiwa tu wakati ambapo ufungaji wa skrini utatokea kwa muda mrefu kuliko kusitisha au usitishaji usio na shughuli hauhitajiki hata kidogo.
Sera ya thamani inastahili kubainishwa kwa nukta. Thamani zinabanwa ili kuwa chini ya ucheleweshaji wa kutokuwa na shughuli.
Hubainisha urefu wa muda ambao mtumiaji anaweza kukaa bila kufanya kitu baada ya upi mazungumzo ya onyo yataonyeshwa wakati ikiendeshwa kwenye nishati ya betri.
Sera hii inapowekwa, inabainisha urefu wa muda ambao mtumiaji anaweza kukaa bila kufanya kitu kabla Google Chrome OS haijaonyesha mazungumzo ya onyo yanayomwambia mtumiaji kuwa kitendo cha kukaa bila kufanya kitu kiko karibu kutekelezwa.
Sera hii inapoondolewa, hakuna mazungumzo ya onyo yanayoonyeshwa.
Thamani ya sera inapaswa kubainishwa kwa milisekunde. Thamani zimefungashwa ili ziwe chini ya au sawa na muda wa kutofanya kitu.
Hubainisha urefu wa muda bila mchango wa mtumiaji ambapo baadaye skrini hufifilizwa inapoendeshwa kwenye nishati ya betri.
Sera hii inapowekwa, hubainisha urefu wa muda ambao lazima mtumiaji asalie bila shughuli kabla ya Google Chrome OS kuchukua hatua ya kutokuwa na shughuli, inayoweza kusanidiwa tofauti.
Sera hii inapokuwa haijawekwa, urefu wa muda wa chaguo-msingi unatumiwa.
Sera ya thamani inastahili kubainishwa kwa nukta.
Bainisha kitendo cha kuchukua wakati ucheleweshaji wa kutokufanya kitu unapofikiwa.
Kumbuka kwamba sera hii haitumiki tena na itaondolewa katika siku za usoni.
Sera hii itatoa thamani mbadala kwa sera maalum za IdleActionAC na IdleActionBattery. Sera hii ikiwekwa, thamani yake inatumika endapo sera maalum husika haijawekwa.
Sera hii ikiondolewa, matumizi ya sera maalum hubaki bila kuathirika.
Bainisha kitendo cha kuchukua ucheleweshwaji wa kutofanya kitu unapofikiwa wakati ikiendeshwa kutumia nishati ya AC.
Sera hii ikiwekwa, inabainisha kitendo ambacho Google Chrome OS huchukua mtumiaji anapokuwa hafanyi kitu kwa muda uliowekwa na ucheleweshaji wa kutofanya kitu, ambao unaweza kusanidiwa kando.
Sera hii ikiondolewa, kitendo chaguo-msingi kitachukuliwa, ambacho ni kusimamisha.
Kama kitendo ni kusimamisha, Google Chrome OS inaweza kusanidi kando ifunge au isifunge skrini kabla ya kusimamisha.
Bainisha kitendo cha kuchukua ucheleweshaji wa kutofanya kitu unapofikiwa wakati ikiendeshwa kutumia nishati ya betri.
Sera hii ikiwekwa, inabainisha kitendo ambacho Google Chrome OS huchukua mtumiaji anapokuwa hafanyi kitu kwa muda uliowekwa na ucheleweshaji wa kutofanya kitu, ambao unaweza kusanidiwa kando.
Sera hii ikiondolewa, kitendo chaguo-msingi kitachukuliwa, ambacho ni kusimamisha.
Kama kitendo ni kusimamisha, Google Chrome OS inaweza kusanidi kando ifunge au isifunge skrini kabla ya kusimamisha.
Bainisha hatua ya kuchukua mtumiaji anapofunga mfuniko.
Sera hii inapowekwa, hubainisha hatua ambayo Google Chrome OS huchukua mtumiaji anapofunga mfuniko wa kifaa.
Sera hii inapokuwa haijawekwa, hatua ya chaguo-msingi huchukuliwa, ambayo ni sitisha.
Iwapo hatua ni sitisha, Google Chrome OS inaweza kusanidiwa tofauti ili kufunga au kutofunga skrini kabla ya kusitisha.
Hubainisha iwapo shughuli za sauti zinaathiri udhibiti wa nishati.
Iwapo sera hii itawekwa kwenye Ukweli au haitawekwa, mtumiaji hasemekani kutokuwa na shughuli sauti inapocheza. Hii inazuia kutokuwa na shughuli kwisha muda kufikiwa na hatua ya kutokuwa na shughuli kuchukuliwa. Hata hivyo, kufifiliza skrini, uchelewaji wa kuzimika kwa skrini na uchelewaji wa kufunga kwa skrini utatekelezwa baada ya muda kwisha kusanidiwa, bila kujali shughuli za sauti.
Sera hii ikiwekwa kwenye Uongo, shughuli za sauti hazizuii mtumiaji kusemekana kutokuwa na shughuli.
Hubainisha iwapo shughuli za video zinaathiri udhibiti wa nishati.
Iwapo sera hii itawekwa katika hali Ndivyo, au haitawekwa, mtumiaji hasemekani kutokuwa na shughuli video inapocheza. Hii inazuia ucheleweshaji wa kutokuwa na shughuli, ufifili wa skrini, uchelewaji wa kuzimika kwa skrini na uchelewaji wa kufunga kwa skrini kufikiwa na hatua zinazofanana kuchukuliwa.
Sera hii ikiwekwa kwenye Sivyo, shughuli za video hazizuii mtumiaji kusemekana kutokuwa na shughuli.
Sera hii imestaafishwa kutoka toleo la 29 la Google Chrome OS. Tafadhali tumia sera ya PresentationScreenDimDelayScale badala yake.
Hubainisha asilimia ambayo kuchelewa kwa mwangaza wa skrini huongezwa wakati kifaa kiko katika hali ya wasilisho.
Kama sera hii itawekwa, inabainisha asilimia ambayo kuchelewa kwa mwangaza wa skrini kutaongezwa wakati kifaa kiko katika hali ya wasilisho. Kuchelewa kwa mwangaza wa skrini kunapopimwa, kuzimwa kwa skrini, kufungua kwa skrini na kucheleweshwa kwa kutofanya kitu hurekebishwa ili kudumisha umbali sawa kutoka kwa kucheleweshwa kwa mwangaza wa skrini kama kulivyosanidiwa awali.
Kama sera hii haijawekwa, mfumo wa kipimo cha msingi kitatumika. Mfumo wa kipimo lazima uwe 100% au zaidi. Thamani zitakazofupisha kuchelewa kwa mwangaza wa skrini katika hali ya wasilisho kuliko kuchelewa kwa mwangaza wa skrini ya kawaida hazitaruhusiwa.
Hubainisha iwapo makufuli ya kuwasha skrini yanaruhusiwa. Makufuli ya kuwasha Skrini yanaweza kuombwa na viendelezi kupitia API ya kiendelezi cha usimamizi wa nishati.
Iwapo sera hii itawekwa kwenye kweli au kuachwa kama haijawekwa, makufuli ya kuwasha skrini yataheshimiwa kwa usimamizi wa nishati.
Iwapo sera hii itawekwa kwenye usiruhusu, kufuli la kuwasha skrini litapuuzwa.
Hubainisha asilimia ambayo kuchelewa kwa mwangaza wa skrini kutaongezwa wakati shughuli ya mtumiaji inazingatiwa wakati skrini inapunguza mwangaza au mara baada ya skrini kuzimwa.
Kama sera hii imewekwa, inabainisha asilimia ambayo kuchelewa kwa mwangaza wa skrini huongezwa wakati shughuli ya mtumiaji inazingatiwa wakati skrini inapunguza mwangaza au mara baada ya skrini kuzimwa. Kuchelewa kwa mwangaza kunapoongezwa, kuzimwa kwa skrini, kufungwa kwa skrini na kucheleweshwa kwa kutofanya kitu hurekebishwa ili kudumisha umbali sawa kutoka kwa kucheleweshwa kwa mwangaza wa skrini kama ilivyosanidiwa kiasili.
Kama sera hii haijawekwa, mfumo wa kipimo cha msingi kitatumika.
Mfumo wa kipimo lazima uwe 100% au zaidi.
Hubainisha iwapo ucheleweshaji wa usimamizi wa nishati na kikomo cha urefu wa kipindi lazima tu uanze kutekeleza baada ya kuonekana kwa shughuli ya kwanza ya mtumiaji katika kipindi.
Iwapo sera hii imewekwa kuwa Ndivyo, ucheleweshaji wa usimamizi wa nishati na kikomo cha urefu wa kipindi havianzi kutekeleza mpaka shughuli ya kwanza ya mtumiaji ionekane katika kipindi.
Iwapo sera hii imewekwa kuwaSivyo ama imeachwa bila kuwekwa, ucheleweshaji wa usimamizi wa nishati na kikomo cha urefu wa kipindi huanza kutekeleza mara tu kipindi kinapoanza.
Sanidi mipangilio ya kusimamia nishati mtumiaji anapokuwa hafanyi kitu.
Sera hii hudhibiti mipangilio mingi ya mkakati wa kusimamia nishati mtumiaji anapokuwa hafanyi kitu.
Kuna hatua za aina nne: * Mwanga wa skrini utapunguzwa iwapo mtumiaji atakuwa hafanyi kitu kwa muda uliyobainishwa na |ScreenDim|. * Skrini itazimwa iwapo mtumiaji atasalia bila kufanya kitu kwa muda uliobainishwa na |ScreenOff|. * Kidirisha cha ilani kitaonyeshwa iwapo mtumiaji atasalia bila kufanya kitu kwa muda uliobainishwa na |IdleWarning|, kumwambia mtumiaji kuwa hatua ya kutofanya kitu imekaribia kuchukuliwa. * Hatua iliyobainishwa na |IdleAction| itachukuliwa iwapo mtumiaji atasalia bila kufanya kitu kwa muda uliobainishwa na |Idle|.
Kwa kila moja ya vitendo vya hapo juu, lazima ucheleweshaji ubainishwe katika milisekunde, na unahitaji kuwekwa kwa thamani kubwa kuliko sifuri ili kusababisha kitendo sambamba. Iwapo ucheleweshaji umewekwa kuwa sifuri, Google Chrome OS haitachukua kitendo sambamba.
Kwa kila moja ya ucheleweshaji wa hapo juu, urefu wa muda unapoondolewa, thamani chaguo-msingi itatumika.
Kumbuka kwamba thamani za |ScreenDim| zitawekwa kuwa chini ya ama sawa na |ScreenOff|, |ScreenOff| na |IdleWarning| itawekwa kuwa chini ya au sawa na |Idle|.
|IdleAction| inaweza kuwa moja ya vitendo vinne: * |Suspend| * |Logout| * |Shutdown| * |DoNothing|
Wakati |IdleAction| inapoondolewa, hatua chaguo-msingi huchukuliwa, ambayo ni kusimamisha.
Pia kuna mipangilio tofauti ya nishati ya AC na betri.
Hubainisha urefu wa muda bila ingizo la mtumiaji ambapo baada ya hapo skrini hufungwa inapoendeshwa kwa nishati ya AC au betri.
Urefu wa muda unapowekwa thamani kubwa kuliko sifuri, inawakilisha urefu wa muda ambao mtumiaji lazima abaki akiwa hafanyi kitu kabla Google Chrome OS skrini kufunga.
Urefu wa muda unapowekwa kuwa sifuri, Google Chrome OS haifungi skrini mtumiaji anapokuwa hafanyi kitu.
Urefu wa muda unapoondolewa, urefu wa muda chaguo-msingi hutumika.
Njia iliyopendekezwa ya kufunga skrini ambayo haifanyi kazi ni kuwasha kufunga skrini kwenye kusimamisha na Google Chrome OS kusimamisha baada ya ucheleweshaji wa kutofanya kitu. Sera hii lazima itumike wakati kufunga skrini kunatokea muda kiasi kikubwa kuliko kusimamisha au wakati kusimamisha wakati haifanyi kitu hakutakikani kabisa.
Thamani ya sera inapaswa kubainishwa katika milisekunde. Thamani huwekwa pamoja kuwa chini ya ucheleweshaji wa kutofanya kitu.
Kama ni kweli, ushuhuda wa mbali huruhusiwa kwa ajili ya kifaa na cheti kitazalishwa kiotomatiki na kupakiwa kwenye Seva ya Udhibiti wa Kifaa. Kama imewekwa kuwa haitumiki, au kama haijawekwa, hakuna cheti kitakachozalishwa na kupiga simu kwenyeAPI ya Kiendelezi chaenterprise.platformKeysPrivate zitashindwa.
Iwapo ni kweli, mtumiaji anaweza kutumia maunzi kwenye vifaa vya Chrome ili kudhibiti kwa umbali na kuthibitisha utambulisho wake katika CA ya faragha kupitia Enterprise Platform Keys API chrome.enterprise.platformKeysPrivate.challengeUserKey().
Iwapo imewekwa kwa isiyo kweli, au iwapo haijawekwa, simu katika API zitashindwa kwa msimbo wa hitilafu.
Sera hii inabainisha viendelezi vilivyoruhusiwa ili kutumia Enterprise Platform Keys API chrome.enterprise.platformKeysPrivate.challengeUserKey() kwa uthibitishaji wa mbali. Lazima viendelezi viongezwe kwenye orodha hii ili kutumia API.
Iwapo kiendelezi hakipo kwenye orodha, au orodha haijawekwa, upigaji simu katika API utashindwa kwa msimbo wa hitilafu.
Vifaa vyenye Chrome OS vinaweza kutumia uwezo wa kuthibitisha kutoka mbali (Ufikiaji Uliothibitishwa) kupata cheti kilichotolewa na Chrome OS CA kinachothibitisha kuwa kifaa kimekubaliwa kucheza maudhui yanayolindwa. Utaratibu huu unahusisha kutumia Chrome OS CA maelezo maalum ya kuthibitisha maunzi yanayokitambua kifaa husika.
Kama mipangilio hii si ya kweli, kifaa hakitatumia uwezo wa kuthibitisha kutoka mbali kulinda maudhui na huenda kifaa hakitaweza kucheza maudhui yanayolindwa.
Kama mipangilio hii ni ya kweli, au kama haitawekwa, huenda uwezo wa kuthibitisha kutoka mbali utatumika kulinda maudhui.
Inakuruhusu kubainisha viendelezi vipi ambavyo watumiaji HAWAWEZI kusakinisha. Viendelezi ambavyo tayari vimesakinishwa vitaondolewa ikiwa vitaondolewa idhini.
Thamani ilioondolewa idhini ya '*' inamaanisha viendelezi vyote vimeondolewa idhini isipokuwa vimeorodheshwa bayana katika orodha ya kutoa idhini.
Ikiwa sera hii itasalia kama haijawekwa mtumiaji anaweza kusakinisha kiendelezi chochote katika Google Chrome.
Inakuruhusu kubainisha ni viendelezi gani havihusuiani na orodha kuondoa idhini.
Thamani ya orodha ya kuondoa idhini ya * inamaanisha viendelezi vyote vimeondolewa idhini na watumiaji wanaweza tu kusakinisha viendelezi vilivyoorodheshwa katika orodha ya kutoa idhini.
Kwa chaguo-msingi, viendelezi vyote vinatolewa idhini, lakini ikiwa viendelezi vyote vimeondolewa idhini kwa sera, orodha ya kutoa idhini inaweza kutumiwa kuifuta sera hiyo.
Specifies a list of apps and extensions that are installed silently, without user interaction, and which cannot be uninstalled by the user. All permissions requested by the apps/extensions are granted implicitly, without user interaction, including any additional permissions requested by future versions of the app/extension. Furthermore, permissions are granted for the enterprise.deviceAttributes and enterprise.platformKeys extension APIs. (These two APIs are not available to apps/extensions that are not force-installed.)
This policy takes precedence over a potentially conflicting ExtensionsInstallBlacklist policy. If an app or extension that previously had been force-installed is removed from this list, it is automatically uninstalled by Google Chrome.
For Windows instances that are not joined to an Active Directory domain, forced installation is limited to apps and extensions listed in the Chrome Web Store.
Note that the source code of any extension may be altered by users via Developer Tools (potentially rendering the extension dysfunctional). If this is a concern, the DeveloperToolsDisabled policy should be set.
Each list item of the policy is a string that contains an extension ID and an "update" URL separated by a semicolon (;). The extension ID is the 32-letter string found e.g. on chrome://extensions when in developer mode. The "update" URL should point to an Update Manifest XML document as described at https://developer.chrome.com/extensions/autoupdate. Note that the "update" URL set in this policy is only used for the initial installation; subsequent updates of the extension employ the update URL indicated in the extension's manifest.
For example, gbchcmhmhahfdphkhkmpfmihenigjmpp;https://clients2.google.com/service/update2/crx installs the Chrome Remote Desktop app from the standard Chrome Web Store "update" URL. For more information about hosting extensions, see: https://developer.chrome.com/extensions/hosting.
If this policy is left not set, no apps or extensions are installed automatically and the user can uninstall any app or extension in Google Chrome.
Hukuruhusu kubainisha ni URL gani zinaruhusiwa kusakinisha viendelezi, programu, na mandhari.
Kuanzia Google Chrome 21, ni vigumu zaidi kusakinisha viendelezi, programu, na hati za watumiaji nje ya Duka la Chrome kwenye Wavuti. Awali, watumiaji wangebofya kiungo cha faili ya *.crx, na Google Chrome ingejitolea kuisakinisha faili baada ya maonyo machache. Baada ya Google Chrome 21, faili kama hizo lazima zipakuliwe na kuburutwa kwenye ukurasa wa mipangilio wa Google Chrome. Mipangilio hii huruhusu URL mahususi kuwa na mtiririko wa zamani na rahisi wa usakinishaji.
Kila kipengee katika orodha hii ni ruwaza ya mtindo wa kiendelezi unaolingana (angalia https://developer.chrome.com/extensions/match_patterns). Watumiaji wataweza kusakinisha vipengee kwa urahisi kutoka kwenye URL yoyote inayolingana na kipengee katika orodha hii. Maeneo yote mawili ya faili ya *.crx na ukurasa ambapo upakuaji utaanzia (yaani kielekezi) lazima viruhusiwe na ruwaza hizi.
ExtensionInstallBlacklist inapewa kipaumbele dhidi ya sera hii. Yaani, kiendelezi kwenye orodha ya kuondoa idhini hakitasakinishwa, hata kama usakinishaji utafanyika kutoka kwenye tovuti ya orodha hii.
Hudhibiti ni aina zipi za programu au viendelezi zinazoruhusiwa kusakinishwa.
Mipangilio hii inatoa idhini kwa aina za viendelezi au programu zinazokubaliwa zinazoweza kusakinishwa katika Google Chrome. Thamani ni orodha ya mifuatano, ambapo kila kimoja kinafaa kuwa mojawapo ya vinavyofuata: "extension", "theme", "user_script", "hosted_app", "legacy_packaged_app", "platform_app". Angalia hati ya viendelezi vya Google Chrome kwa maelezo zaidi kuhusu aina hizi.
Fahamu kuwa sera hii pia inaathiri viendelezi na programu za kusakinishwa kwa lazima kupitia ExtensionInstallForcelist.
Ikiwa mipangilio hii itasanidiwa, viendelezi/programu zilizo na aina ambayo haiko kwenye orodha havitasakinishwa.
Ikiwa mipangilio hii itaachwa bila kusanidiwa, hakuna vikwazo vitakavyotekelezwa kwenye aina za viendelezi/programu zinazokubaliwa.
Ruruhusu watumiaji wacheze mchezo fiche wa dinosau kifaa kinapokuwa nje ya mtandao.
Sera hii ikiwekwa kuwa Sivyo, watumiaji hawataweza kucheza mchezo mchezo fiche wa dinosau kifaa kinapokuwa nje ya mtandao. Mipangilio hii ikiwekwa kuwa Ndivyo, watumiaji wanaruhusiwa kucheza mchezo wa dinosau. Sera hii isipowekwa, watumiaji hawaruhusiwi kucheza mchezo fiche wa dinosau kwenye Mfumo wa Uendeshaji wa Chrome uliosajiliwa, lakini wanaruhusiwa kuucheza chini ya hali nyingine.
Huruhusu faili zilizo kwenye mashine kufikiwa kwa kuruhusu Google Chrome kuonyesha vidadisi vya uteuzi vya faili.
Ukiwasha mpangilio huu, watumiaji wanaweza kufungua vidadisi vya uteuzi vya faili kama kawaida.
Ukizima mpangilio huu, wakati wowote mtumiaji anapotekeleza kitendo ambacho kinaweza kufanya kidadisi cha uteuzi faili kionyeshwe (kama kuingiza alamisho, kupakia faili, kuhifadhi viungo, n.k.) ujumbe unaonyeshwa badala yake na mtumiaji anachukuliwa kwamba amebofya Ghairi kwenye kidadisi cha uteuzi wa faili.
Ikiwa mpangilio huu haujawekwa, watumiaji wanaweza kufungua kidadisi cha uteuzi faili kama kawaida.
Huruhusu Google Chrome kuendesha programu jalizi ambazo muda wake wa kutumiwa umeisha.
Ukiwasha mpangilio huu, programu jalizi ambazo muda wake umeisha zinatumika kama programu jalizi za kawaida.
Ukizima mpangilio huu, programu jalizi ambazo muda wake umeisha hazitatumiwa na watumiaji hawataombwa ruhusa ya kuziendesha.
Ikiwa mpango huu haujawekwa, watumiaji wataombwa ruhusa ya kuendesha programu jalizi ambazo muda wake wa kutumiwa umeisha.
Inawezesha matumizi ya kurasa mbadala za hitilafu zilizojengwa katika Google Chrome (kama vile 'ukurasa haukupatikana') na huzuia watumiaji kuubadilisha mpangilio huu.
Ukiwezesha mpangilio huu, kurasa mbadala za hitilafu zinatumiwa.
Ukilemaza mpangilio huu, kurasa mbadala za hitilafu hazitumiwi kamwe.
Ukiwezesha au kuulemaza mpangilio huu, watumiaji hawawezi kuubadilisha au kuufuta mpangilio huu katika Google Chrome.
Ikiwa sera hii itaachwa bila kuwekwa, hii itawezeshwa lakini mtumiaji ataweza kuibadilisha.
Inaruhusu Google Chrome kuendesha programu jalizi ambazo zinahitaji idhinisho.
Ukiwezesha mpangilio huu, programu jalizi ambazo hazichachina kiwa wakati zinaendesha.
Ikiwa mpangilio huu umelemazwa au haujawekwa, watumiaji wataombwa kibali ili kuendesha programu jalizi ambazo zinahitaji idhinisho. Hizi ni programu ambazo zinaweza kuathiri usalama.
Inasanidi lugha ya programu katika Google Chrome na huzuia watumiaji kubadilisha lugha.
Ukiwezesha mpangilio huu, Google Chrome hutumia lugha iliyobainishwa. Ikiwa lugha iliyosanidiwa haijahimiliwa, 'en-US' inatumiwa badala yake.
Ikiwa mpangilio huu utalemazwa au haujawekwa, Google Chrome hutumia lugha inayopendelewa iliyobainishwa na mtumiaji (ikiwa imesanidiwa), lugha ya mfumo au lugha mbadala 'en-US'.
Ruhusu au kataza kuchukuliwa kwa sauti. Ikiwashwa au ikiwa hijasanidiwa (chaguo-msingi), mtumiaji ataombwa ufikiaji wa kuchukua sauti isipokuwa za URL zilizosanidiwa katika orodha ya AudioCaptureAllowedUrls ambayo itapewa ufikiaji bila kuomba. Sera hii ikiwa imezimwa, mtumiaji kamwe hataombwa na uchukuaji wa sauti upatikana kwa URL zilizosanidiwa katika AudioCaptureAllowedUrls pekee. Sera hii huathiri aina zote za vifaa vya kuingiza sauti na si tu maikrofoni iliyojengewa ndani.
Ruwaza katika orodha hii zitalinganishwa dhidi ya asili ya usalama wa ombi la URL. Zikilingana, idhini ya kufikia vifaa vya kunasa sauti itatolewa bila ombi.
KUMBUKA: Kabla ya toleo la 45, sera hii ilitumika katika Skrini nzima pekee.
Ruhusu kucheza sauti.
Sera hii ikiwekwa kuwa sivyo, utoaji wa sauti hautapatikana kwenye kifaa mtumiaji akiwa ameingia.
Sera hii inaathiri aina zote za utoaji wa sauti na siyo tu spika za ndani. Vipengele vya ufikiaji kwa wasio na uwezo wa kusikia pia vinazuiwa na sera hii. Usiwashe sera hii iwapo kisomaji cha skrini kinahitajika kwa mtumiaji.
Ikiwa mpangilio huu utawekwa kuwa ndivyo au hautasanidiwa basi watumiaji wanaweza kutumia vipengee vyote vya utoaji sauti vinavyoweza kutumika kwenye vifaa vyao.
Sera hii imekosolewa. Google Chrome OS itatumia mkakati wa kufuta wa 'RemoveLRU' wakati wowote.
Hudhibiti tabia ya ufutaji otomatiki kwenye vifaa vya Google Chrome OS. Kufuta kiotomatiki kunafanywa kiasi cha nafasi tupu ya diski kinapofikia kiwango muhimu cha kurejesha baadhi ya nafasi ya diski.
Ikiwa sera hii itawekwa kuwa 'RemoveLRU', kufuta kiotomatiki kutaendelea kuondoa watumiaji kwenye kifaa katika agizo la hivi karibuni lililoingiwa mara chache zaidi hadi kuwe na nafasi ya kutosha.
Ikiwa sera hii itawekwa kuwa 'RemoveLRUIfDormant', kufuta kiotomatiki kutaendelea kuwaondoa watumiaji ambao hawajaingia katika akaunti kwa angalau miezi 3 iliyopita katika agizo la hivi karibuni lililoingiwa mara chache zaidi hadi kuwe na nafasi ya kutosha.
Ikiwa sera hii haitawekwa, kufuta kiotomatiki hutumia mkakati wa chaguo-msingi uliojengwa ndani. Kwa sasa, ni mkakati wa 'RemoveLRUIfDormant'.
Inawezesha kipengele cha Mjazo Otomatiki cha Google Chrome na huruhusu watumiaji kukamilisha wavuti kiotomatiki kwa kutumia maelezo ya awali yaliyohifadhiwa kama anwani au maelezo ya kadi ya mkopo.
Ukiuzima mpangilio huu, Mjazo Otomatiki hautafikiwa na watumiaji.
Ukiuwasha mpangilio huu au usipoweka thamani, Mjazo Otomatiki utasalia chini ya udhibiti wa mtumiaji. Hii itawaruhusu kuweka maelezo mafupi ya Mjazo Otomatiki na kuwasha au kuzima Mjazo Otomatiki wapendavyo.
Huamua ikiwa machakato wa Google Chrome utaanza wakati wa kuingia katika Mfumo wa Uendeshaji na kuendelea kutekeleza dirisha la mwisho la kivinjari linapofungwa, hivyo kuruhusu programu za chini chini na kipindi cha kuvinjari cha sasa kuendelea, ikiwa ni pamoja na vidakuzi vya kipindi. Mchakato wa chini chini huonyesha aikoni katika treya ya mfumo na unaweza kufungwa kutoka huko wakati wowote.
Sera hii ikiwekwa kuwa Ndivyo, kipengee cha hali ya chinichini huwashwa na hakiwezi kudhibitiwa na mtumiaji katika mipangilio ya kivinjari.
Sera hii ikiwekwa kuwa Sivyo, kipengee cha hali ya chinichini huzimwa na hakiwezi kudhibitiwa na mtumiaji katika mipangilio ya kivinjari.
Sera hii ikiachwa bila kuwekwa, kipengee cha hali ya chinichini huzimwa kwanza na kinaweza kudhibitiwa na mtumiaji katika mipangilio ya kivinjari.
Inazuia vidakuzi vya wengine.
Kuwezesha mpangilio huu kunazuia vidakuzi kuwekwa na vipengee vya kurasa za wavuti ambavyo havitoki kwenye kikoa kilicho katika upau wa anwani ya kivinjari.
Kulemaza mpangilio huu kunaruhusu vidakuzi kuwekwa na vipengee vya kurasa wa wavuti ambavyo havitoki kwenye kikoa kilicho katika upau wa anwani ya kivinjari na huzuia watumiaji kubadilisha mpangilio huu.
Ikiwa sera hii itaachwa bila kuwekwa, vidakuzi vingine vitawezeshwa lakini mtumiaji ataweza kubadilisha.
Inawezesha upau wa alamisho kwenye Google Chrome.
Ukiwezesha mpangilio huu, Google Chrome itaonyesha upau wa alamisho.
Ukilemaza mpangilio huu, watumiaji kamwe hawataona upau wa alamisho.
Ukiwezesha au kulemaza mpangilio huu, watumiaji hawawezi kubadilisha au kuufuta katika Google Chrome.
Ikiwa mpangilio huu utaachwa bila kuwekwa mtumiaji anaweza kuamua kukitumia kitendaji hiki au asikitumie.
Sera hii ikiwekwa kuwa ndivyo au isisanidiwe Google Chrome itaruhusu kipengee cha Ongeza Mtu kutoka kwa msimamizi wa mtumiaji.
Sera hii ikiwekwa kuwa sivyo, Google Chrome haitaruhusu kuunda wasifu mpya kutoka kwa msimamizi wa wasifu.
Sera hii ikiwekwa kuwa ndivyo au isisanidiwe, Google Chrome itawasha kipengee cha wageni kuingia katika akaunti. Kuingia katika akaunti kwa wageni ni wasifu wa Google Chrome ambapo madirisha yote yako katika hali fiche.
Sera hii ikiwekwa kuwa sivyo, Google Chrome haitaruhusu wasifu wa wageni kuanzishwa.
Hudhibiti iwapo DNS teja ya kijenzi cha ndani inatumika katika Google Chrome.
Iwapo sera hii itawekwa kuwa ndivyo, DNS teja ya kijenzi cha ndani itatumiwa, iwapo itapatikana.
Iwapo sera hii itawekwa kuwa sivyo, DNS teja ya kijenzi cha ndani haitawahi kutumiwa.
Iwapo sera hii itawachwa bila kuwekwa, watumiaji wataweza kubadilisha iwapo DNS teja ya kijenzi cha ndani itatumika kwa kuhariri chrome://flags au kubainisha alama ya mstari wa amri.
Sera hii inaruhusu Google Chrome OS kukwepa seva mbadala yoyote kwa uthibitishaji wa ukurasa wa kwanza wa kuingia kwenye wavuti.
Sera hii inatumika tu ikiwa seva mbadala imesanidiwa (kwa mfano kupitia sera, na mtumiaji katika mipangilio ya://chrome, au kwa kiendelezi).
Ukiwasha mipangilio hii, kurasa zozote za kwanza za kuthibitisha kuingia kwenye wavuti (yaani kurasa zote za wavuti kuanzia ukurasa wa kuingia kwenye wavuti hadi Google Chrome igundue muunganisho bora wa intaneti) zitaonyeshwa kwenye dirisha tofauti bila kujali mipangilio na vikwazo vyote vya sera kwa mtumiaji wa sasa.
Ukizima mipangilio hii au uiache bila kuiweka, kurasa zozote za kwanza za kuthibitisha kuingia kwenye wavuti zitaonyeshwa katika kichupo kipya cha kivinjari (cha kawaida), kwa kutumia mipangilio ya sasa ya seva mbadala ya mtumiaji.
Wezesha kufunga wakati vifaa Google Chrome OS vinakuwa tulivu na vimesimamishwa.
Ukiwezesha mpangilio huu, watumiaji wataulizwa nenosiri ili kufungua kifaa kinacholala.
Ukilemaza mpangilio huu, watumiaji hawataulizwa nenosiri ili kufungua kifaa kinacholala.
Ukiwezesha au kulemaza mpangilio huu, watumiaji hawawezi kukibadilisha au kukifuta.
Ikiwa sera itasalia kama haijawekwa mtumiaji anaweza kuchagua iwapo anataka kuulizwa nenosiri ili kufungua kifaa au la.
Dhibiti tabia ya mtumiaji katika kipindi cha multiprofile kwenye vifaa vya Google Chrome OS.
Ikiwa sera hii itawekwa kuwa 'MultiProfileUserBehaviorUnrestricted', mtumiaji anaweza kuwa wa kwanza au wa pili katika kipindi cha multiprofile.
Ikiwa sera hii itawekwa kuwa 'MultiProfileUserBehaviorMustBePrimary', mtumiaji anaweza kuwa wa kwanza pekee katika kipindi cha multiprofile.
Ikiwa sera hii itawekwa kuwa 'MultiProfileUserBehaviorNotAllowed', mtumiaji hawezi kushiriki kipindi cha multiprofile.
Ukiweka mpangilio huu, watumiaji hawawezi kuubadilisha au kuufuta.
Ikiwa mpangilio utabadilishwa mtumiaji akiwa ameingia katika kipindi cha multiprofile, watumiaji wote katika kipindi watateuliwa dhidi ya mipangilio yao sambamba. Kipindi kitafungwa ikiwa yeyote kati ya watumiaji haruhusiwi kuwa katika kipindi.
Ikiwa sera itaachwa bila kuwekwa, thamani ya chaguo-msingi 'MultiProfileUserBehaviorMustBePrimary' inatumika kwa watumiaji wanaosimamiwa kibiashara na 'MultiProfileUserBehaviorUnrestricted' itatumiwa kwa watumiaji wasiosimamiwa.
Hubainisha kituo cha kutoa ambacho kifaa hiki kinastahili kufungiwa kwacho.
Ikiwa sera hii itawekwa kuwa Ndivyo na sera ya ChromeOsReleaseChannel haijabainishwa basi watumiaji wa kikoa cha uandikishaji kitaruhusiwa kubadilisha kituo cha kutoa cha kifaa. Ikiwa sera hii itawekwa kuwa siyo Ndivyo kifaa kitafungwa katika kituo chochote ambapo kilikuwa kimewekwa mwisho.
Kituo kilichoteuliwa na mtumiaji kitafutwa kwa sera ya ChromeOsReleaseChannel, lakini ikiwa kituo cha sera ni thabiti zaidi kuliko kile ambacho kilikuwa kimesakinishwa kwenye kifaa, hivyo basi kituo kitabadili tu baada ya toleo la kituo thabiti zaidi kinachofikia idadi ya juu zaidi ya toleo kuliko lililosakinishwa kwenye kifaa.
Sera hii imeondolewa kutoka toleo la 29 la Google Chrome
Huwezesha Google Chrome kufanya kazi kama proksi kati ya Google Cloud Print na printa zilizotangulia zilizounganishwa kwenye mashine.
Iwapo mpangilio huu utawashwa au hutasanidiwa, watumiaji wanaweza kutumia proksi ya kuchipisha ya wingu ili kuthibitisha akaunti ya Google.
Iwapo mpangilio huu utafungwa, watumiaji hawawezi kuwasha proksi, na mashine haitaruhusiwa kushiriki printa zake na Google Cloud Print.
Inawezesha Google Chrome kuwasilisha nyaraka kwenye Google Cloud Print ili kuchapishwa. KUMBUKA: Hii inaathiri tu msaada wa Google Cloud Print katika Google Chrome. Haizuii watumiaji kuwasilisha kazi zilizochapishwa kwenye tovuti.
Ikiwa mpangilio huu utawezeshwa au hautasanidiwa, watumiaji wanaweza kuchapisha kwenye Google Cloud Print kutoka kwenye Google Chrome kidadisi cha kuchapisha.
Ikiwa mpangilio huu utalemazwa, watumiaji hawawezi kuchapisha kwenye Google Cloud Print kutoka kwenye Google Chrome kidadisi cha kuchapisha
Huwasha kipengele cha Gusa ili Utafute katika mwonekano wa maudhui ya Google Chrome.
Ukiwasha mipangilio hii, kipengele cha Gusa ili Utafute kitapatikana kwa mtumiaji na anaweza kuamua kukiwasha au kukizima.
Ukizima mipangilio hii, kipengele cha Gusa ili Utafute kitazimwa kabisa.
Sera hii ikiachwa bila kuwekwa, ni sawa na kuwashwa, angalia maelezo yaliyo hapo juu.
Washa au zima proksi ya kupunguza data na inazuia watumiaji kubadilisha mpangilio huu.
Ukiwasha au kuzima mpangilio huu, watumiaji hawawezi kubadilisha ama kupuuza mpangilio huu.
Kama sera hii imeachwa bila kuwekwa, kipengee cha proksi ya kupunguza data kitapatikana ili mtumiaji achague kama atakitumia au la.
Inasanidi ukaguzi wa kivinjari chaguo-msingi kwenye Google Chrome na kuzuia watumiaji kwa kuvibadilisha.
Ukiwezesha mpangilio huu, Google Chrome kila mara itakagua inapoanza iwapo ni kivinjari chaguo-msingi na kujisajili binafsi kiotomatiki ikiwezekana.
Ikiwa mpangilio huu umelemazwa, Google Chrome haitakagua ikiwa ni kivinjari chaguo-msingi na italemaza vidhibiti vya mtumiaji vya kuweka chaguo hili.
Ikiwa mpangilio huu haujawekwa, Google Chrome itaruhusu mtumiaji kudhibiti iwapo ni kivinjari chaguo-msingi na iwapo arifa za mtumiaji zitaonyeshwa wakati siyo.
Hubatilisha sheria za kuchagua printa chaguo-msingi za Google Chrome.
Sera hii hubainisha sheria za kuchagua printa chaguo-msingi katika Google Chrome ambayo hufanyika mara ya kwanza chaguo la kukokotoa la kuchapisha linapotumiwa kwenye wasifu.
Sera hii ikiwekwa, Google Chrome itajaribu kutafuta printa inayolingana na vipengele vyote vilivyobainishwa, na iichague kuwa printa chaguo-msingi. Printa ya kwanza inayopatikana ambayo inalingana na sera huchaguliwa, iwapo hakuna kulingana kwa kipekee printa yoyote inayolingana inaweza kuchaguliwa, kutegemea mpangilio ambao printa zinagunduliwa.
Sera hii isipowekwa au printa inayolingana isipopatikana ndani ya muda uliowekwa, printa itabadilika kwa chaguo-msingi kuwa printa ya PDF iliyojengewa ndani au hakuna printa iliyochaguliwa, printa ya PDF isipopatikana.
Thamani inachanganuliwa kuwa kifaa cha JSON, inayozingatia utaratibu ufuatao: { "type": "object", "properties": { "kind": { "description": "Iwe ni kuweka vikwazo vya matokeo ya utafutaji ya printa inayolingana kwa idadi mahususi ya printa.", "type": { "enum": [ "local", "cloud" ] } }, "idPattern": { "description": "Kilinganishi kilingane na kitambulisho cha printa.", "type": "string" }, "namePattern": { "description": "Kilinganishi kilingane na jina la printa inayoonekana.", "type": "string" } } }
Printa zilizounganishwa kwenye Google Cloud Print zinachukuliwa kuwa "cloud", printa nyingine zote zinafahamika kuwa "local". Kuacha sehemu kunamaanisha kwamba thamani zote zinalingana, kwa mfano, kukosa kubainisha uunganishaji kutasababisha Onyesho la Kuchungulia kuanzisha ugunduzi wa printa za aina zote, za ndani na za wingu. Lazima michoro ya Kilinganishi ifuate sintaksia ya JavaScript RegExp na kulingana kunafuata herufi kubwa au ndogo.
Inalemaza Zana za Msanidi Programu na kiweko cha JavaScript.
Ukiwezesha mpangilio huu, Zana za Msanidi Programu haziwezi kufikiwa na vipengee vya tovuti haviwezi kukaguliwa tena. Mikato yoyote ya kibodi na menyu yoyote au maingizo yoyote ya menyu ya muktadha ya kufungua Zana za Msanidi Programu au Kiweko cha JavaScript vitalemazwa.
Kulemaza chaguo hii au kuiacha bila kuwekwa kutaruhusu mtumiaji kutumia Zana za Msanidi Programu na kiweko cha JavaScript.
Inadhibiti iwapo Google Chrome OS inaruhusu akaunti mpya za mtumiaji kuundwa. Ikiwa sera hii imewekwa kuwa siyo Ndivyo, watumiaji ambao hawana akaunti tayari hawataweza kuingia.
Ikiwa sera hii imewekwa kuwa Ndivyo au haijasanidiwa, akaunti mpya za mtumiaji itaruhusiwa kuundwa mradi tu DeviceUserWhitelist haimzuii mtumiaji kuingia.
Usimamizi wa IT kwa vifaa vya biashara unaweza kutumia alama hii kudhibiti iwapo itaruhusu watumiaji kukomboa matoleo kupitia Usajili wa Chrome OS.
Iwapo sera hii itawekwa kuwa ndivyo au kuachwa bila kuwekwa, watumiaji wataweza kukomboa matoleo kupitia Usajili wa Chrome OS.
Iwapo sera hii itawekwa kuwa sivyo, mtumiaji hataweza kukomboa matoleo.
Sera hii ni amilifu katika modi ya rejareja tu.
Inaorodhesha viendelezi ambavyo vinasakinishwa kiotomatiki kwa mtumiaji wa Onyesho, kwa vifaa katika modi ya rejareja. Viendelezi hivi vinahifadhiwa katika kifaa na vinaweza kusakinishwa nje ya mtandao, baada ya usakinishaji.
Kila ingizo la orodha lina kamusi ambayo ni lazima ijumuishe Kitambulisho cha kirefusho katika uga wa 'kitambulisho cha kirefusho', na URL sasishi yake katika uga wa 'url-sasishi'.
Inalemaza visasisho otomatiki inapowekwa kwenye Ndivyo.
Vifaa Google Chrome OS vinakagua visasisho kiotomatiki wakati mpangilio huu haujasanidiwa au umewekwa kuwa Sivyo.
Hubainisha iwapo p2p itatumika kwa sasisho za data ya OS. Kama imewekwa kuwa Kweli, vifaa vitashiriki na kujaribu kusasisha data kwenye LAN, hivyo kuna uwezekano wa kupunguza matumizi ya kipimo data cha intaneti na msongamano. Kama sasisho ya data haipo kwenye LAN, kifaa kitarudia kupakua kutoka kwenye seva ya sasisho. Kama imewekwa kuwa Uongo ama haijasanidiwa, p2p haitatumika.
Zuia hali ya wasanidi programu.
Ikiwa sera hii itawekwa kuwa Ukweli, Google Chrome OS itazuia kifaa kuwaka katika hali ya wasanidi programu. Mfumo utakataa kuwaka na kuonyesha skrini ya hitilafu swichi ya wasanidi programu itakapowashwa.
Ikiwa sera haitawekwa au itawekwa kuwa Uongo, hali ya wasanidi programu itaendelea kupatikana kwa kifaa.
Inathibitisha iwapo utumiaji wa data nje ya mtandao wako unapaswa kuwezeshwa kwa kifaa. Ikiwa itawekwa kuwa Ndivyo, utumiaji wa data nje ya mtandao wako unawezeshwa. Ikiwa hautasanidiwa au kuwekwa kuwa siyo Ndivyo, utumiaji wa data nje ya mtandao wako hautapatikana.
Inathibitisha iwapo Google Chrome OS inaweka data ya akaunti ya karibu baada ya kuondoka. Ikiwa imewekwa kwenye ndivyo, hakuna akaunti za kudumu zinazowekwa kwa Google Chrome OS na data yote kutoka kwenye kipindi cha mtumiaji itatupwa baada ya kuondoka. Ikiwa sera hii imewekwa kuwa sivyo au haijasanidiwa, kifaa kinaweza kuweka data ya mtumiaji wa karibu (iliyosimbwa fiche).
Ikiwa sera hii itawekwa kwenye Ndivyo au haitasanidiwa, Google Chrome OS haitawezesha uingiaji wa mgeni. Uingiaji wa mgeni ni vipindi visivyojulikana vya mtumiaji na havihitaji nenosiri..
Ikiwa sera hii itawekwa kwenye Sivyo, Google Chrome OS haitaruhusu vipindi vya mgeni kuanzishwa.
Sera hii ni amilifu katika modi ya rejareja tu.
Wakati thamani ya sera hii inawekwa na siyo 0 hivyo basi mtumiaji wa kuonyesha aliyeingia ataondoka kiotomatiki baada ya muda usio wa shughuli wa kipindi kilichobainishwa umekwishwa.
Thamani ya sera inafaa kubainishwa katika milisekunde.
Sera hii ni amilifu katika modi ya rejareja tu.
Wakati DeviceIdleLogoutTimeout inapobainishwa sera hii inafafanua muda wa kikasha cha onyo kwa kipima muda kinachoonyeshwa kwa mtumiaji kabla ya kuondoka kutekelezwa.
Thamani ya sera inastahili kubainishwa katika milisekunde.
Washa njia mkato ya kibodi ya usaidizi wa uingiaji otomatiki.
Iwapo sera hii haijawekwa au imewekwa kwenye Ruhusu na akaunti ya ndani ya kifaa imesanidiwa kwa kutochelewa wakati wa kuingia otomatiki, Google Chrome OS itaheshimu njia mkato ya kibodi ya Ctrl+Alt+S kwa kukwepa kuingia otomatiki na kuonyesha skrini ya kuingia.
Iwapo sera hii imewekwa kwenye Uongo, kuingia bila kuchelewa (iwapo kumesanidiwa) hakuwezi kukwepwa.
Ucheleweshwaji wa kuingia kiotomatiki katika kipindi cha umma.
Sera ya |DeviceLocalAccountAutoLoginId| ikiondolewa, sera hii haina athari. Vinginevyo:
Sera hii ikiwekwa, inabainisha kiasi cha muda ambacho kinaweza kupita bila shughuli ya mtumiaji kabla kuingia kiotomatiki katika kipindi cha umma kilichobainishwa na sera ya |DeviceLocalAccountAutoLoginId|.
Ikiwa sera haitawekwa, milisekunde 0 zitatumika kuonyesha muda umekwisha.
Sera hii inabainishwa kwa miliksekunde.
Kipindi cha uma cha kuingia otomatiki baada ya kuchelewa.
Endapo sera imewekwa, kipindi kilichobainishwa kitawekewa kumbukumbu kiotomatiki baada ya kipindi cha muda kupita katika skrini ya kuingia bila muingiliano wa mtumiaji. Kipindi cha umma lazima kiwe kimesanidiwa tayari (tazama |DeviceLocalAccounts|).
Endapo sera hii haijawekwa, hakutakuwa na kuingia kiotomatiki.
Washa ombi la usanidi wa mtandao inapokuwa nje ya mtandao.
Sera hii isipowekwa au ikiwekwa kuwa Ndivyo na akaunti ya kifaa ya karibu isanidiwe kwa kuingia kiotomatiki pasipo kuchelewa na kifaa kiwe hakina ufikiaji kwa Intaneti, Google Chrome OS itaonyesha ombi la kusanidi mtandao.
Sera hii ikiwekwa kuwa Sivyo, ujumbe wa hitilafu utaonyeshwa badala ya ombi la kusanidi mtandao.
Hubainisha akaunti za kifaa cha karibu nawe cha kuonyeshwa kwenye skrini ya kuingia.
Kila ingizo la orodha hubainisha kitambulishi, kinachotumiwa ndani kutambua akaunti tofauti za kifaa cha karibu nawe zilizo mbali.
Sera hii ikiwekwa kuwa mfuatano wazi au isisanidiwe, Google Chrome OS haitaonyesha chaguo la kukamilisha kiotomatiki wakati mtiririko wa kuingia katika akaunti kwa mtumiaji. Sera hii ikiwekwa kuwa mfuatano unaowakilisha jina la kikoa, Google Chrome OS itaonyesha chaguo la kukamilisha kiotomatiki wakati wa mtumiaji kuingia katika akaunti hivyo kumruhusu mtumiaji kuandika jina lake la mtumiaji pekee bila kiendelezi cha jina la kikoa. Mtumiaji ataweza kufuta jina la kiendelezi cha kikoa hiki.
Sanidi usimamizi wa nishati kwenye skrini ya kuingia katika akaunti ya Google Chrome OS.
Sera hii hukuruhusu kusanidi jinsi Google Chrome OS hufanya kazi kunapokuwa hakuna shughuli ya mtumiaji kwa muda huku skrini ya kuingia katika akaunti ikiwa inaonyeshwa. Sera hii hudhibiti mipangilio mingi. Kwa vigezo maalum na mfululizo wa thamani, tazama sera zinazolingana ambazo hudhibiti usimamizi wa nishati wakati wa kipindi. Tofauti za pekee zilizoko kwenye sera hizi ni: * Vitendo vya kuchukua wakati haifanyi kitu au kifuniko kimefunikwa haviwezi kuwa kumaliza kipindi * Kitendo chaguo-msingi cha kuchukua wakati kifaa hakifanyi kitu kinapoendeshwa kutumia nishati ya AC ni kuzima.
Kama mpangilio usipobainishwa, thamani chaguo-msingi inatumika.
Sera hii ikiondolewa, chaguo-msingi zitatumika kwa mipangilio yote.
Sera hii ni amilifu katika modi rejareja tu.
Inaamua kitambulisho cha kiendelezi cha kutumiwa kama taswira ya skrini kwenye skrini ya kuingia. Lazima kiendelezi kiwe kimoja wapo cha AppPack inayosanidiwa kwa ajili ya kikoa hiki kupitia kwenye sera ya DeviceAppPack.
Sera hii ni amilifu katika modi ya rejareja tu.
Inathibitisha kipindi kabla ya kuonyeshwa kwa taswira ya skrini katika skrini ya kuingia kwa vifaa hivi katika modi ya reje reja.
Thamani ya sera inafaa kubainishwa katika milisekunde.
Inadhibiti iwapo metriki za matumizi zinaripotiwa tena katika Google. Ikiwa imewekwa kwenye ndivyo, Google Chrome OS itaripoti metriki za matumizi. Ikiwa haijasanidiwa au imewekwa kuwa siyo Ndivyo, kuripoti metriki kutalemazwa.
Inaruhusu kusukuma usanidi wa mtandao ili kutumika kwa watumiaji wote wa kifaa cha Google Chrome OS. Usanidi wa mtandao ni mtungo wa JSON ulioumbizwa kama ilivyofafanuliwa na umbizo la Usanidi Huru wa Mtandao ulioelezwa kwenye https://sites.google.com/a/chromium.org/dev/chromium-os/chromiumos-design-docs/open-network-configuration
Inabainisha kipindi kwa nukta ambapo huduma ya udhibiti wa kifaa inahojiwa kwa ajili ya maelezo ya sera ya kifaa.
Kuweka sera hii kunafuta thamani ya chaguo-msingi ya saa 3. Thamani halali za sera hii ziko katika masafa ya kuanzia 1800000 (dakika 30 ) hadi 86400000 (Siku 1). Thamani zozote zisizo katika masafa haya zitabaniwa kwenye mpaka husika.
Kuacha sera hii bila kuwekwa kutafanya Google Chrome OS kutumia thamani chaguo-msingi ya saa 3.
Sera hii ikiwekwa kuwa sivyo au isisanidiwe, Google Chrome OS itamruhusu mtumiaji kuzima kifaa. Sera hii ikiwekwa kuwa ndivyo, Google Chrome OS itaanzisha kuwasha tena mtumiaji anapozima kifaa. Google Chrome OS huchukua nafasi ya matukio yote ya vitufe vya kuzima katika kiolesura kwa kutumia vitufe vya kuzima. Mtumiaji akizima kifaa akitumia kitufe cha kuwasha/kuzima, hakitawasha tena kiotomatiki, hata kama sera imewashwa.
Ikiwa sera hii imewekwa kwenye ndivyo au haijasanidiwa, Google Chrome OS itaonyesha watumiaji waliopo kwenye skrini ya kuingia na kuruhusu kuchagua mmoja. Ikiwa sera hii imewekwa kuwa siyo Ndivyo, Google Chrome OS itatumia kisituo cha jina la mtumiaji/nenosiri kwa kuingia.
Hubainisha alama zinazotakiwa kutumika kwenye Google Chrome inapoanza. Alama zinazobainishwa hutumika kabla Google Chrome haijaanzishwa hata kwa skrini ya kuingia katika akaunti.
Sera hii ni amilifu katika modi ya rejareja tu.
Inathibitisha seti ya URL za kupakiwa wakati kipindi cha onyesho kimeanzishwa. Sera hii itafuta mbinu nyingine zozote za kuweka URL ya kwanza na hivyo zinaweza kutekelezwa katika kipindi ambacho hakihusiani na mtumiaji fulani.
Inawezesha toleo lengwa la Visasisho Otomatiki.
Inabainisha kiambishi awali ambacho toleo lengwa Google Chrome OS linafaa kusasishwa kuwa. Ikiwa kifaa kinaendesha toleo ambalo ni la kabla ya kiambishi awali kilichobainishwa, kitajisasisha hadi kwenye toleo la sasa kwa kiambishi awali kilichotolewa. Ikiwa kifaa tayari kipo katika toleo la sasa, hakuna athari (yaani hakuna kushusha gredi kunakofanyika) na kifaa kitasalia katika toleo la hivi punde. Umbizo la kiambishi awali linafanyakazi kama kijenzi kama linavyoonyeshwa katika mifano ifuatayo:
"" (au haijasanidiwa): sasisha hadi kwenye toleo la sasa linalopatikana. "1412.": sasisha hadi kwenye toleo lolote dogo la 1412 (k.m. 1412.24.34 au 1412.60.2) "1412.2.": sasisha hadi kwenye toleo lolote dogo la 1412.2 (k.m. 1412.2.34 au 1412.2.2) "1412.24.34": sasisha hadi kwenye toleo hili bainifu tu
Hubainisha ikiwa vidakuzi vya uthibitishaji vilivyowekwa na SAML IdP wakati wa kuingia katika akaunti vinafaa kuhamishwa hadi kwenye wasifu wa mtumiaji.
Mtumiaji anapothibitisha kupitia SAML IdP wakati wa kuingia katika akaunti, vidakuzi vilivyowekwa na IdP huandikwa kwenye wasifu wa muda kwanza. Vidakuzi hivi vinaweza kuhamishwa hadi kwenye wasifu wa mtumiaji ili kuendeleza hali ya uthibitishaji.
Sera hii inapowekwa kuwa ndivyo, vidakuzi vilivyowekwa na IdP huhamishwa hadi kwenye wasifu wa mtumiaji kila wakati anapothibitisha dhidi ya SAML IdP wakati wa kuingia katika akaunti.
Sera hii inapowekwa kuwa sivyo au kutowekwa, vidakuzi vilivyowekwa na IdP huhamishwa hadi kwenye wasifu wa mtumiaji wakati anapoingia kwenye kifaa kwa mara ya kwanza pekee.
Sera hii huathiri watumiaji ambao kikoa chao kinalingana na usajili wa kikoa cha kifaa pekee. Kwa watumiaji wengine wote, vidakuzi vilivyowekwa na IdP huhamishwa hadi kwenye wasifu wa mtumiaji anapoingia kwenye kifaa kwa mara ya kwanza pekee.
Aina za miunganisho zinazoruhusiwa kutumia sasisho za Mfumo wa Uendeshaji. Sasisho za Mfumo wa Uendeshaji zinaweza kuweka vichujo vizito kwenye muunganisho kwa sababu ya ukubwa wavyo na huenda vikasababisha gharama ya ziada. Kwa hivyo, haviwashwi kwa chaguo-msingi kwa aina za miunganisho zinazoonekana kuwa ghali, zinazojumuisha WiMax, Bluetooth na Simu ya Mkononi kwa wakati huu.
Vitambulisho vinavyotambuliwa vya aina vya muunganisho ni "ethaneti", "wifi", "wimax", "bluetooth" na "simu ya mkononi".
Sasisho za data kiotomatiki kwenye Google Chrome OS zinaweza kupakuliwa kupitia HTTP badala ya HTTPS. Hii huruhusu uakibishaji wa HTTP wazi wa vipakuliwa vya HTTP.
Sera hii ikiwekwa kuwa ndivyo, Google Chrome OS itajaribu kupakua sasisho za data kiotomatiki kupitia HTTP. Sera ikiwekwa kuwa sivyo ama isiwekwe, HTTPS itatumika kupakua sasisho za data kiotomatiki.
Inabainisha idadi ya sekunde ambazo kifaa kinaweza kuamua kuchelewesha upakuaji wake wa sasisho kutoka wakati ambapo usasishaji ulisukumwa kwanza nje katika seva. Kifaa kinaweza kusubiri kijisehemu cha muda huu kwa hali ya muda wa saa na kijisehemu kinachosalia katika hali ya idadi ya ukaguzi wa visasisho. Katika hali yoyote, utawanyishaji umekitwa katika kiwango cha kudumu cha muda ili kifaa kisikwame tena kikisubiri kupakua sasisho kwa muda mrefu.
Inafafanua orodha ya watumiaji ambao wanaruhusiwa kuingia kwenye kifaa. Maingizo yamo kwenye aina user@domain, kama vile madmax@managedchrome.com. Ili kuruhusu watumiaji wa kufunga kwenye kikoa, tumia maingizo ya aina ya *@domain.
Ikiwa sera hii haijasanidiwa, hakuna vizuizi ambavyo watumiaji wanaruhusiwa kuingia. Kumbuka kuwa kuunda watumiaji wapya bado kunahitaji sera DeviceAllowNewUsers kusanidiwa ipasavyo.
Zima matumizi ya API za picha za 3D.
Kuwasha kipengee hiki huzuia kurasa za wavuti kufikia kitengo cha kuchakata picha (GPU). Kurasa za wavuti haziwezi kufikia API ya WebGL na programu-jalizi haziwezi kutumia API ya Pepper 3D.
Kuzima mipangilio hii au kuicha bila kuiweka kunaweza kuruhusu kurasa za wavuti kutumia API ya WebGL na programu-jalizi kutumia API ya Pepper 3D. Mipangilio chaguo-msingi ya kivinjari huenda bado ikahitaji hoja za msitari kupitishwa ili kutumia API hizi.
Kipengee cha HardwareAccelerationModeEnabled kikiwekwa kuwa sivyo, Disable3DAPIs hupuuzwa na ni sawa na Disable3DAPIs kuwekwa kuwa ndivyo.
Ukiwezesha mpangilio huu utafutaji otomatiki na usakinishaji wa programu jalizi zinazokosekana utalemazwa katika Google Chrome.
Kuweka chaguo hili kulezama au kuiacha bila kuwekwa kipataji cha programu jalizi kitakuwa amilifu.
Onyesha mazungumzo ya kuchapisha ya mfumo badala ya uhakiki wa kuchapisha.
Mpangilio huu unapowashwa, Google Chrome itafungua mazungumzo ya kuchapisha ya mfumo badala ya uhakiki wa kuchapisha wa kijenzi cha ndani mtumiaji anapoomba ukurasa kuchapishwa.
Iwapo sera hii haitawekwamu itawekwa kuwa uongo, amri za kuchapisha zitachochea skrini ya ukakiki ya kuchapisha.
Hubainisha iwapo uboreshaji wa kipengee cha TLS False Start unapaswa kuzimwa. Kwa sababu za kihistoria, sera hii inaitwa DisableSSLRecordSplitting.
Sera hii isipowekwa, au ikiwekwa kuwa sivyo, basi kipengee cha TLS False Start kitawashwa. Ikiwekwa kuwa ndivyo, kipengee cha TLS False Start kitazimwa.
Huduma ya Kuvinjari Salama inaonyesha ukurasa wa kuonya wakati watumiaji wanapovinjari katika tovuti ambazo zimetiwa alama kuwa hasidi. Kuwasha mpangilio huu kunawazuia watumiaji kuondoka kwenye ukurasa wa kuonya hadi kwenye tovuti hasidi.
Ikiwa mpangilio huu utazimwa au hautasanidiwa basi watumiaji wanaweza kuchagua kuendelea hadi kwenye tovuti iliyotiwa alama baada ya kuonyeshwa onyo.
Inazuia kipengele cha kupiga picha za skrini.
Ikiwashwa picha za skrini haziwezi kupigwa kwa kutumia mikato ya kibodi au APl za kiendelezi.
Ikizimwa au isipobainishwa, upigaji picha za skrini unaruhusiwa.
Inalemaza matumizi ya itifaki ya SPDY katika Google Chrome.
Ikiwa sera hii itawezeshwa itifaki ya SPDY haitapatikana katika Google Chrome.
Kuweka sera hii katika kulemazwa kutaruhusu matumizi ya SPDY.
Ikiwa sera hii itaachwa bila kuwekwa, SPDY itapatikana.
Inabainisha orodha ya programu jalizi ambazo zinalemazwa katika Google Chrome na huzuia watumiaji kubadilisha mpangilio huu.
Vibambo vya kadi egemezi '*' na '?' vinaweza kutumiwa kulinganisha misururu ya vibambo vibadala. '*' inalinganisha vibambo kadhaa vibadala huku '?' ikibainisha kibambo kimoja cha chaguo, yaani inalinganisha sufuri au kibambo kimoja. Kibambo cha kutoka ni '\', kwa hivyo ili kulinganisha '*', '?', halisi au vibambo '\', unaweza kuweka '\' mbele yavyo.
Ukiwezesha mpangilio huu, orodha iliyobainishwa ya programu jalizi inatumiwa katika Google Chrome. Programu jalizi zinatiwa alama kama zilizolemazwa katika 'kuhusu:programu jalizi' na watumiaji hawawezi kuziwezesha.
Fahamu kuwa sera hii inaweza kufutwa kwa EnabledPlugins na DisabledPluginsExceptions.
Ikiwa sera hii itaachwa bila kuwekwa mtumiaji anaweza kuitumia programu jalizi yoyote iliyosakinishwa kwenye mfumo isipokuwa kwa msimbo mgumu usiotangamana, programu jalizi hatari au zilizochina.
Hubainisha orodha ya programu-jalizi ambazo mtumiaji anaweza kuwasha au kuzima katika Google Chrome.
Herufi wakilishi za '*' na '?' zinaweza kutumika kulinganisha msururu wowote wa herufi zisizo na mpangilio maalum. '*' hulinganisha idadi ya herufi zisizokuwa na mpangilio maalum huku '?' ikibainisha herufi moja ya hiari, kama vile kulinganisha herufi za sufuri au moja. Herufi ya kuondoka ni '\', hivyo kulinganisha herufi halisi za '*', '?', au '\' , unaweza kuweka '\' mbele yake.
Ukiwasha mpangilio huu, orodha iliyobainishwa ya programu-jalizi inaweza kutumika katika Google Chrome. Watumiaji wanaweza kuziwasha au kuzizima katika 'kuhusu:programu-jalizi', hata kama programu-jalizi pia inalingana na mchoro katika DisabledPlugins. Watumiaji pia wanaweza kuwasha au kuzima programu-jalizi ambazo hazilingani na michoro yoyote katika DisabledPlugins, DisabledPluginsExceptions and EnabledPlugins.
Sera hii imewekwa ili kuruhusu uwekaji kwenye orodha ya zilizoondolewa idhini ambapo orodha ya 'DisabledPlugins' ina maingizo ya herufi wakilishili kama kuzima programu-jalizi zote '*' au kuzima programu-jalizi zote za Java '*Java*' lakini msimamizi angependa kuwasha toleo fulani maalum la 'IcedTea Java 2.3'. Toleo hili maalum linaweza kubainishwa katika sera hii.
Kumbuka kuwa jina la programu-jalizi na jina la kikundi cha programu-jalizi lazima lipewe ruhusa. Kila kikundi cha programu-jalizi huonyeshwa katika sehemu tofauti katika kuhusu:programu-jalizi; kila sehemu inaweza ikawa na programu-jalizi moja au zaidi. Kwa mfano, programu-jalizi ya "Shockwave Flash" iko kwenye kikundi cha "Kichezaji cha Adobe Flash", na majina yote lazima yalingane na orodha ya matarajio iwapo programu-jalizi hiyo itapewa ruhusa kwenye orodha ya zilizoondolewa idhini.
Sera hii isipowekwa programu-jalizi yoyote ambayo inalingana na michoro katika 'DisabledPlugins' itafungwa izimwe na watumiaji hawataweza kuiwasha.
Sera hii imeacha kuendesha huduma, tafadhali tumia URL Zilizoondolewa Idhini badala yake. Huzima itifaki za miradi iliyoorodheshwa katika Google Chrome . URL zinazotumia miradi kutoka orodha hii hazitapakia na haziwezi kutembelewa. Iwapo sera hii haitawekwa au orodha ni tupu miradi yote itapatikana katika Google Chrome .
Hupangilia saraka ambayo Google Chrome itatumia kuhifadhi faili zilizoakibishwa kwenye diski.
Ukiweka sera hii, Google Chrome itatumia saraka iliyotolewa bila kujali iwapo mtumiaji amebainisha alamisho ya '--disk-cache-dir' au la.
Angalia https://www.chromium.org/administrators/policy-list-3/user-data-directory-upate orodha ya vigezo ambavyo vinaweza kutumiwa.
Sera hii ikiachwa bila kuwekwa saraka chaguo-msingi ya akiba itatumiwa na mtumiaji ataweza kuibatilisha kwa kutumia alamisho amri ya mstari wa '--disk-cache-dir'.
Husanidi ukubwa wa akiba ambao Google Chrome itatumia kwa ajili ya kuhifadhi faili zilizoakibishwa kwenye diski.
Ukiweka sera hii, Google Chrome itatumia ukubwa wa akiba uliotolewa bila kujali kama mtumiaji amebainisha alama ya '- ukubwa wa-diski ya-kuakibisha' au la. Thamani iliyobainishwa katika sera hii sio kikomo kisichoweza kurekebishwa bali ni pendekezo la mfumo wa kuakibisha, thamani yoyote chini ya megabaiti chache ni ndogo mno na itazidishwa hadi kiwango cha chini kinachokubalika.
Iwapo thamani ya sera hii ni 0, ukubwa chaguo-msingi wa akiba utatumika lakini mtumiaji hataweza kuibadilisha.
Iwapo sera hii haijawekwa ukubwa chaguo-msingi utatumika na mtumiaji ataweza kubatilisha na alama ya - ukubwa wa-diski ya-akiba.
Sera hii ikiwekwa, kila onyesho litazungushwa hadi mkao uliobainishwa kila inapowashwa tena, na mara ya kwanza inapounganishwa baada ya thamani ya sera kubadilika. Watumiaji wanaweza kubadilisha mzunguko wa onyesho kupitia ukurasa wa mipangilio baada ya kuingia katika akaunti, lakini mipangilio yake itabatilishwa na thamani za sera itakapowashwa tena.
Sera hii inatumika kwenye maonyesho ya msingi na ya pili yote.
Sera hii isipowekwa, thamani chaguo-msingi ni digrii 0 na mtumiaji yuko huru kuibadilisha. Kwa hivyo, thamani chaguo msingi haitumiwi tena wakati wa kuzima na kuwasha.
Inawezesha ubashiri wa mtandao kwenye Google Chrome na kuzuia watumiaji kubadilisha mpangilio huu.
Hii haidhibiti tu uletaji awali wa DNL lakini pia unganishaji awali na uonyeshaji awali wa kurasa za wavuti za TCP na SSL. Jina la sera linarejelea uletaji awali wa DNS kwa sababu za kihistoria.
Ukiwezesha au kulemaza mpangilio huu, watumiaji hawawezi kubadilisha au kufuta mpangilio huu kwenye Google Chrome.
Iwapo sera hii itasalia kama haijawekwa, hii itawezeshwa lakini mtumiaji ataweza kuibadilisha.
Hupangilia saraka ambayo Google Chrome itatumia kwa kupakua faili.
Ukiweka sera hii, Google Chrome itatumia saraka iliyotolewa bila kujali iwapo mtumiaji amebainisha moja au amewasha alamisho ya kuchochewa kwa eneo la upakuaji kila wakati.
Angalia https://www.chromium.org/administrators/policy-list-3/user-data-directory-variables kwa orodha ya vigezo ambavyo vinaweza kutumiwa.
Ikiwa sera hii itasalia bila kuwekwa saraka chaguo-msingi ya upakuaji itatumiwa na mtumiaji ataweza kuibadilisha.
Huruhusu Smart Lock kutumika kwenye vifaa vya Google Chrome OS.
Ukiwasha mipangilio hii, watumiaji wataruhusiwa kutumia Smart Lock ikiwa mahitaji ya kipengele yakitimizwa.
Ukizima mipangilio hii, watumiaji hawataruhusiwa kutumia Smart Lock.
Sera hii ikiachwa bila kuwekwa, chaguo-msingi haliruhusiwi kwa watumiaji wa biashara wanaosimamiwa na linaruhusiwa kwa watumiaji wasiosimamiwa.
Inawezesha au kulemaza uhariri wa alamisho katika Google Chrome.
Ukiwezesha mpangilio huu, alamisho zinaweza kuongezwa, kuondolewa au kurekebishwa. Hiii ndiyo chaguo-msingi pia sera hii inapokuwa haijawekwa.
Ukilemaza mpangilio huu, alamisho haziwezi kuongezwa, kuondolewa au kurekebishwa. Alamisho zilizopo bado zinapatikana.
Huwasha kipengee cha mtiririko wa zamani wa kuingia katika akaunti kwenye wavuti.
Mipangilio hii ilipewa jina la EnableWebBasedSignin kabla ya Chrome 42, na matumizi yake yataondolewa kabisa katika Chrome 43.
Mipangilio hii ni muhimu kwa wateja wa biashara wanaotumia masuluhisho ya Kuingia katika Akaunti Mara Moja ambayo bado hayatumiki pamoja na mtiririko wa kuingia katika akaunti kulingana na maandishi. Ukiwasha mipangilio hii, mtiririko wa zamani wa kuingia katika akaunti kulingana na wavuti utatumiwa. Ukizima mipangilio hii au uiache bila kuiweka, mtiririko mpya wa kuingia katika akaunti kulingana na maandishi utatumika kwa chaguo-msingi. Bado watumiaji wanaweza kuwasha mtiririko wa zamani wa kuingia katika akaunti kulingana na wavuti kupitia kwa ripoti ya msitari wa amri --washa kuingia katika akaunti kwenye wavuti.
Mipangilio ya majaribio itaondolewa siku zijazo wakati kipengee cha kuingia katika akaunti kulingana na maandishi kitakuwa kikitumia kikamilifu mitiririko ya Kuingia katika Akaunti Mara Moja.
Bainisha orodha ya vipengele vilivyoacha kuendesha huduma vya mbinu ya wavuti ili kuwasha tena kwa muda.
Sera hii inawapa wasimamizi uwezo wa kuwasha tena vipengele vilivyoacha kuendesha huduma vya mbinu ya wavuti kwa muda mfupi. Vipengele vinatambuliwa kwa lebo ya mfuatano na vipengele vinavyolingana na lebo vilivyojumuishwa katika orodha iliyobainishwa na sera hii vitawashwa tena.
Ikiwa sera hii itaachwa bila kuwekwa, au orodha ikiwa tupu au hailingani na mojawapo ya lebo za mifuatano, vipengele vyote vilivyoacha kuendesha huduma vya mbinu ya wavuti vitasalia vikiwa vimezimwa.
Ingawa sera yenyewe inaweza kutumiwa kwenye mbinu zilizo hapo juu, kipengele inachokiwasha kinaweza kupatikana kwenye mbinu chache. Si vipengele vyote vilivyoacha kuendesha huduma vya Mbinu ya Wavuti vinaweza kuwashwa tena. Vilivyoorodheshwa hapa chini pekee ndivyo vinavyoweza kuwashwa tena kwa muda mfupi, muda huo ni tofauti kwa kila kipengele. Muundo wa jumla wa lebo ya mfuatano utakuwa [DeprecatedFeatureName]_EffectiveUntil[yyyymmdd]. Kama rejeleo, unaweza kupata lengo la yaliyochangia mabadiliko ya kipengele cha Mbinu ya Wavuti https://bit.ly/blinkintents.
Kutokana na sababu kwamba ukaguzi wa ubatilishaji wa mtandaoni unaoshindwa chinichini hautoi usalama bora unaofanya kazi, unazimwa kwa chaguo-msingi katika toleo la 19 la Google Chrome na matoleo mapya zaidi. Kwa kuweka sera hii kuwa ndivyo, tabia ya awali inarejeshwa na ukaguzi wa mtandaoni wa OCSP/CRL utatekelezwa.
Ikiwa sera hii haitawekwa, au ikiwekwa kuwa sivyo, basi Google Chrome haitatekeleza ukaguzi wa ubatilishaji wa mtandaoni katika Google Chrome 19 na matoleo mapya zaidi.
Inabainisha orodha ya programu jalizi ambazo zinalemazwa katika Google Chrome na huzuia watumiaji kubadilisha mpangilio huu.
Vibambo vya kadi egemezi '*' na '?' vinaweza kutumiwa kulinganisha misururu ya vibambo vibadala. '*' inalinganisha vibambo kadhaa vibadala huku '?' ikibainisha kibambo kimoja cha chaguo, yaani inalinganisha sufuri au kibambo kimoja. Kibambo cha kutoka ni '\', kwa hivyo ili kulinganisha '*', '?', halisi au vibambo '\', unaweza kuweka '\' mbele yavyo.
Orodha ya programu jalizi iliyobainishwa inatumiwa mara kwa mara katika Google Chrome ikiwa zimesakinishwa. Programu jalizi zinatiwa alama kama zilizowezeshwa katika 'kuhusu:programu jalizi' na watumiaji hawawezi kuzilemaza.
Fahamu kuwa sera hii inafuta DisabledPlugins na DisabledPluginsExceptions.
Ikiwa sera hii itaachwa bila kuwekwa mtumiaji anaweza kuilemaza programu yoyote iliyosakinishwa kwenye mfumo huu.
Mpangilio huu hautumiki kutoka toleo la 29 laGoogle Chrome. Njia iliyopendekezwa ya kuanzisha kiendelezi cha shirika kilichopangishwa/makusanyo ya programu ni pamoja na kujumuisha tovuti inayopangisha CRX katika ExtensionInstallSources na kuweka viungo vya kupakua vifungu hivyo moja kwa moja kwenye ukurasa wa wavuti. Kizinduzi cha ukurasa huo wa wavuti kinaweza kuundwa kutumia sera ya ExtensionInstallForcelist.
Mpangilio huu hautumiki kutoka toleo la 29 laGoogle Chrome. Njia iliyopendekezwa ya kuanzisha kiendelezi cha shirika kilichopangishwa/makusanyo ya programu ni pamoja na kujumuisha tovuti inayopangisha CRX katika ExtensionInstallSources na kuweka viungo vya kupakua vifungu hivyo moja kwa moja kwenye ukurasa wa wavuti. Kizinduzi cha ukurasa huo wa wavuti kinaweza kuundwa kutumia sera ya ExtensionInstallForcelist.
Programu na Viendelezi vya akiba za Google Chrome OS za kusakinishwa na watumiaji wengi kwenye kifaa kimoja ili kuepuka kuzipakua upya kwa kila mtumiaji. Ikiwa sera hii haijasanidiwa au thamani ni chini ya MB 1, Google Chrome OS itatumia ukubwa wa akiba chaguo-msingi.
Lemaza upachikaji wa hifadhi ya nje.
Sera hii inapowekwa kwenye Ndivyo, hifadhi ya nje haitapatikana kwenye kivinjari cha faili.
Sera hii inaathiri aina zote za midia ya hifadhi. Kwa mfano: hifadhi za mweko wa USB, hifadhi kuu za nje, hifadhi ya optiki n.k. Hifadhi ya ndani haiathiriwi, kwa hivyo faili zilizohifadhiwa katika folda ya Upakuaji bado inaweza kufikiwa. Hifadhi ya Google pia haiathiriwi na sera hii.
Ikiwa mpangilio huu utalemazwa au hautasanidiwa basi watumiaji wanaweza kutumia aina zote zilizohimiliwa za hifadhi ya nje kwenye vifaa vyazo.
Kama imewekwa kuwashwa sera hii hulazimisha mfumo kubadilishwa kuwa hali ya muda mfupi. Kama sera hii imebainishwa kama sera ya Mfumo wa Uendeshaji (k.m. GPO kwenye Windows) itatumika kwa kila wasifu kwenye mfumo; ikiwa sera imewekwa kama sera ya Wingu itatumika tu kwa wasifu uliyoingia katika akaunti na akaunti inayosimamiwa.
Katika hali hii data ya wasifu inawekwa kwenye diski kwa urefu wa kipindi cha mtumiaji. Vipengee kama vile historia ya kivinjari, viendelezi na data zao, data ya wavuti kama vidakuzi na hifadhidata haziwekwi salama baada kivinjari kimefungwa. Hata hivyo, hii haizuii mtumiaji kujipakulia data yoyote kwenye diski, kuhifadhi kurasa au kuzichapisha.
Kama mtumiaji amewasha sawazisha zote data hii inahifadhiwa katika wasifu wake wa kusawazisha kama ilivyo na wasifu za kawaida. Pia Hali fiche inapatikana kama haijazimwa na sera.
Kama sera imewekwa kuwa imezimwa ama imeachwa bila kuwekwa kuingia katika akaunti huelekeza katika wasifu wa kawaida.
Hulazimisha maswali katika Utafutaji wa Wavuti wa Google kufanywa na SafeSearch ikiwa imewashwa na huzuia watumiaji kubadilisha mpangilio huu.
Ukiwasha mpangilio huu, SafeSearch katika Utafutaji wa Google huwa imewashwa wakati wote.
Ukifunga mpangilio huu au usipoweka thamani, SafeSearch katika Utafutaji wa Google haitekelezwi.
Sera hii ikiwekwa kuwa ndivyo, Google Chrome itatanua dirisha la kwanza linaloonekana inapofungua mara ya kwanza bila masharti. Sera hii ikiwekwa kuwa sivyo au isipowekwa, mtumiaji ataamua iwapo atanue dirisha la kwanza linaloonekana, kulingana na ukubwa wa skrini.
Sera hii imeacha kuendesha huduma, tafadhali tumia ForceGoogleSafeSearch na ForceYouTubeSafetyMode. Sera hii itapuuzwa ikiwa sera za ForceGoogleSafeSearch au ForceYouTubeSafetyMode zitawekwa.
Hulazimisha hoja katika Utafutaji wa Wavuti wa Google kufanywa SafeSearch ikiwa imewashwa na huzuia watumiaji kubadilisha mipangilio hii. Mipangilio hii pia hulazimisha Hali Salama kwenye YouTube.
Ukiwasha mipangilio hii, SafeSearch katika Tafuta na Google na YouTube huwa imewashwa.
Ukizima mipangilio hii au usipoweka thamani, SafeSearch katika Tafuta na Google na YouTube haitekelezwi.
Hulazimisha Hali Salama ya YouTube kutumika na kuzuia watumiaji kubadilisha mipangilio hii.
Ukiwasha mipangilio hii, Hali Salama kwenye YouTube itatumika kila wakati.
Ukizima mipangilio hii au usiiweke kama thamani, Hali Salama kwenye YouTube haitatekelezwa.
Ruhusu hali ya skrini nzima.
Sera hii inadhibiti upatikanaji wa hali ya skrini nzima ambayo UI yote ya Google Chrome imefichwa na ni maudhui ya wavuti tu yanayoonekana.
Sera hii ikiwekwa kuwa ndivyo ama isisanidiwe, mtumiaji, programu na viendelezi vyenye ruhusa inayofaa vinaweza kuingia katika hali ya skrini nzima.
Sera hii ikiwekwa kuwa sivyo, mtumiaji ama programu haziwezi kuingia katika hali ya skrini nzima.
Kwenye mifumo yote, isipokuwa Google Chrome OS, skrini nzima haipatikani wakati hali ya skrini nzima imezimwa.
Hupangilia saraka ambayo Google Chrome Frame itatumia kwa kuhifadhi data ya mtumiaji.
Ukiweka sera hii, Google Chrome Frame itatumia saraka iliyotolewa.
Angalia https://www.chromium.org/administrators/policy-list-3/user-data-directory-variables kwa orodha ya vigezo vinavyoweza kutumiwa.
Ikiwa mipangilio hii itasalia bila kuwekwa saraka chaguo-msingi ya wasifu itatumiwa.
Tumia kipengee cha kuongeza kasi kwa kutumia maunzi kinapopatikana.
Sera hii ikiwekwa kuwa ndivyo au iachwe bila kuwekwa, kipengee cha kuongeza kasi kwa kutumia maunzi kitawashwa isipokuwa kipengee fulani cha GPU kiondolewe idhini.
Sera hii ikiwekwa kuwa sivyo, kipengee cha kuongeza kasi kwa kutumia maunzi kitazimwa.
Tuma mapigo ya moyo ya ufuatiliaji kwenye seva ya udhibiti, ili uruhusu seva kugundua ikiwa kifaa kiko nje ya mtandao.
Sera hii ikiwekwa kuwa ndivyo, mapigo ya moyo ya ufuatiliaji yatatumwa. Ikiwa imewekwa kuwa sivyo au haijawekwa, basi hakuna mapigo ya moyo yatakayotumwa.
Ni mara ngapi mapigo ya moyo yanatumwa, katika milisekunde.
Sera hii isipowekwa, idadi chaguo-msingi ni dakika 3. Idadi ya chini ni sekunde 30 na idadi ya juu ni saa 24 - thamani nje ya mfululizo huu itaunganishwa kwenye mfululizo huu.
Ficha programu ya Duka la Chrome kwenye Wavuti na kiungo cha kijachini kutoka kwenye Ukurasa wa Kichupo Kipya na kifungua programu cha Google Chrome OS.
Sera hii inapowekwa kuwa ndivyo, aikoni hufichwa.
Sera hii inapowekwa kuwa sivyo au isiposanidiwa, aikoni huonekana.
Wakati imewekwa kwenye Ndivyo, utambulishaji wa programu za Duka la Wavuti la Chrome hautaionekana katika ukurasa wa kichupo kipya.
Kuweka chaguo hili kwa Siyo Ndivyo au kuliacha kama halijawekwa kutafanya utambulishaji wa programu za Duka la wavuti la Chrome katika ukurasa wa kichupo kipya.
Sera hii inalazimisha data ya fomu ya kujaza otomatiki kuletwa kutoka kwenye kivinjari chaguo-msingi cha awali ikiwa itawashwa. Ikiwashwa, sera hii pia inaathiri kidirisha cha kuleta
Ikizimwa, data ya fomu ya kujaza otomatiki haitaletwa.
Ikiwa haitawekwa, huenda mtumiaji akaombwa kuleta, au huenda uletaji ukafanyika kiotomatiki.
Sera hii ikitekelezwa, hulazimisha alamisho kuingizwa kutoka kivinjari chaguo-msingi cha sasa. Ikitekelezwa, sera hii pia itaathiri kidadisi cha kuingiza.
Isipotekelezwa, hakuna alamishi zitakazoingizwa.
Ikiwa hii haitawekwa, huenda mtumiaji akaulizwa aingize alamisho, au huenda zikaingizwa kiotomatiki.
Sera hii inalazimisha historia ya kuvinjari kuletwa kutoka kwenye kivinjari chaguo-msingi cha sasa ikiwa imewezeshwa. Ikiwa imewezeshwa, sera hii pia inaathiri kidadisi cha kuleta.
Ikiwa imelemazwa, hakuna historia ya kuvinjari inayoletwa.
Ikiwa haijawekwa, mtumiaji anaweza kuombwa iwapo anataka kuleta, au uletaji unaweza kufanyika kiotomatiki.
Sera hii inalazimisha ukurasa wa kwanza kuingizwa kutoka kwenye kivinjari chaguo-msingi cha sasa, kikiwashwa.
Ikilemazwa, ukurasa wa mwanzo hautaletwa.
Ikiwa hautawekwa, huenda mtumiaji akaombwa kuleta, au huenda uletaji ukatendeka kiotomatiki.
Sera hii inalazimisha manaenosiri yaliyohifadhiwa kuletwa kutoka kwenye kivinjari chaguo-msingi cha awali ikiwezeshwa. Ikiwezeshwa, sera hii pia inaathiri kidadisi cha kuleta.
Ikilemazwa, manenosiri yaliyohifadhiwa hayataletwa.
Ikiwa haitawekwa, huenda mtumiaji akaombwa kuleta, au huenda uletaji ukatendeka kiotomatiki.
Sera hii inailazimisha mitambo ya kutafuta kuingizwa kutoka kivinjari chaguo-msingi cha sasa iwapo itawashwa. Ikiwashwa, sera hii pia itaathiri kidadisi cha kuingiza.
Ikizimwa, mtambo chaguo-msingi wa kutafuta hauingizwi.
Ikiwa haitawekwa, mtumiaji anaweza kuomba aingize, au huenda ungizaji ukatendeka kiotomatiki.
Sera hii imepitwa na wakati. Tafadhali, tumia IncognitoModeAvailability badala yake. Huwasha hali fiche katika Google Chrome.
Ikiwa mpangilio huu umewashwa au haujasanidiwa, watumiaji wanaweza kufungua kurasa za wavuti katika hali fiche.
Ikiwa mpangilio huu umezimwa, watumiaji hawawezi kufungua kurasa za wavuti katika hali fiche.
Ikiwa sera hii itawachwa ikiwa haijawekwa, hii itawashwa na mtumiaji ataweza kutumia hali fiche.
Hubainisha iwapo mtumiaji anaweza kufungua kurasa katika hali Fiche kwenye Google Chrome.
Ikiwa hiari ya 'Imewashwa' imechaguliwa au sera haijawekwa, huenda kurasa zikafunguliwa katika hali Fiche.
Ikiwa hiari ya 'Imezimwa' imechaguliwa, huenda kurasa zisifunguliwe katika hali Fiche.
Ikiwa hiari ya 'Imelazimishwa' imechaguliwa, huenda kurasa zikafunguliwa TU katika hali Fiche.
Huwasha kipengee cha Papo Hapo cha Google Chrome na kuzuia watumiaji kubadilisha mipangilio hii. Ukiwasha mipangilio hii, Papo Hapo ya Google Chrome itawashwa. Ukizima mipangilio hii, Papo Hapo ya Google Chrome itazimwa. Ukiwasha au kuzima mipangilio hii, watumiaji hawawezi kubadilisha au kubatilisha mipangilio hii. Ikiwa mipangilio hii itaachwa bila kuwekwa mtumiaji anaweza kuamua kutumia au kutotumia chaguo hizi za kukokotoa. Mipangilio hii imeondolewa kwenye Google Chrome 29 na matoleo mapya zaidi.
Sera hii imepingwa, tafadhali tumia DefaultJavaScriptSetting badala yake.
Inaweza kutumiwa kulemaza JavaScript kwenye Google Chrome.
Iwapo mpangilio huu umelemazwa, kurasa za wavuti haziwezi kutumia JavaScript na mtumiaji hawezi kubadilisha mpangilio huo.
Iwapo mpangilio huu umezimwa au la, kurasa za wavuti zinaweza kutumia JavaScript lakini mtumiaji anaweza kubadilisha mpangilio huo.
Hutoa idhini ya kufikia vitufe vya shirika vya viendelezi.
Vitufe vinateuliwa kwa matumizi ya shirka ikiwa vitazalishwa kwa kutumia API ya chrome.platformKeys kwenye akaunti inayodhibitiwa. Vitufe vinavyoletwa au kuzalishwa kwa njia nyingine haviteuliwi kwa ajili ya matumizi ya shirika.
Uwezo wa kufikia vitufe vilivyoteuliwa kwa ajili ya matumizi ya shirika unadhibitiwa mahususi na sera hii. Mtumiaji hawezi kutoa idhini wala kuondoa uwezo wa kufikia vitufe vya shirika kuenda au kutoka kwenye viendelezi.
Kwa chaguo-msingi kiendelezi hakiwezi kutumia kitufe kilichoteuliwa kwa ajili ya matumizi ya shirika, ambayo ni sawa na kuweka allowCorporateKeyUsage kwenye sivyo kwa kiendelezi hicho.
Ikiwa tu allowCorporateKeyUsage itawekwa kuwa ndivyo kwa kiendelezi, inaweza kutumia mfumo wa kitufe chochote kilichowekewa alama kwa ajili ya matumizi ya shirika kutia sahihi data isiyo na mpangilio. Ruhusa hii inapaswa tu kutolewa kama kiendelezi kinaaminiwa kuweka ufikiaji salama wa kitufe dhidi ya wavamizi.
Tuma kumbukumbu za mfumo kwenye seva ya udhibiti, ili uruhusu wasimamizi kufuatilia kumbukumbu za mfumo.
Sera hii ikiwekwa kuwa ndivyo, kumbukumbu za mfumo zitatumwa. Ikiwekwa kuwa sivyo au kutowekwa, basi hakuna kumbukumbu za mfumo ambazo zitatumwa.
Configures a list of managed bookmarks.
The policy consists of a list of bookmarks whereas each bookmark is a dictionary containing the keys "name" and "url" which hold the bookmark's name and its target. A subfolder may be configured by defining a bookmark without an "url" key but with an additional "children" key which itself contains a list of bookmarks as defined above (some of which may be folders again). Google Chrome amends incomplete URLs as if they were submitted via the Omnibox, for example "google.com" becomes "https://google.com/".
These bookmarks are placed in a "Managed bookmarks" folder that can't be modified by the user, but the user can choose to hide it from the bookmark bar. Managed bookmarks are not synced to the user account and can't be modified by extensions.
Inabainisha idadi ya juu ya miunganisho sawia katika seva ya proksi.
Seva nyingine za proksi haziwezi kushughulikia idadi kubwa ya miunganisho inayoendana kwa kila mteja na hii inaweza kutatuliwa kwa kuweka sera hii hadi katika thamani ya chini.
Thamani ya sera hii inapaswa kuwa chini ya 100 na kubwa kwa 6 na thamani chaguo-msingi ni 32.
Programu nyingine za wavuti zinajulikana kutumia miunganisho mingi kwa GET zinazoning'inia, kwa hivyo kupunguza chini ya 32 kunaweza kusababisha kuning'inia kwa mytando wa kuvinjari ikiwa programu nyingi kama hizo zimefungka. Punguza hadi chini ya chaguo-msingi kwa tahadhari yako.
Ikiwa sera hii itasalia kama haijawekwa thamani chaguo-msingi itatumika ambayo ni 32.
Hubainisha upeo wa ucheleweshaji katika milisekunde kati ya wakati wa kupokea uthibitishaji wa sera na uletaji wa sera mpya kutoka kwenye huduma ya usimamizi wa kifaa.
Kuweka sera hii kunapuuzia thamani chaguo-msingi ya milisekunde 5000. Thamani halali za sera hii ziko kati ya 1000 (sekunde 1) na 300000 (dakika 5 min). Thamani zozote zisizo katika mfululizo huu zitaunganishwa kwenye mpaka husika.
Kuacha sera hii bila kuiweka kutafanya Google Chrome itumie thamani chaguo-msingi ya milisekunde 5000.
Husanidi ukubwa wa akiba ambao Google Chrome itatumia kwa ajili ya kuhifadhi faili zilizoakibishwa kwenye diski.
Ukiweka sera hii, Google Chrome itatumia ukubwa wa akiba uliotolewa bila kujali kama mtumiaji amebainisha alama ya '- disk-cache-size' au la. Thamani iliyobainishwa katika sera hii sio kikomo kisichoweza kurekebishwa bali ni pendekezo la mfumo wa Kuakibisha, thamani yoyote chini ya megabaiti chache ni ndogo mno na itazidishwa hadi kiwango cha chini kinachokubalika.
Iwapo thamani ya sera hii ni 0, ukubwa chaguo-msingi wa akaiba utatumika lakini mtumiaji hataweza kuibadilisha.
Iwapo sera hii haijawekwa ukubwa chaguo-msingi utatumika na mtumiaji ataweza kubatilisha na alama ya- ukubwa wa-diski ya-akiba.
Huwasha kuripoti bila kutambulika kwa matumizi na data iliyoacha kufanya kazi kuhusu Google Chrome kwenye Google na huzuia watumiaji kubadilisha mipangilio hii.
Mipangilio hii ikiwashwa, kuripoti bila kutambulika kwa matumizi na data iliyoacha kufanya kazi kutatumwa kwenye Google. Ikizimwa, maelezo haya hayatatumwa kwenye Google. Katika hali zote mbili, watumiaji hawawezi kubadilisha wala kubatilisha mipangilio. Sera hii ikiachwa bila kuwekwa, mipangilio itakuwa kile alichochagua mtumiaji wakati wa usakinishaji / utekelezaji wa kwanza.
Sera hii haipatikani kwenye matukio ya Windows ambayo hayajaunganishwa kwenye kikoa cha Saraka Inayotumika. (Kwa Chrome OS, angalia DeviceMetricsReportingEnabled.)
Inawezesha ubashiri wa mtandao katika Google Chrome na kuzuia watumiaji kubadilisha mipangilio hii.
Hii hudhibiti kuleta DNS, uunganishaji na uonyeshaji awali wa kurasa za wavuti za TCP na SSL.
Ukiweka mapendeleo haya kuwa 'kila wakati', 'kamwe', au 'WiFi pekee', watumiaji hawawezi kubadilisha au kufuta mipangilio hii katika Google Chrome.
Ikiwa sera hii itaachwa bila kuwekwa, kipengee cha ubashiri wa mtandao kitawashwa lakini mtumiaji ataweza kukibadilisha.
Inaruhusu kusukuma kwa usanidi wa mtandao kutekelezwa kwa kila mtumiaji katika kifaa cha Google Chrome OS. Usanidi wa mtandao ni mtungo ulioumbizwa wa JSON kama ilivyofasiliwa kwa umbizo la Fungua Usanidi wa Mtandao ilivyofafanuliwa katika https://sites.google.com/a/chromium.org/dev/chromium-os/chromiumos-design-docs/open-network-configuration
Inaorodhesha vitambuaji vya programu Google Chrome OS huonyesha kama programu zilizobanwa katika upau wa kizinduzi.
Ikiwa sera hii itasanidiwa, uwekaji wa programu ni wa kudumu na hauwezi kubadilishwa na mtumiaji..
Ikiwa sera hii itaachwa bila kuwekwa, huenda mtumiaji akabadilisha orodha ya programu zilizobanwa katika kizinduzi.
Inabainisha muda katika milisekunde ambapo huduma ya usimamizi wa kifaa inahojiwa kwa maelezo ya sera ya mtumiaji.
Kuweka sera hii kunafuta thamani chaguo-msingi ya saa 3. Thamani halali za sera hii zinaanzia kutoka1800000 (dakika 30) hadi 86400000 (siku 1). Thamani zozote ambazo hazimo katika kiwango hiki zitasogezwa hadi katika mpaka unaolingana nazo.
Kuacha sera hii ikiwa haijawekwa kutafanya Google Chrome kutumia thamani chaguo-msingi ya saa 3.
Huwasha kuchapisha katika Google Chrome na huzuia watumiaji kubadilisha mpangilio huu.
Iwapo mpangilio huu utawashwa au hautasanidiwa, watumiaji wanaweza kuchapisha.
Iwapo mpangilio huu utazimewa, watumiaji hawawezi kuchapisha kutoka kwenye Google Chrome. Uchapishaji utafungwa katika menyu spana, viendelezi, programu za, n.k. Bado kuna uwezekano wa kuchapisha kutoka kwenye programu jalizi zinazopuuza Google Chrome wakati wa kuchapisha. Kwa mfano, programu fulani za Flash zina chaguo la kuchapisha katika menyu zao za muktadha, ambazo hazisimamiwi na sera hii.
Sera hii ikiwekwa kuwa ndivyo au kutowekwa, matumizi ya itifaki ya QUIC katika Google Chrome yanaruhusiwa. Sera hii ikiwekwa kuwa sivyo matumizi ya itifaki ya QUIC hayaruhusiwi.
Onyo: RC4 itaondolewa kabisa kwenye Google Chrome baada ya toleo la 52 (kufikia Septemba 2016) na sera hii kufanya kazi wakati huo.
Sera hii isipowekwa, au ikiwekwa kuwa sivyo basi mipangilio ya kriptografia ya RC4 katika TLS haitawashwa. Vinginevyo inaweza kuwekwa kuwa ndivyo ili kudumisha muoano na seva iliyokwisha muda. Huu ni mkakati tu wa muda na seva inapaswa kuwekwa mipangilio.
Ratibisha kuwasha tena kiotomatiki baada ya sasisho la Google Chrome OS limetumika.
Sera hii inapowekwa kuwa kweli, kuwasha tena kiotomatiki kunaratibiwa wakati sasisho la Google Chrome OS limetumika na kuwasha tena kunahitajika ili kumaliza mchakato wa sasisho. Kuwasha tena kunaratibiwa mara moja lakini kunaweza kucheleweshwa kwenye kifaa hadii saa 24 kama mtumiaji anatumia kifaa kwa sasa.
Sera hii inapowekwa kuwa haitumiki, hakuna kuwasha tena kunakoratibiwa baada ya kutumia sasisho la Google Chrome OS. Mchakato wa sasisho hukamilika mtumiaji anapowasha tena kifaa.
Iwapo utaweka sera hii, watumiaji hawawezi kuibadilisha au kuifuta.
Kumbuka: Kuwasha tena kiotomatiki huwashwa tu wakati skrini ya kuingia katika akaunti inaonyeshwa au kipindi cha programu ya kioski kinaendelea kwa sasa. Hii itabadilika katika siku zijazo na sera itatumika kila wakati, bila kujali kama kipindi cha aina yoyote kinaendelea au la.
Ripoti muda wa shughuli za kifaa.
Ikiwa mpangilio huu hautawekwa au utawekwa kuwa Ukweli, vifaa vilivyosajiliwa vitaripoti vipindi vya muda mtumiaji anapotumia kifaa. Ikiwa mpangilio huu utawekwa kuwa Uongo, muda wa shughuli za kifaa hautarekodiwa wala kuripotiwa.
Ripoti hali ya ubadilishaji wa kifaa cha dev wakati wa kuwasha.
Ikiwa sera hii itawekwa kuwa uongo, hali ya ubadilishaji wa dev haitaripotiwa.
Ripoti takwimu za maunzi kama vile matumizi ya CPU/RAM.
Sera ikiwekwa kuwa sivyo, takwimu hazitaripotiwa. Ikiwekwa kuwa sivyo au iachwe bila kuwekwa, takwimu zitaripotiwa.
Ripoti orodha ya violesura vya mtandao vilivyo na aina zao na anwani za maunzi kwenye seva.
Ikiwa sera itawekwa kuwa Uongo, orodha ya violesura haitaripotiwa.
Ripoti maelezo kuhusu kipindi cha skrini nzima kinachoendelea, kama vile Kitambulisho cha programu na toleo.
Sera ikiwekwa kuwa sivyo, maelezo ya kipindi hayataripotiwa. Ikiwekwa kuwa ndivyo au ikiachwa bila kuwekwa, maelezo ya kipindi yataripotiwa.
Ripoti orodha ya watumiaji wa kifaa ambao waliingia katika akaunti hivi karibuni.
Ikiwa sera imewekwa kuwa uongo, watumiaji hawataripotiwa.
Ripoti toleo la OS na programu dhibiti ya vifaa vilivyosajiliwa.
Ikiwa mpangilio huu hautawekwa au utawekwa kuwa Ukweli, vifaa vilivyosajiliwa vitaripoti toleo la OS na programu dhibiti kila mara. Ikiwa mpangilio huu utawekwa kuwa Uongo, maelezo ya toleo hayataripotiwa.
Ni mara ngapi vipakiwa vya hali ya kifaa hutumwa, katika milisekunde.
Sera hii isipowekwa, idadi chaguo-msingi ni saa 3. Idadi ya chini inayoruhusiwa ni sekunde 60.
Mipangilio hii inapowashwa, Google Chrome itakagua ubatilishaji wa vyeti vya seva ambavyo vinathibitisha na vimetiwa sahihi na vyeti vya CA vilivyosakinishwa kwa karibu wakati wote.
Ikiwa Google Chrome haiwezi kupata maelezo ya hali ya ubatilishaji, vyeti kama hivyo vitachukuliwa kuwa vimebatilishwa ('hard-fail').
Sera hii isipowekwa, au ikiwekwa kuwa sivyo, basi Google Chrome itatumia mipangilio iliyopo ya kukagua ubatilishaji wa mtandaoni.
Ina ulinganishaji wa kawaida unaotumiwa kuamua watumiaji gani wanaoweza kuingia kwenye Google Chrome.
Hitilafu inayofaa inaonyeshwa ikiwa mtumiaji anajaribu kuingia kwa jina la mtumiaji lisilolingana na ruwaza hii.
Ikiwa sera hii itaachwa bila kuwekwa au tupu, basi mtumiaji yeyote anaweza kuingia kwenye Google Chrome.
Weka kikomo cha muda ambao mtumiaji aliyeithibitishwa kupitia SAML anaweza kuingia katika akaunti nje ya mtandao.
Wakati wa kuingia katika akaunti, Google Chrome OS inaweza kuthibitisha kwa kulinganisha na seva (mtandaoni) au kwa kutumia nenosiri lililoakibishwa (nje ya mtandao).
Sera hii inapowekwa kuwa thamani ya -1, mtumiaji anaweza kuthibitisha nje ya mtandao kwa muda usiobainishwa. Sera hii inapowekwa thamani nyingine yoyote, hubainisha urefu wa muda tangu uthibitishaji wa mtandaoni wa mwisho, baada ya hapo mtumiaji lazima atumie uthibitishaji wa mtandaoni tena.
Kuacha sera hii bila kuiweka kutafanya Google Chrome OS itumie kikomo cha muda chaguo-msingi cha siku 14, baada ya hapo mtumiaji lazima atumie uthibitishaji wa mtandaoni tena.
Sera hii inaathiri watumiaji waliothibitisha kwa kutumia SAML pekee.
Nambari ya sera inafaa kubainishwa kwa sekunde chache.
Chrome huonyesha ukurasa wa onyo watumiaji wanapoenda kwenye tovuti ambazo zina hitilafu za SSL. Kwa chaguo-msingi au sera hii ikiwekwa kuwa ndivyo, watumiaji wanaruhusiwa kubofya kwenye kurasa hizi za onyo. Kuweka sera kuwa sivyo hakuwaruhusu watumiaji kubofya ukurasa wowote wa onyo.
Onyo: Toleo la TLS 1.0 mbadala litaondolewa kwenye Google Chrome baada ya toleo la 47 (kufikia Januari 2016) na chaguo la "tls1" litaacha kufanya kazi wakati huo.
TLS ikishindwa kukubaliana, Google Chrome itajaribu tena muunganisho kwa kutumia toleo la chini la TLS ili kutatua hitilafu katika seva za HTTPS. Mipangilio hii husanidi toleo ambalo mchakato wa mbadala huu utaacha kufanya kazi. Seva ikitekeleza makubaliano ya toleo vizuri (yaani bila kukata muunganisho) basi mipangilio hii haitumiki. Hata hivyo, lazima muunganisho unaotokea utii SSLVersionMin.
Ikiwa sera hii haitasanidiwa basi Google Chrome hutumia toleo chaguo-msingi la chini ambalo ni TLS 1.0 katika Google Chrome 44 na TLS 1.1 katika matoleo ya baadaye. Kumbuka hili halizimi matumizi ya TLS 1.0, ni wapo tu Google Chrome itafanya kazi kwenye seva zenye hitilafu ambazo haziwezi kuendesha matoleo vizuri.
Vinginevyo inaweza kuwekwa kuwa mojawapo ya thamani zifuatazo: "tls1", "tls1.1" au "tls1.2". Ikiwa ni lazima muoano na seva zenye hitilafu udumishwe, hii inaweza kuwekwa kuwa "tls1". Huu ni mkakati tu wa muda na seva inapaswa kurekebishwa haraka.
Mipangilio ya "tls1.2" huzima mbadala zote lakini hili linaweza kuwa na athari kubwa ya muoano.
Onyo: Matumizi ya SSLv3 yataondolewa kabisa kwenye Google Chrome baada ya toleo la 43 (kufikia Julai 2015) na sera hii itaondolewa wakati huo.
Sera hii isiposanidiwa basi Google Chrome hutumia toleo chaguo-msingi la chini ambalo ni SSLv3 katika Google Chrome 39 na TLS 1.0 katika matoleo ya baadaye.
Vinginevyo inaweza kuwekwa kuwa moja ya thamani zifuatazo: "sslv3", "tls1", "tls1.1" au "tls1.2". Ikiwekwa, Google Chrome haitatumia matoleo ya SSL/TLS chini ya toleo lililobainishwa. Thamani ambayo haitatambulika itapuuzwa.
Kumbuka kwamba, licha ya nambari, "sslv3" ni toleo la awali kuliko "tls1".
Huwasha kipengee cha Kuvinjari Salama cha Google Chrome na kuzuia watumiaji kutoka kubadilisha mpangilio huu. Kama utawasha mpangilio huu, Kuvinjari Salama kutatumika kila wakati. Kama utazima mpangilio huu, Kuvinjari Salama hakutatumika kamwe. Kama utawasha au kuzima mpangilio huu, watumiaji hawezi kubadilisha au kupuuza mpangilio wa "Washa ulinzi wa kuhadaa na programu hasidii" katika Google Chrome. Kama sera hii haitawekwa, hii itawashwa lakini mtumiaji ataweza kuibadilisha.
Kuweka sera hii kuwa sivyo kunazuia watumiaji kuchagua kutuma maelezo kuhusu hitilafu za usalama wanazokumbana nazo kwenye seva za Google. Ikiwa mipangilio hii imewekwa kuwa ndivyo au haijasanidiwa, basi watumiaji wataruhusiwa kutuma maelezo wanapokumbana na hitilafu ya SSL au onyo la Kuvinjari Salama.
Huzima kipengee cha kuhifadhi historia ya kivinjari katika Google Chrome na kuwazuia watumiaji kubadilisha mipangilio hii.
Mipangilio hii ikiwashwa, historia ya kuvinjari haihifadhiwi. Mipangilio hii pia huzima kipengee cha kusawazisha kichupo.
Sera hii ikizimwa au isipowekwa, historia ya kuvinjari huhifadhiwa.
Inawezesha mapendekezo ya utafutaji katika sanduKuu ya Google Chrome na huzuia watumiaji kubadilisha mpangilio huu.
Ukiwasha mpangilio huu, mapendekezo ya utafutaji yanatumiwa.
Ukifunga mpangilio huu, mapendekezo ya utafutaji hayatumiwi kamwe.
Ukiwasha au kufunga mpangilio huu, watumiaji hawawezi kubadilisha au kufuta mpangilio huu katika Google Chrome.
Ikiwa sera hii itaachwa bila kuwekwa, hii itawezeshwa lakini mtumiaji ataweza kuibadilisha.
Punguza urefu wa kipindi cha mtumiaji.
Sera hii inapowekwa, inabainisha urefu wa muda ambapo baadaye mtumiaji anaondoka, na kumaliza kipindi. Mtumiaji anafahamishwa kuhusu muda unaosalia na kipima wakati cha muda unaosalia kinachoonyeshwa katika chano la mfumo.
Sera hii inapokuwa haijawekwa, urefu wa kipindi haupunguzwi.
Ukuweka sera hii, watumiaji hawawezi kuibadilisha au kuifuta.
Thamani ya sera inastahili kubainishwa katika milisekunde. Thamani zinabanwa kwenye masafa ya sekunde 30 hadi saa 24.
Huweka lugha moja au zaidi zilizopendekezwa kwa vipindi vya umma, hivyo kuwaruhusu watumiaji kuchagua kwa urahisi mojawapo ya lugha hizi.
Mtumiaji anaweza kuchagua lugha na mpangilio wa kibodi kabla ya kuanza kipindi cha umma. Kwa chaguo-msingi, lugha zote zinazotumika kwenye Google Chrome OS zimeorodheshwa kwa mpangilio wa alfabeti. Unaweza kutumia sera hii kuhamisha seti ya lugha zilizoorodheshwa hadi upande wa juu wa orodha.
Sera hii isipowekwa, kiolesura cha lugha ya sasa kitachaguliwa awali.
Sera hii ikiwekwa, lugha zilizopendekezwa zitahamishwa hadi upande wa juu wa orodha na itatenganishwa na lugha nyingine zote. Lugha zinazopendekezwa zitaorodheshwa katika mpangilio ambao zinaonekana katika sera. Lugha ya kwanza iliyopendekezwa itachaguliwa awali.
Ikiwa kuna lugha zaidi ya moja iliyopendekezwa, inachukuliwa kwamba watumiaji wangependa kuchagua kati ya lugha hizi. Uteuzi wa lugha na mpangilio wa kibodi utatolewa sana wakati wa kuanza kipindi cha umma. Vinginevyo, inachukuliwa kwamba watumiaji wengi wangependa kutumia lugha hizi zilizochaguliwa awali. Uteuzi wa lugha na mpangilio wa kibodi hautatolewa sana wakati wa kuanza kipindi cha umma.
Sera hii inapowekwa na kipengee cha kuingia katika akaunti kiotomatiki kuwashwa (angalia sera za |DeviceLocalAccountAutoLoginId| na |DeviceLocalAccountAutoLoginDelay|), kipindi cha umma kilichoanzishwa kiotomatiki kitatumia lugha ya kwanza iliyopendekezwa na mpangilio wa kibodi maarufu sana unaolingana na lugha hii.
Kila wakati, mpangilio wa kibodi uliochaguliwa awali utakuwa mpangilio maarufu unaolingana na lugha iliyochaguliwa awali.
Sera hii inaweza tu kuwekwa kama ilivyopendekezwa. Unaweza kutumia sera hii kuhamisha seti ya lugha zilizopendekezwa hadi upande wa juu lakini watumiaji wanaruhusiwa kuchagua lugha inayotumika kwenye Google Chrome OS kwa kipindi chao wakati wowote.
Dhibiti kujificha kiotomatiki kwa rafu ya Google Chrome OS.
Iwapo sera hii itawekwa kuwa 'IjificheYenyeweKilaWakati', rafu itajificha kiotomatiki kila wakati.
Iwapo sera hii itawekwa kuwa 'IsiwahiKujifichaYenyewe', rafu haitawahi kujificha kiotomatiki.
Ukiweka sera hii, watumiaji hawawezi kuibadilisha au kuifuta.
Iwapo sera itaachwa bila kuwekwa, watumiaji wanaweza kuamua iwapo rafu itajificha kiotomatiki.
Huwasha au kuzima njia ya mkato ya programu katika sehemu ya alamisho.
Ikiwa sera hii haitawekwa basi mtumiaji anaweza kuamua kuonyesha au kuficha njia ya mkato ya programu kutoka kwenye menyu ya muktadha ya sehemu ya alamisho.
Ikiwa sera hii itasanidiwa basi mtumiaji hawezi kuibadilisha, na njia ya mkato ya programu kuonyeshwa au kutoonyeshwa kila mara.
Inaonyesha kitufe cha Mwanzo kwenye upauzana wa Google Chrome.
Ukiwezesha mpangilio huu, kila mara kitufe cha Mwanzo kinaonyeshwa.
Ukilemaza mpangilio huu, kitufe cha Mwanzo hakionyeshwi tena.
Ukiwezesha au kulemaza mpangilio huu, watumiaji hawawezi kubadilisha au kufuta mpangilio huu kwenye Google Chrome.
Kuacha sera hii kama haijawekwa kutaruhusu mtumiaji kuchagua iwapo ataonyesha kitufe cha mwanzo.
Huongeza kitufe cha kuondoka kwenye chano la mfumo.
Kikiwashwa, kitufe kikubwa cha kuondoka chekundu kitaonyeshwa katika chano la mfumo kipindi kinapowaka na skrini haitafungwa.
Iwapo kitafungwa au kutobainishwa, hakuna kitufe kikubwa chekundu cha kuondoka kitaonyeshwa katika chano la mfumo.
Sera hii imeacha kuendesha huduma, badala yake jaribu kutumia kipengee cha SyncDisabled.
Humruhusu mtumiaji kuingia katika Google Chrome.
Ukiweka sera hii, unaweza kusanidi iwapo mtumiaji anaruhusiwa kuingia katika Google Chrome. Kuweka sera hii kuwa 'Sivyo' kutazuia programu na viendelezi ambavyo hutumia API ya chrome.identity visifanye kazi, kwa hivyo unaweza kutumia kipengee cha SyncDisabled.
Google Chrome inaweza kutumia huduma ya wavuti ya Google ili kusaidia kutatua hitilafu za tahajia. Ikiwa mpangilio huu umewezeshwa, basi huduma hii inatumika kila mara. Ikiwa mpangilio huu unalemazwa, basi huduma hii haitumiki kamwe.
Ukaguzi tahajia bado unaweza kutekelezwa kwa kutumia kamusi iliyopakuliwa; sera hii inadhibiti tu matumizi ya huduma ya mtandaoni.
Ikiwa mpangilio huu haujasanidiwa basi watumiaji wanaweza kuchagua iwapo huduma ya ukaguzi tahajia unapaswa kutumika au la.
Didimiza kukataa kuuliza ambako huonekana tovuti inapotolewa na Google Chrome Frame .
Suppresses the warning that appears when Google Chrome is running on a computer or operating system that is no longer supported.
Huzima usawazishaji wa data katika Google Chrome kwa kutumia huduma za usawazishaji zilizopangishwa za Google na huzuia watumiaji kuubadilisha mpangilio huu.
Ukiwasha mpangilio huu, watumiaji hawawezi kubadilisha au kufuta mpangilio huu katika Google Chrome.
Ikiwa sera hii itaachwa bila kuwekwa Usawazishaji wa Google utapatikana kwa watumiaji watakaochagua kuutumia au kutoutumia.
Hubainisha saa za eneo zitakazotumika kwenye kifaa. Watumiaji wanaweza kubatilisha saa za eneo zilizobainishwa kwa kipindi kinachoendelea. Hata hivyo, unapoondoka kwenye akaunti hurudi kwenye saa za eneo zilizobainishwa. Thamani isiyo sahihi ikitolewa, sera bado inawashwa kwa kutumia "GMT". Mfuatano mtupu ukitolewa, sera hupuuzwa.
Sera hii isipotumiwa, saa za eneo zinazotumika kwa sasa zitaendelea kutumiwa, hata hivyo, watumiaji wanaweza kubadilisha saa za eneo na mabadiliko hayo ni ya kudumu. Kwa hivyo mabadiliko yanayofanywa na mtumiaji mmoja huathiri skrini ya kuingia katika akaunti na watumiaji wengine wote.
Vifaa vipya huanza saa za eneo zikiwa zimewekwa kuwa "US/Pacific".
Muundo wa thamani hufuata majina ya saa za eneo katika "Hifadhidata ya Saa za Eneo ya IANA" (angalia "https://en.wikipedia.org/wiki/Tz_database"). Hususan, saa nyingi za maeneo zinaweza kurejelewa kwa "continent/large_city" au "ocean/large_city".
Hubainisha muundo wa saa ili kutumiwa kwa kifaa.
Sera hii husanidi muundo wa saa ili kutumia kwenye skrini ya kuingia katika akaunti na kama chaguo-msingi kwa vipindi vya watumiaji. Bado watumiaji wanaweza kuubatilisha muundo wa saa kwa akaunti yao.
Ikiwa sera itawekwa kuwa kweli, kifaa kitatumia muundo wa saa ya saa 24. Ikiwa sera hii itawekwa kuwa uongo, kifaa kitatumia muundo wa saa ya saa 12.
Ikiwa sera hii haitawekwa, kifaa kitapuuza kuwa muundo wa saa ya saa 24.
Huweka Sheria na Masharti ambayo lazima mtumiaji akubali kabla ya kuanzisha kipindi cha akaunti ya kifaa cha karibu nawe.
Sera hii ikiwekwa, Google Chrome OS itapakua Sheria na Masharti na kuyawasilisha kwa mtumiaji kipindi cha akaunti cha kifaa cha karibu nawe kianzapo. mtumiaji ataruhusiwa tu katika kipindi baada ya kukubali Sheria na Masharti.
Iwapo sera hii haitawekwa, sheria na masharti hayataonyeshwa.
Sera itawekwa kwenye URL ambapo Google Chrome OS inaweza kupakua Sheria na masharti. Lazima Sheria na Masharti yawe maandishi matupu, yawe kama maandishi ya kuandika/matupu ya MIME. Markup hairuhusiwi.
Sera hii inasanidi kuwasha kibodi pepe kama kifaa cha kuingiza data kwenye ChromeOS. Watumiaji hawawezi kuibatilisha sera hii.
Ikiwa sera hii itawekwa kuwa ndivyo, kibodi pepe ya skrini itawashwa wakati wowote.
Ikiwekwa kuwa sivyo, kibodi pepe ya skrini itazimwa wakati wowote.
Ukiweka sera hii, watumiaji hawawezi kuibadilisha au kuibatilisha. Hata hivyo, watumiaji bado wataweza kuwasha/kuzima kibodi pepe ya skrini ya ufikiaji inayopewa kipaumbele dhidi ya kibodi pepe inayodhibitiwa na sera hii. Angalia sera ya |VirtualKeyboardEnabled| kwa kudhibiti kibodi pepe ya skrini ya ufikiaji.
Ikiwa sera hii itaachwa bila kuwekwa, kibodi ya skrini inazimwa mwanzoni lakini inaweza kuwashwa na mtumiaji wakati wowote. Kanuni za ugunduaji zinaweza pia kutumiwa kuamua wakati wa kuonyesha kibodi.
Inaruhusu huduma ya pamoja ya Tafsiri Google kwenye Google Chrome.
Ukiwezesha mpangilio huu, Google Chrome itaonyesha upauzana wa pamoja unaojitolea kutafsiri ukurasa kwa mtumiaji, inapohitajika.
Ukilemaza mpangilio huu, watumiaji hawataona tena upau wa utafsiri.
Ukiwezesha mpangilio huu, watumiaji hawawezi kubadilisha au kufuta mpangilio kwenye Google Chrome.
Ikiwa mpangilio huu utasalia kama haujawekwa mtumiaji anaweza kuamua kutumia au kutotumia kitendaji hiki.
Huzuia uwezo wa kufikia URL zilizoorodheshwa.
Sera hii humzuia mtumiaji asipakie kurasa za wavuti kutoka kwenye URL zilizozuiwa. Orodha hii hutoa orodha ya michoro ya URL inayobainisha URL zitakazozuiwa.
Kila mchoro wa URL unaweza kuwa mchoro au faili za ndani za mchoro zalishi wa URL. Michoro ya faili za ndani ina muundo wa 'file://path', ambapo njia inafaa iwe njia kamili ya kuzuia. Sehemu zote za mfumo wa faili ambazo njia hiyo ni kiambishi awali huzuiwa.
Picha zalishi ya URL ina mpango wa muundo wa //host:port/path'. Kama ipo, ni mpango uliobainishwa pekee utakaozuiwa. Ikiwa kiambaishi awali cha mpango:// haujabainishwa, mipango yote huzuiwa. Kipangishaji kinahitajika na kinaweza kuwa jina la mpangishaji au anwani ya IP. Vijikoa vya jina la mpangishaji pia vitazuiwa. Ili kuepuka kuzuia vijikoa, jumuisha, a '.' kabla ya jina la mpangishaji. Jina maalum la mpangishaji '*' litazuia vikoa vyote. Mlango wa hiari ni nambari halali ya mlango kuanzia 1 hadi 65535. Kama hakuna iliyobainishwa, milango yote huzuiwa. Ikiwa njia hiari imebainishwa, ni njia zenye kiambishi awali hicho ambayo itazuiwa.
URL zisizofuata kanuni zinaweza kufafanuliwa kama sera ya URL iliyoidhinishwa. Sera hizi hazizidi maingizo 1000; maingizo yatakayofuata yatapuuzwa.
Kumbuka kwamba kama haipendekezwi kuzuia URL za 'chrome://*' za ndani kwa sababu hii inaweza kusababisha hitilafu zisizotarajiwa.
Kama sera hii haitawekwa hakuna URL itakayozuiwa katika kivinjari hiki.
Inaruhusu ufikivu kwenye URL zilizoorodheshwa, kama vizuizi katika orodha ya kuondoa idhini ya URL.
Angalia maelezo ya sera ya uzuiaji wa URL ya umbizo la maingizo ya orodha hii.
Sera hii inaweza kutumiwa kufungua vizuizi ili kuondoa vikwazo kwenye orodha zilizozuiwa. Kwa mfano, '*' inaweza kuondolewa idhini ili kuzuia maombi yote, na sera hii inaweza kutumiwa kuruhusu ufikiaji katika orodha chache za URL. Inaweza kutumiwa ili kufungua vizuizi katika mipango fulani, vikoa vidogo, poti, au vijia bainifu.
Kichujio muhimu zaidi kitathibitisha iwapo URL imezuiwa au kuruhusiwa. Orodha ya kuidhinisha inapewa kipau mbele kuliko orodha ya kuondoa idhini.
Sera hii imetengewa tu maingizo 1000; maingizo yanayofuata yatapuuzwa.
Iwapo sera hii haijawekwa hakutakuwa na ruhusa katika orodha ya kuondoa idhini kutoka sera ya 'URLBlacklist'.
Sera hii ikiwekwa kuwa ndivyo, Eneo-kazi Lililounganishwa linaruhusiwa na kuwashwa kwa chaguo-msingi, ambapo inaruhusu programu kuonyeshwa katika skrini nyingi kama kwamba ni moja. Mtumiaji anaweza kuzima Eneo-kazi Lililounganishwa kwa maonyesho maalum kwa kuondoa alama katika mipangilio ya onyesho.
Sera hii ikiwekwa kuwa sivyo au kutowekwa, Eneo-kazi Lililounganishwa litazimwa. Katika hali hii, mtumiaji hawezi kukiwasha kipengele.
Pima muda wa kuwaka wa kifaa kwa kuratibu kuwasha tena kiotomatiki. Sera hii inapowekwa, inabainisha urefu wa muda wa kuwaka wa kifaa baada ya upi uwashaji tena kiotomatiki utaratibiwa.
Sera hii isipowekwa, muda wa kuwaka wa kifaa hauna kipimo.
Ukiweka sera hii, watumiaji hawawezi kuibadilisha au kuifuta.
Kuwasha tena kiotomatiki huratibiwa kwa wakati uliochaguliwa lakini kunaweza kucheleweshwa kwenye kifaa hadi saa 24 kama mtumiaji anatumia kifaa kwa sasa.
Kumbuka: Kuwasha tena kiotomatiki kunawashwa wakati skrini ya kuingia katika akaunti inaonyeshwa au kipindi cha programu ya kioski kinaendelea kwa sasa. Hii itabadilika siku zijazo na sera itatumika kila wakati, bila kujali iwapo kipindi cha aina yoyote kinaendelea ua la. Thamani ya sera inapaswa kubainishwa katika sekunde. Thamani huwekwa pamoja ili iwe angalau 3600 (saa moja).
Sanidi picha ya ishara ya mtumiaji.
Sera hii inakuruhusu kusanidi picha ya ishara inayowakilisha mtumiaji kwenye skrini ya kuingia katika akaunti. Sera huwekwa kwa kubainisha URL ambayo Google Chrome OS inaweza kupakua picha ya ishara na alama ya reli ya kusimba inayotumiwa kuthibitisha uadilifu wa kipakuzi. Picha lazima iwe katika muundo wa JPEG, ukubwa wake usizidi kB 512. URL lazima iweze kufikiwa bila uthibitishaji wowote.
Picha ya ishara hupakuliwa na kuakibishwa. Itapakuliwa tena wakati wowote URL au alama ya reli inapopakuliwa.
Sera lazima ibainishwe kama mfuatano unaoonyesha URL na alama ya reli katika muundo wa JSON, ifanane na muundo ufuatao: { "type": "object", "properties": { "url": { "description": "URL ambayo picha ya ishara inaweza kupakuliwa.", "type": "string" }, "hash": { "description": "Alama ya reli ya SHA-256 ya picha ya ishara.", "type": "string" } } }
Iwapo sera hii imewekwa, Google Chrome OS itapakua na kutumia picha ya ishara.
Iwapo utaweka sera hii, watumiaji hawataweza kuifuta.
If the policy is left not set, the user can choose the avatar image representing him/her on the login screen.
Hupangilia saraka ambayo Google Chrome itatumia kwa kuhifadhi data ya mtumiaji.
Ukiweka sera hii, Google Chrome itatumia saraka iliyotolewa bila kujali iwapo mtumiaji amebainisha alamisho ya '--user-data-dir' au la.
Angalia https://www.chromium.org/administrators/policy-list-3/user-data-directory-variables kwa orodha ya vigezo vinavyoweza kutumiwa.
Ikiwa sera hii itasalia bila kuwekwa kijia chaguo-msingi cha wasifu kitatumiwa na mtumiaji ataweza kuifuta kwa alamisho amri ya mstari wa '--user-data-dir'.
Hudhibiti jina la akaunti Google Chrome OS inayoonekana kwenye skrini ya kuingia kwa ajili ya akaunti ya kifaa cha karibu nawe inayolingana.
Iwapo sera hii itawekwa, skrini ya kuingia itatumia uzi uliobainishwa katika kichaguaji cha kuingia kilicho na picha kwa ajili ya akaunti ya kifaa cha karibu nawe inayolingana.
Iwapo sera itaachwa bila kuwekwa, Google Chrome OS itatumia Kitambulisho cha akaunti ya barua pepe ya akaunti ya kifaa cha karibu nawe kama jina la onyesho kwenye skrini ya kuingia.
Sera hii inaapuzwa kwa akaunti za mtumiaji wa mara kwa mara.
Ruhusu au kataza kupiga picha ya video.
Kama imewashwa au haijasanidiwa (chaguo-msingi), mtumiaji ataombwa ufikiaji wa kupiga picha ya video isipokuwa kwa URL zilizosanidiwa katika orodha ya VideoCaptureAllowedUrls ambayo itapewa ufikiaji bila maombi.
Wakati sera hii imezimwa, mtumiaji kamwe hataombwa na uchukuaji wa video utapatikana tu kwa URL iliyosanidiwa katika VideoCaptureAllowedUrls.
Sera hii huathiri aina zote za vifaa vya kuingiza video na si tu kamera iliyojengewa ndani.
Ruwaza katika orodha hii zitalinganishwa dhidi ya asili ya usalama wa ombi la URL. Zikilingana, idhini ya kufikia vifaa vya kunasa sauti itatolewa bila ombi.
KUMBUKA: Kabla ya toleo la 45, sera hii ilitumika katika Skrini nzima pekee.
Huruhusu kuzima uboreshaji wa WPAD (Ugunduaji Kiotomatiki wa Seva Mbadala kwenye Wavuti) katika Google Chrome.
Sera hii ikiwekwa kuwa sivyo, uboreshaji wa WPAD utazimwa na kusababisha Google Chrome kusubiri muda mrefu zaidi kwa seva za WPAD zinazotegemea DNS. Sera hii isipowekwa au ikiwashwa, uboreshaji wa WPAD utawashwa.
Kwa kutotogemea ikiwa au jinsi sera hii inavyowekwa, mipangilio ya uboreshaji wa WPAD haiwezi kubadilishwa na watumiaji.
Sanidi picha ya mandhari.
Sera hii hukuruhusu kusanidi picha ya mandhari inayoonyeshwa kwenye eneo-kazi na kwenye mandharinyuma ya skrini ya mtumiaji ya kuingia katika akaunti. Sera huwekwa kwa kubainisha URL ambayo Google Chrome OS inaweza kupakua picha ya mandhari na picha ya msimbo wa alama ya reli inayotumika kuthibitisha uhalali wa kipakuliwa. Lazima picha iwe ya muundo wa JPEG, ukubwa wake usizidi MB 16. Lazima URL ipatikane bila uthibitishaji wowote.
Picha ya mandhari hupakuliwa na kuwekwa kwenye akiba. Itapakuliwa tena kila wakati URL au alama ya reli inapobadilika.
Sera hii inapaswa kubainishwa kama mfuatano unaoonyesha URL na alama ya reli katika mfumo wa JSON, ikifuata mpangilio ufuatao:
{ "type": "object", "properties": { "url": { "description": "URL ambayo picha ya mandhari inaweza kupakuliwa kutoka.", "type": "string" }, "hash": { "description": "Alama ya reli ya SHA-256 ya picha ya mandhari.", "type": "string" } } }
Sera hii ikiwekwa, Google Chrome OS itapakua na kutumia picha ya mandhari.
Ukiweka sera hii, watumiaji hawawezi kuibadilisha au kuibatilisha.
Sera hii isipowekwa, mtumiaji anaweza kuchagua picha ambayo itaonyeshwa kwenye eneo-kazi na kwenye mandharinyuma ya skrini ya kuingia katika akaunti.
Washa kipengee cha kuonyesha ukurasa wa kukaribisha unapofungua kivinjari kwa mara ya kwanza baada ya kupata toleo jipya la Mfumo wa Uendeshaji.
Sera hii ikiwekwa kuwa ndivyo au isiposanidiwa, kivinjari kitaonyesha tena ukurasa wa kukaribisha unapofungua kwa mara ya kwanza baada ya kupata toleo jipya la Mfumo wa Uendeshaji.
Sera hii ikiwekwa kuwa sivyo, kivinjari hakitaonyesha tena ukurasa wa kukaribisha unapofungua kwa mara ya kwanza baada ya kupata toleo jipya la Mfumo wa Uendeshaji.